Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kiwanja ukubwa 656 M2 kinauzwa sh 45Mil. Kipo Mbezi Kwa Musuguri barabara ya zege iendayo malamba mawili. Kiko umbali wa mita 32 kutoka barabara kuu. Mawasiliano 0713273195.
0 Reactions
1 Replies
328 Views
please visit this site for downloading mobile contents http://mchaka.wapka.mobi
0 Reactions
3 Replies
2K Views
  • Poll Poll
Anaeuza gari Aina ya alteza 4 cylinder Nina budget yangu ya 3.5m
2 Reactions
1 Replies
291 Views
Habari wakuu. Nyumba zipo nne ndani ya kiwanja kimoja Mtaa wa Undogi Tank la maji. Nyumba mbili zimepauliwa Nyumba mbili hazijapauliwa. Sqm 870 Hati ya wizarani. Location Kibamba njia panda...
2 Reactions
9 Replies
644 Views
iPhone 11 Pro Bei 450k Storage 64GB No Face ID 0614228735 Iringa mjini
1 Reactions
2 Replies
355 Views
Wakuu TCL 75" QLED Android Google Tv available now ✅ Model C655 🔥 Ram 2GB Internal Storage 32GB 🔥 Model Year 2024 🔥 Offer Price 2.800,000/- TU CALL/SMS/WHATSAPP 0683731404 Location Kkoo
0 Reactions
1 Replies
424 Views
Pc hiyo hapo haina kipengele nimeitumia mwaka tu bei ni laki 2 na hamsini, mwisho laki 2 SISHUKI ZAIDII YA HAPO NJOO PM
2 Reactions
5 Replies
435 Views
Nyumba Inauzwa Bahari Beach, Dar es Salaam. Mahali: Br. Simba, Mtaa wa Mugeta. Sifa za Nyumba: *Iko Mita 100 kutoka barabara ya ununio. *Ina Vyumba vitano vya kulala(vyote ni master). *Huduma...
1 Reactions
2 Replies
448 Views
Suzuki Carry New Model 4WD Reg: EAA Year: 2016 Engine: 650cc Mileage: 76,862km Gari bado jipya halina kipengele hata kimoja Gari linabodi tayari kama linavyoonekana kwenye picha Bei: 14.5M...
0 Reactions
1 Replies
300 Views
Msaada tafadhali. Mwenye maiki nzuri (USB) ya kurekodia maudhui ya Youtube naomba anisaidie. Bajeti yangu ni 150,000 Asante na mbarikiwe sana.
1 Reactions
5 Replies
342 Views
Nauza mashine ya selcom bado mpya imeshaunganishwa na benki kadhaa kwa 200k Mawasiliano 0684228724 kwa mteja aliye serious
0 Reactions
1 Replies
348 Views
Ney Ubuyu wa Kishua Unaanzaje kupitwa na kiburudisho hichi kizuri Ubuyu mzuri wenye ladha ya Vanilla, Chocolate na Pilipili Jumla na Rejareja unapata Kisado 20,000 Ndoo ndogo 40,000 Ndoo kubwa...
3 Reactions
5 Replies
398 Views
Habari , napatikana Kisarawe Pwani , kama kichwa cha habari kinavojieleza , kwa aliekua na bunduki ya HALALI, tukutane inbox
0 Reactions
12 Replies
677 Views
Wakuu salama? Kuna nyumba nauza haijakamilika natafuta mteja. Nyumba na kiwanja vipo DSM kama kuna mteja serius karibu PM kwa taarifa zaidi. Eneo: mbezi makabe mpakani, kiwanja kina 45x45sqm...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Wana jamii forum Kuna watu wanauza mashamba morogoro eneo linaitwa bwanani karibu na bar inaitwa MV mapenzi.. Ukifika mkundi mwisho unaelekea mashariki. Je maeneo hayo ni salama kwa kununua. Au...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Jinsi Kutengeneza Kipato Endelevu Kwa Ukodishaji Wa Mashamba Kwa Wakulima Hapa Tanzania Kutengeneza kipato endelevu kwa kuwakodishia mashamba kwa wakulima ni fursa nzuri ya biashara kwa wale...
1 Reactions
1 Replies
669 Views
Kuna mashamba yanakodishwa Sumbawanga vijijini yanafaa kwa kilimo hasa cha mahindi. Mvua ni za uhakika . Matayarisho ndio yanaanza sasahivi mwezi wa kumi. Garama ni laki moja kwa ekari moja...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Wana JF habari za Jumapili , ikiwa una tatizo la mapengo unaweza tabasamu upya kwa kuwekewa meno bandia ya kudumu kwa gharama rafiki Tazama jinsi mama wa miaka 67 alivyotabasamu kwa mara ya...
3 Reactions
13 Replies
829 Views
Bei zetu kwa upande wa brand ya CENTARA . 1 - 315/80 R 22.5 - Tyre la mbele Price =465,000/= (highway) - Mixer (Trailer) Price =460,000/= Diff (kashata kubwa) price =510,000/= Diff kashata...
2 Reactions
4 Replies
546 Views
Habari wakuu. Eneo Kwajili ya Gas linauzwa GOBA Hapo unaweza kufungua kituo cha Kuuza Gas. Ewe mwekezaji fumba macho ununue hili Eneo. Sqm 2000. Kwa mawasiliano Zaidi 0754693556
2 Reactions
4 Replies
433 Views
Back
Top Bottom