bbwaoy
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 466
- 468
1. Kuna anae jua bei ya mti ulio komaa kabisa vizuri kwa jili yaku chana mbao? Lets say mti una miaka 7-9 hivi.
2. Je mti wa aina hio ya ukomavu au basi kwa kawaida mti ulio komaa vizuri kabisa unauwezo waku toa mbao ngapi kiujumla?
Tume amua na familia kipindi kijacho tufanye zoezi hili mwenyewe na sio kuwapa watu naku pata hasara bure.
2. Je mti wa aina hio ya ukomavu au basi kwa kawaida mti ulio komaa vizuri kabisa unauwezo waku toa mbao ngapi kiujumla?
Tume amua na familia kipindi kijacho tufanye zoezi hili mwenyewe na sio kuwapa watu naku pata hasara bure.