Natafuta was enyeji wa mikoa ya shinyanga singida Dodoma n morogoro. Ambao tunaweza Fanya biashara ya samaki kwa uaminifu...ambaye sio mbabaishaji anicheki kwa namb 0688644047 all the best
Nnatafuta soko la asali mbichi ya nyuki wakubwa.nauza sh180000/= kwa dumu la lita 20. Nina madumu 30 na bado nina uwezo wa kupata mengine kama yanahitajika. Kwa anayelifahamu soko tafadhali...
Mazhim Tanzania limited is a Registered company with reg no 95507
Incorporation Date 28th November 2012 Place of registration Dar es salaam, Tanzania
Postal Address
P.O Box 62279, Dar es Salaam...
Kampuni ya mastech IT solution inatoa ofa ya kutengeneza website kwa bei nafuu security ipo juu sana tunatumia firmwork za kisasa zaidi kama laravel pia tunatoa huduma za computer maintainance and...
Habar, napenda kujaribu biashara hii ya dagaa wakavu kwa hapa mbeya, mwenye kuuza kwa jumla, ama kunipa utaratibu wa biashara hii, anipe mwongozo tafadhari
Crdb Salary advance......ni mkopo kwa wafanyakazi wanaopitishia mishahara crdb na pia wamejiunga na simbanking.
Kiwango cha chini cha mkopo ni Tzs 50,000 na kiwango cha juu ni tzs 1,000,000...
50,000 per month * 6 months.
kipo Gongolamboto,ulongoni A kwa Celtel
self room,maji free 24 hours,umeme luku wapangaji watatu.
chumba kiko katika hali nzuri sana.
wapangaji wasela watapewa...
Habari wakuu,
Nina coins kadhaa za euro 2, nimejaribu kwenye haya maduka ya bureau de change wameniambia hawabadili coins wao ni note tu.
Kwa wajuzi wa mambo ni wapi naweza kuzibadili na...
DM ni chaguo sahihi kwa ajili yako..tunajishughulisha na skimming na rangi mbalimbali kwa gharama nafuu...tunatoa pia ushauri kwa mteja kutokana na mazingira ya nyumba yake pale atakapo hitaji...
1. Kuna anae jua bei ya mti ulio komaa kabisa vizuri kwa jili yaku chana mbao? Lets say mti una miaka 7-9 hivi.
2. Je mti wa aina hio ya ukomavu au basi kwa kawaida mti ulio komaa vizuri kabisa...
Kama uzi unavyojieleza ninawatafuta marafiki wa kudumu tukutane tushirikiane katika masuala mbali mbali katika kada ya ujasiriamali katika kujikomboa kutoka tulipo hadi kufikia kumiliki mamilion...
Ofa!!!ofa!!!ofa!!!Ofa!!!ofa!!!ofa!!!Ofa!!!ofa!!!ofa!!!Ofa!!!ofa!!!ofa!!!Ofa!!!ofa!!!ofa!!!Ofa!!!ofa!!!ofa!!!
Ninauza mayai ya kuku wa kienyeji kwa ajili ya kula na pia ukitaka kwa ajili ya...