Hii ya kwenu wenye taasisi, kampuni changa na ndogo, NGOs, Churches, private schools and colleges, ..
Natoa huduma katika eneo la "Strategy consulting" ili kubaini maeneo muhimu ya kufanyia kazi...
Natafuta kanyumba au upande wa nyumba unaojitegemea kwa ajili ya kupanga kwa mwezi 1 hadi 3 kwa mgeni anaekuja Dar kwa muda mfupi, chumba, sebule, jiko, choo na bafu au chumba kinachojitegemea na...
Ney Ubuyu wa Kishua
Unaanzaje kupitwa na kiburudisho hichi kizuri
Ubuyu mzuri wenye ladha ya Vanilla, Chocolate na Pilipili
Jumla na Rejareja unapata
Kisado 20,000 Ndoo ndogo 40,000 Ndoo kubwa...
Kampuni: Honor LED
Watts 3 - 10,000 PC 10
Watts 5 - 12,000 PC 10
Watts 7 - 13,000 PC 10
Watts 9 - 14,000 PC 10
Free Delivery piga : 0614502969
Dar na mikoani
Habari za muda huu JF wadau wote, kama kichwa cha uzi kilivyo elekeza, nahitaji hiyo bidhaa tajwa, kwa mtu anaejua chimbo kwa kkoo au ni kiwandani anaweza kunichek katika namba hii 0653914963...
KUNA PAGE HAPA SINA KAZI NAYO NIPENI HELA MPIGE PESA ZA ZUCK
Kama unataka ukurasa ambao una watu wengi tayari basi huu hapa nipe hela umalize kwa kuweka video 2 pekee na ukidhi masharti
Haina...
Hp ya kazi kazi haswaaa…👇
Hp ProBook 650 G2✅
Core i5✅
Ram 8GB✅
Ssd 256GB✅
Processor 2.4GHz✅
Kioo inch 15’✅
Numerical keyboard✅
Generation 6✅
Type C port✅
All important ports✅
Battery 2 to 3...
Nyumba Inauzwa Tabata Bima, Dar es Salaam.
Mahali: Mtaa wa Mbiu.
Sifa za Nyumba:
*Iko mita chache kutoka barabara ya kuelekea Tabata kimanga.
*Ina Vyumba viwili vya kulala, chumba kimoja ni...
• Direction:
njia panda ya Makabe, karibu na Goba Road
• Features:
self contained ya vyumba 4 kimojawapo master
• Facilities:
maji, umeme, haina uzio wa ukuta
• Ideal:
makazi
• Survey:
eneo...
Wakuu
Kama muonavyo kwenye picha, hawa ni baadhi ya Kuku ambao nauza.
Kuku wapo Dar es Salaam, Mbweni JKT kwa mawasiliano 0612630936 … bei n elfu kumi kamili ndo wana miezi mitatu na siku 24.
Habari za asubuhi wakuu,..?
Aisee ninaomba msaada mwenye kufahamu wapi nitapata viroba vya kilo mia, mia hamsin, vyakubebea mahindi, mchele, nk.
Ninahitaji pisi nyingi, kuanzia elfu kumi...
Natumaini nipo poa kabisa!! Kama kichwa cha habari kinavyojieleza ninatoa huduma ya kuprint viroba vya kg 50,25,10,5 kwa bei nafuu kabisa ... Ofisi ipo Tandale sokoni namba ya simu ni 0674 864...
Hostel ya vyumba 12 inauzwa Tanga Kange kasera Kwa bei ya million 50 Top no dalali … Ina kila kitu hati miliki…. Ni sqm 412 … ipo kange kasera karibu na chuo cha utumishi …. Kwa mawasiliano 0612630936
Wakuu naomba msaada natafuta godoro zuri 6*6 inch 12 u 14 ambalo litanifanya nikilala nione nimelala sehemu nzuri na salama mnoo kwa mwili wangu, kuepusha maumivu ya mgongo, gharama ya godoro ilo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.