Nyumba inauzwa Pongwe, Tanga.

Nyumba inauzwa Pongwe, Tanga.

Ulongupanjala

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2013
Posts
8,523
Reaction score
14,002
Heshima kwenu Wote!
Nilileta uzi hapa kuwa natafuta nyumba ya kununua Tanga mjini, nimepata ila kuna nyumba nyingine mwenye nyumba ameniomba niiitangaze hapa kuwa inauzwa.
Sifa za nyumba.
Ina vyumba vitatu, kati ya hivyo viwili ni master bedrooms (vina vyoo ndani)
Ina sebule, jiko, choo cha public,dinnning na store,nyumba.
Ina maji, barabara hadi mlangoni. Umeme upo karibu.
Nyumba imebakiwa na eneo lingine la wazi (Jumla ina mita 26X50)
Ipo Pongwe, 5km kutoka main road.
Bei 28 milioni
Mwenye uhitaji aje PM.
Asante.
 
Heshima kwenu Wote!
Nilileta uzi hapa kuwa natafuta nyumba ya kununua Tanga mjini, nimepata ila kuna nyumba nyingine mwenye nyumba ameniomba niiitangaze hapa kuwa inauzwa.
Sifa za nyumba.
Ina vyumba vitatu, kati ya hivyo kimoja ni master bedroom (kina choo ndani)
Ina sebule, jiko, choo cha public,dinnning na store,nyumba ina tiles na gypsum.
Ina umeme na maji, barabara hadi mlangoni.
Nyumba ni mpya kabisa na imebakiwa na eneo lingine la wazi (Jumla ina mita 26X50)
Ipo Pongwe, 1 km kutoka main road.
Bei 35 milioni
Mwenye uhitaji aje PM.
Asante.
Picha muhimu
 
Tangazo bila picha ni sawa na kutembea usiku wa manane kwenye msitu mnene wakati wa mvua kali
 
Picha muhimu
a900d2390d990f7d71a7f42c7328ff48.jpg
41a4a031de6a5fb4fb60e2f073e056f0.jpg
f3e8f5b4802ec5166faccc4a1b07da33.jpg
a3f7501f8c7f11e1a493b04f68f2bd4e.jpg

Picha hizo hapo mkuu, karibu.
 
Mzunguu mjanja sana, kugundua kitu kinaitwa stil picha na mnato..mkuu edit tangazo lako kwanza liendane na picha..
 
Sorry, nilichanganya maelezo na picha, nimesha edit. Kulikuwa na nyumba mbili zinauzwa, yenye maelezo ya mwanzo ni tofauti na hizo picha.

Asante.
 
haha... mkuu kwani huyo ni nyumba... anyways naweka Million 27.99.. TUFANYE biashara mara moja.(27.99M IPO MKONONI SAIVI)
 
Asante Dkt. Louis Shika kwa ofa yako, lipia 25% ukabidhiwe nyumba!! xxx
 
Hilo ni pagala sio nƴumɓa,finishing ndio nƴumɓa mkuu hapo hadi unaimalizia si chini ya hiyo ɓei unaƴouzia eɓu mshauri vizuri mwenƴe nƴumɓa au ƙama uliweka na chako cha juu utaharibu ɓiashara hiyo sio nyumba ya mil 28
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom