Habari wakuu, nataka kusafirisha vitu vyangu vya geto kutoka Dar riverside kwenda Arusha ( mount meru). Kwa ambaye anaweza kupata nafas kwenye gar yake naomba tuwasiliane. Asanteni
BRAND NEW CONDITION TOLEO LA MWAKA 2024🔥🫵
It is 13th Generation✅
It is Very powerfull Machine for heavy Task comes with Graphics Radeon 7✅
HP ELITEBOOK 835 G10
AMD RYZEN 5✅
RAM 16GB✅
SSD 512GB✅...
HLS ( HOTEL LOCKING SYSTEM).
Hii ni system inayotumika katika vyumba vya hoteli na lodge.
Ni maalum kwa ajili ya milango inayofunguka Kwa kadi.
System hii inakupa option ya ku-create kadi ya...
Tunauza spare za pikipiki kwa jumla kwa bei nafuu tunatuma mikoani kote kwa uaminifu kabisa wasiliana na mimi pia vifaa vya SIMU kwa bei ya jumla 0697076610 what'sapp 0761415347
Jipatie Howo tipper mende, tractor na spare parts zote za Howo.
Kwa bajeti ya Tsh Milioni 78 unajipatia Howo tipper mende used nzuri kabisa.
Mawasiliano: 0748270719
Karibu sana
Ndugu wana wanajukwaa habari yenu.
mimi mjasliliamali nahitaji CAUSTIC SODA kwa bei ya jumla, ya utengenezaji wa sabuni.
Wauzaji wa jumla anichek 0758327174 chap ziite.
Je, unatafuta bidhaa bora za nyumbani kwa bei nafuu sana? Tunakuletea suluhisho kamili kwa mahitaji yako ya households na furniture! Tunauza bidhaa mbalimbali kama meza, viti, kabati, mapambo ya...
Sikupi chimbo, nakupa maono! Nakupa code! Nakupa madini
Kama hutaki bas mzee usinichoshe, tusichoshane..
Kuna watu wanavaq brand kali sana wanapenda kung'aa. Leo natak nizingumzie code ya...
Habari zenu wana jf. Nimekuja hapa kuwatumbulishia application mpya inayoitwa Tuni. Hii app inapatikana Google Playstore na ina katuni mbalimbali zinazoweza kumsaidia mtoto wa kwanzia miaka mitatu...
Sasa unaweza kuchonga furniture ya ndoto yako na ulipie kidogo kidogo kupitia group letu la M KOBA. Tunapatikana Arusha, Unga Ltd, Milano INN
KWa maelezo zaidi au unataka kujiunga na program ya...
Habari maboss wangu.
Ni Mimi Kwa mara nyingine tena nakuletea nyumba hii ipo Mbagala kibulugwa.
Kiwanja hiki kina nyumba mbili ndani ya fensi.
Hapa unaweza kufanya uwekezaji wa Lodge Kali sana...
NYUMBA INAUZWA
MKOA: Dar es Salaam, Tanzania
WILAYA: Kinondoni
MAHALI: Bunju Beach, Moga
NYUMBA INAUZWA KAMA ILIVYO
BEI: TZS Milioni 550
MAONGEZI YAPO
UKUBWA WA KIWANJA: SQM 1600...
AGIZA NASI GARI YOYOTE, KUNA SHOWROOM YETU, PIA KWA WALE WANAOTAKA MAGARI YA MKONONI PIA UNAPATA.
IST New Model
🔸Year 2009
🔸CC 1490
🔸Automatic
🔸Orange Color
🔸2 Wheel Drive
🔸Seating Capacity 5...
Ram za ddr4 ambazo kila moja ina 8gb
bei ni 30,000 Tu. NINAZO 2
ukichukua zote 2 yaani 16gb nakufanyia kwa 50,000.
Nipo kimara Dar es Salaam
Wasiliana: 0782780980
TUNAFUNGA AINA ZOTE ZA AIR CONDITIONIER NA KUZIFANYIA SERVICES
Wall mounted air conditioner
Ceiling Cassette air conditioner
Floor mounted air conditioner
Window air conditioners
Ceiling...
Habari za wakati huu …
Mimi n mkulima mdogo mdogo nimefanikiwa kuvun mahindi tani kumi katika mkoa wa tanga na kufanikiwa kusafirisha dar es salaam nipo hapa kutafuta mteja wa mahindi au kama...
Mnunuzi anatafuta gari ya Toyota yenye sifa zifuatazo:
Uwezo wa Injini: 1500cc au chini.
Hali: Gari iwe katika hali nzuri, isiwe na matatizo makubwa.
Historia: Haijawahi kuhusika na ajali...
Habari wakuu.
Wewe kama ni mlengaji wa viwanja nicheki Tajiri tunaweza tukafanya Jambo.
Kuna mzinga unakaribia kubutuka.
Unaweza ukajenga hiko kiwanja Kwa 300 alafu ukauza 500 au 600 kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.