Tuanze kwa kuwashukuru makampuni(Companies), Ubia (Partnerships), Biashara binafsi(Sole proprietors) na Taasisi zisizo za kiabishara (Not for profit entities) kwa kutupa fursa na ushirikiano wa...
Inavyumba 6
Eneo la parking lipo kubwa limebaki mbele
Nyuma kuna uwanja wa kujenga hata vyumba 3 vya kulala
Nyumba inawapangaji nyumba iko kwenye barabara ya mtaa gari inafika
Haina mgogoro...
Habari Wadau,
Ninatafuta Wanunuzi Wa Mbegu Za Alizeti Kwa Ajili Ya Kukamua Mafuta.
Nina Tani Za Kutosha Ni Uwezo Wako Tu Mteja.
Kilo Moja Nauza 965/=
Oda Ya Chini Kabisa Tani 1 = Kg1000
PM Kwa...
Bei ni 20,000/= kwa taa 1. Tunatuma nchi nzima. Utalipia baada ya kupokea mzigo.
Karibuni.
https://smarteaglescompany.blogspot.com/2025/01/hizi-ni-taa-za-kisasa-kwaajili-ya.html
Tafadhali jamani Nina Mgonjwa hapa hospital ya My.Gaspary Itigi - singida amepewa Referral kwenda muhimbili naomba kuunganishwa sasa hivi na anayehusika na Ndege za kukodi.
Biashara ya mayai ya kuku wa kisasaWadau wa naomba mwenye uzoefu wa biashara ya mayai ya kuku wa kisasa anisaidie ushauri juu ya mambo yafuatayo:
1) Je, biashara hii inalipa?
2) Je, ni muda gani...
NYUMBA INAUZWA CHANIKA MWISHO MIL 22 ( INAUZWA MIL22)
CONTACT: 0743 257 669
Nichek whatsapp direct View James Construction and real estate company's Catalog on WhatsApp
UKUBWA WA ENEO SQM 400...
Nyumba ipo Pongwe Tanga Jirani na kituo cha Afya Pongwe
★Rooms 3 Kimoja master
★Sebule
★Dinning
★Jiko
★Public toilet
★Sqm 360
Bei Ni Milioni 39 mazungumzo yapo Piga simu kwa maelezo zaidi...
Hallow we produce plastic timber which are normally used for making a pallets, A pallets that look nice and unique because we use plastic timber which are durable and strong, termites free, not...
Njoo na bei yako tuyajenge.
Call:-
+255712302556
+255684240927
Hii fursa ni ya leo tu, simu na zianze kuita kwa ajili ya ukaguzi wa bidhaa na MANUNUZI.
Unahitaji kuwa na kiwanja hatua inayofata nikutuona sisi wataalamu wa uchoraji ramani zakisasa za nyumba ya ndoto yako kisha utapata vibali vya serikali na kuanza ujenzi wasiliana nasi sasa kwa...
Habari,
Karibu ujipatie tyres mbali mbali pia Kwa wale ambao hamna ufahamu mzuri wa matairi ya magari makubwa mtapata maarifa kidogo pia na bei za kizalendo kabisa.
Nitaanza na kutoa somo ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.