Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nahitaji Fiat tajwa hapo juu,mwenye nalo au kufaham mahali inapatikana tuwasiliane please
0 Reactions
3 Replies
703 Views
guest-1788672427
Kipo kibaha kwa mfipa sehemu inaitwa galagaza, Kinauzwa 5.5M hii ni bei iliyonunuliwa cash Anayehitaji aje pm au anitafute kwa hizi namba
0 Reactions
6 Replies
85 Views
Bei/Price TSH 21M Call +255 747 999 927 TOYOTA RUMION Year: 2008 Engine: 1490Cc Mileage: 42,000+ Transmission: AUTO Fog Lights Sport Rims Push To Start 100% Duty Paid Free Registration Swap...
1 Reactions
1 Replies
254 Views
Nauza FACEBOOK PAGE Ina followers 46k na Inapokea malipo (monetization). Njoo 0717743549 njoo tuongee bei.
0 Reactions
0 Replies
35 Views
Kwa mwenye uhitaji wa kutafsiriwa video au kitabu au makala kutoka lugha ya kingereza kwenda kiswahili, whatsap/sms/piga 0756704145
1 Reactions
1 Replies
28 Views
Kama unahitaji fundi mitambo / mechanical technician ( magari, ac, lathe machine,milling machine, freezer, fridges) nipo funding full set natengeneza vitu hivyo magari, kuendesha machine za lathe...
1 Reactions
0 Replies
23 Views
Maisha yako speed. iPhone 17 Pro Max 512 GB pale iStore Mlimani City inauzwa Mil 6. Kwenye package unapata iPhone, USB C, pini ya kutolea laini na Makaratasi. Hamna kichwa cha chaja, hamna...
23 Reactions
113 Replies
2K Views
APARTMENT INAPANGISHWA MIKOCHENI PALM VILLAGE __ Vyumba 2 vya kulala, kimoja master Sebule Jiko Barcon Choo cha familia Parking free Swimming pool free Water free Umeme luku yako Ulinzi free...
0 Reactions
2 Replies
242 Views
A strategically located 376 sqm commercial plot is available for ground lease in Ubungo Msewe, offering easy access to Morogoro Road and the EACLC Ubungo Interchange. Property Details Location...
0 Reactions
0 Replies
191 Views
NAUZA ACCOUNT YA INSTA INA FOLLOWERS 16.4K KARIBU IMBOX WHATSAPP TUONGEE 0758618719 Bei ni 70,000/
0 Reactions
3 Replies
64 Views
Fanya mauzo yako yawe rahisi! Tumia Smart Calculator ya Dukani kurekodi kila mauzo na kuyaweka kwenye kumbukumbu. ✅ Inafanya kazi bila internet ✅ Ni rahisi kutumia ✅ Inahifadhi data kwenye simu...
2 Reactions
0 Replies
150 Views
Habari za muda huu wadau. Nahitaji gari ngumu tani 10 ya kubeba mbao na vigogo maporini. Kwa yeyote mwenye nayo au anaefahamu sehemu ipo nzima na haina changamoto yeyte naomba tuwasiliane...
1 Reactions
2 Replies
49 Views
Bei/Price TSH 117M Call +255 747 999 927 TOYOTA HILUX Year: 2021 Engine: 1GD-2.8L Mileage: 25,000+Km Transmission: AUTOMATIC 100% Duty Paid Swap Deals Available Zero Registration Cost LED...
0 Reactions
0 Replies
77 Views
Nimepotelea na portable wallet yangu na IDs zote na cards za bank. Naitwa Joseph Shine na number zangu ni 0659 714472
2 Reactions
4 Replies
71 Views
Anaandika Kelvin kibenje Wengi mmeuliza kuhusu #vijora na Madera na magauni ya batiki. utayapata Mtaa wa nyamwezi na narungombe lango la kuingilia shimoni jengo la baserona. Namba vijora +255 715...
32 Reactions
108 Replies
27K Views
Kibada(1.4km kutokea kibada centre) Maji na umeme tayari,Barabara inapitika mda wote Ukubwa wa Eneo: Sqm 580 Nyaraka: Hatimiliki Bei: Tzs Milioni 20.3 Vumilia ukooni-Kisarawe II(2km kutokea DSM...
1 Reactions
0 Replies
86 Views
Bei/Price🏷️👉🏽TSH 34.8M Call📞+255 747 999 927 MAZDA CX-5 Year: 2012 Engine: 1,998Cc Mileage: 111,000+ Fuel Used: PETROL Transmission: AUTO ✨Fog Lights ✨Rear Spoiler ✨Alloy Wheels ✅100%...
2 Reactions
8 Replies
250 Views
15m tu, hazidi hapo. Kanisumbua sana ila mimi sinunuagi used za TZ, kwa hio sina cha kumsaidia zaidi ya kuwashirikisha wanaJF wenzangu. Isiwe baby woka, iwe gari ambayo akipaki tunapopaki...
3 Reactions
18 Replies
278 Views
Bei/Price TSH 44.8M Call +255 747 999 927 BMW X3 xDrive20d Year: 2013/14 Engine: 1,990Cc Mileage: 48,000+ Fuel Used: DIESEL Transmission: AUTO 100% Duty Paid Swap Deals Available Zero...
0 Reactions
0 Replies
37 Views
Mimi nipo Zanzibar Kwa muda natafuta gari la kutembelea liliko kwenye hali nzuri budget yangu ni maximum Tsh 5M Nawasilisha!
6 Reactions
16 Replies
291 Views
Back
Top Bottom