Wadau habari,
Natafuta PC Dell Vostro, iwe angalau na RAM 4GB, HDD 500GB, processor 2.5+. Iwe ya mtumba, used! Nipo Dodoma, kwa mawasiliano mwenye nayo na anauza, tuwasiliane kwa namba 0759947397.
Tuna design matangazo kwa bei poa mnoo yaani shilling elfu mbili tu kwa kila tangazo wahi sasa ofa hii ni chache yaani elfu mbili yako tu jipatie tangazo lako kwa biashara yako piga number 0743401394
Simu imetumika miezi 3
Utapewa charger yake
Risiti zipo
Haina tatizo lolote,
Ipo Ubungo Dar es Salaam
Bei ya kuanzia ni 110,000
Ukihitaji njoo
0755155782
Kuna Rafiki yangu amenambia nimtafutie Mteja Wa Shamba anazo eka 15 na kila eka anauza kwa laki sita 600,000/=(@) shamba lipo barabara ya Bagamoyo msata sehemu inaitwa Fukasayo, kwa maelezo yake...
Ofa!!!ofa!!!ofa!!!Ofa!!!ofa!!!ofa!!!Ofa!!!ofa!!!ofa!!!Ofa!!!ofa!!!ofa!!!Ofa!!!ofa!!!ofa!!!Ofa!!!ofa!!!ofa!!!
Ninauza mayai ya kuku wa kienyeji(Malawi) kwa ajili ya kula na pia ukitaka kwa ajili ya...
Ninauza kiwanja chenye ukubwa Wa (14*28)M kina ramani yenye barabara nguzo ya umeme IPO katika mpaka Wa kiwanja na maji ya chumvi laini yapo Jirani kabisa kuvuta haizidi mita 5 bei ya kiwanja...
Heshima kwenu Wote!
Nilileta uzi hapa kuwa natafuta nyumba ya kununua Tanga mjini, nimepata ila kuna nyumba nyingine mwenye nyumba ameniomba niiitangaze hapa kuwa inauzwa.
Sifa za nyumba.
Ina...
habari wadau.
nahitaji fridge mpya double door kwa matumizi ya nyumbani.
nasubiri ofa zenu.
napatikana dar.
picha ni muhimu, pia kama kuna mtu mwenye ushauri au wap naweza pata fridge kwa bei...
Habari za majukumu wakuu.Mimi nipo mbeya.Ninauliza kama kuna yeyote anayejua sehemu wanayouza majenereta ya umeme hapa mbeya.Nataka nipate jenereta jipya kwa ajili ya shughuli zangu mgao wa umeme...