Habari wadau, kuna mzigo wa tani 1300 za mbaazi tunatafuta mnunuzi, mzigo upo gharani hapa Dar es salaam ni mbaazi za Arusha. Zinauzwa kwa 1750 kilo 1.
Mawasiliano
+255652601602 ( whatsapp )...
Karibu kuna kiwanja kizuri kinauzwa Maeneo ya Airport kinafaa kwa Hotel,Airport hakuna Hotel nzuri ya kisasa,Karibu uwekeze,ukubwa wa Eneo ni SQM 8914
KARIBU SANA BEI MAELEWANO..,....
KOKOTO BORA ZA UJENZI TOKA LUGOBA..
Tunasambaza kokoto bora kabisa kutoka Moja kwa Moja kwenye Karasha letu Lililopo LUGOBA, Kokoto zetu ni bora kabisa inayozalishwa kutoka katika Mashine za...
Natumaini hamjambo .....
Nahitaji nafaka tofauti tofauti kwa bei ya jumla toka kwenu, nafaka hizo ni kama ifuatavyo:-
1. Ngano isiyokobolewa
2. Shayili isiyokobolewa
3. Mtama mweupe (selena)
4...
Habarini wana jamvi!
Ninatafuta chumba cha kupanga maeneo ya Makumbusho, Kinondoni au Mwananyamala.
Kodi isizidi elfu 50 na nitaweza lipia kwa muda wa miezi 6 tuu!
Kama kipo tafadhali naomba...
Hi guys...ninauza ethnic bags rangi tofauti..ni nzur sana kwa wadada na vijana..
Ubora wake ni mzuri pia.
Karibuni wote..
BEI NI 20,000/= TU
Mzigo ni mchache.
Kwa order tuma massage whatsapp...
Heshima kwenu wakuu
Nimefungua biashara ya nguo za kiume. Na bei ya kila kitu nauza kwa bei nafuu kbs naweza sema nauza nusu bei ukilinganisha na maduka mengine.
Hivyo nahitaji jina la duka ambalo...
Wakuu nina gari nauza Corona Premio 2007Model
Specifications: 1800cc, 76000KM, Push Start, Keyless. Color: Silver.
Imetoka Jana Dar er salaam bandarini na imelipiwa Ushuru na kila kitu
Ipo Dar...
Nyumba inapangishwa bei tajwa hapo juu.
Sifa za Nyumba:
-Vyumba vitatu; kimoja master
-Public toilet
-Tiles
-Gypsum board
-Dinning; sitting na jiko.
-Vioo
-Umeme bado
-Haina uzio
-Ipo Freetown...
Make : Nissani
Model : Wingroad
Mileage : 58,613km
Engine size: 1,990cc
Gasoline : Petrol
Steering : Right Hand Drive ( R. H. D. )
Transmission : Automatic
M/Year : 2006
Doors : 4
Seats...
Zipo sababu nyingi zinazopelekea kupoteza watazamaji katika tovuti yako ila kubwa kuliko ni kukosa mwonekano bora katika vinasa mtandao tofauti tofauti(smart phones, tablets, laptops etc).
Hivyo...
Kama wewe ni mfanyabiashara wa kati au juu, kampuni au taasisi, basi kuwa na Website(Tovuti) ni moja ya vitu vya lazima kwa dunia ya sasa. Takwimu zinaonesha kuna zaidi ya Watanzania milioni kumi...
Je design ya tovuti yako ipo responsive(responsive design-mobile friendly website)?
Fahamu kuwa idadi kubwa ya watumiaji mtandao wanatumia smart phones kuweza pata taarifa mbalimbali katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.