Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Natamani kufahamu bei ya njugu mawe kwa soko la Dar kama kuna yeyote yeyote anafahamu naomba anijuze
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Hii ya kwenu wenye taasisi, kampuni changa na ndogo, NGOs, Churches, private schools and colleges, .. Natoa huduma katika eneo la "Strategy consulting" ili kubaini maeneo muhimu ya kufanyia kazi...
0 Reactions
1 Replies
256 Views
Tafadhali anayejua chimbo la pampers kwa bei nzuri ya jumla jumla.
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Natafuta kanyumba au upande wa nyumba unaojitegemea kwa ajili ya kupanga kwa mwezi 1 hadi 3 kwa mgeni anaekuja Dar kwa muda mfupi, chumba, sebule, jiko, choo na bafu au chumba kinachojitegemea na...
1 Reactions
23 Replies
4K Views
Ney Ubuyu wa Kishua Unaanzaje kupitwa na kiburudisho hichi kizuri Ubuyu mzuri wenye ladha ya Vanilla, Chocolate na Pilipili Jumla na Rejareja unapata Kisado 20,000 Ndoo ndogo 40,000 Ndoo kubwa...
4 Reactions
8 Replies
482 Views
Kampuni: Honor LED Watts 3 - 10,000 PC 10 Watts 5 - 12,000 PC 10 Watts 7 - 13,000 PC 10 Watts 9 - 14,000 PC 10 Free Delivery piga : 0614502969 Dar na mikoani
0 Reactions
4 Replies
451 Views
Anaye hitaji niko Tabata Kisukuru kwa Swai. Bei sh 9,000 @ crate mawasiliano 0718219523
2 Reactions
13 Replies
629 Views
Habari za muda huu JF wadau wote, kama kichwa cha uzi kilivyo elekeza, nahitaji hiyo bidhaa tajwa, kwa mtu anaejua chimbo kwa kkoo au ni kiwandani anaweza kunichek katika namba hii 0653914963...
0 Reactions
0 Replies
214 Views
Naomba kujua bei za collapsible doors kwa dar es salaam.
1 Reactions
2 Replies
369 Views
KUNA PAGE HAPA SINA KAZI NAYO NIPENI HELA MPIGE PESA ZA ZUCK Kama unataka ukurasa ambao una watu wengi tayari basi huu hapa nipe hela umalize kwa kuweka video 2 pekee na ukidhi masharti Haina...
2 Reactions
4 Replies
461 Views
Hp ya kazi kazi haswaaa…👇 Hp ProBook 650 G2✅ Core i5✅ Ram 8GB✅ Ssd 256GB✅ Processor 2.4GHz✅ Kioo inch 15’✅ Numerical keyboard✅ Generation 6✅ Type C port✅ All important ports✅ Battery 2 to 3...
0 Reactions
14 Replies
987 Views
Nyumba Inauzwa Tabata Bima, Dar es Salaam. Mahali: Mtaa wa Mbiu. Sifa za Nyumba: *Iko mita chache kutoka barabara ya kuelekea Tabata kimanga. *Ina Vyumba viwili vya kulala, chumba kimoja ni...
0 Reactions
4 Replies
624 Views
• Direction: Haile Selasie • Plot Area: 4,200 sqm • Document: Title deed • Price: USD 3.5 million (payment in TSH accepted) • Viewing charge: TSH 30,000 . ✓ panafaa kwa miradi ya makazi na...
5 Reactions
18 Replies
1K Views
• Direction: njia panda ya Makabe, karibu na Goba Road • Features: self contained ya vyumba 4 kimojawapo master • Facilities: maji, umeme, haina uzio wa ukuta • Ideal: makazi • Survey: eneo...
0 Reactions
0 Replies
300 Views
Wakuu Kama muonavyo kwenye picha, hawa ni baadhi ya Kuku ambao nauza. Kuku wapo Dar es Salaam, Mbweni JKT kwa mawasiliano 0612630936 … bei n elfu kumi kamili ndo wana miezi mitatu na siku 24.
3 Reactions
21 Replies
1K Views
Habari za asubuhi wakuu,..? Aisee ninaomba msaada mwenye kufahamu wapi nitapata viroba vya kilo mia, mia hamsin, vyakubebea mahindi, mchele, nk. Ninahitaji pisi nyingi, kuanzia elfu kumi...
4 Reactions
19 Replies
1K Views
Natumaini nipo poa kabisa!! Kama kichwa cha habari kinavyojieleza ninatoa huduma ya kuprint viroba vya kg 50,25,10,5 kwa bei nafuu kabisa ... Ofisi ipo Tandale sokoni namba ya simu ni 0674 864...
0 Reactions
5 Replies
520 Views
Habari? Nahitaji mifuko ya viroba (kilogram 50). Nipe connection, kama muuzaji yupo nicheki tufanye biashara.
2 Reactions
18 Replies
1K Views
Hostel ya vyumba 12 inauzwa Tanga Kange kasera Kwa bei ya million 50 Top no dalali … Ina kila kitu hati miliki…. Ni sqm 412 … ipo kange kasera karibu na chuo cha utumishi …. Kwa mawasiliano 0612630936
2 Reactions
3 Replies
396 Views
Wakuu naomba msaada natafuta godoro zuri 6*6 inch 12 u 14 ambalo litanifanya nikilala nione nimelala sehemu nzuri na salama mnoo kwa mwili wangu, kuepusha maumivu ya mgongo, gharama ya godoro ilo...
8 Reactions
49 Replies
5K Views
Back
Top Bottom