Katika Darasa letu, mwendelezo wa mafunzo yetu kuhusu ufugaji wa ng’ombe wa maziwa kibiashara. Katika somo letu lililopita, tulizungumzia kuwa ng’ombe bora wa maziwa anaweza kutoa 🥛 lita 15 hadi...
Specification zake
1.size 48*38*78
2 voltage 220/50hz
3. Three crushing rollers
4.material
(Stainless)
4. Ipo na 3HP electric motors.
5. Uwezo 300kg kwa saa.bei 1,400,00
Ipo mtoni kijichi...
Habarini za muda huu wana jukwaa?, kiwanja kisicho na kipengele chochote kinauzwa kwa bei ya jioni kabisa, kipo karibu na shule ya saint home ya Nkuhungu, kwa mwenye uhitaji apige namba ifuatayo...
Shamba Lina ukubwa wa heka 60 lipo msata umbali kilometers 3 kutoka balabala ya lami msata bagamoyo
Lina nyumba ya tofali vyumba 2 bei 350,000 wa Kila heka
Kwa mawasiliano 0659891515
Habari mabibi na mabwana?
Naomba mwenye kujua yanapopatikana mashamba ya bei nafuu, mashamba yanayofaa kwa shughuli za kilimo na ufugaji anifahamishe.
Ningependa kufahamu bei kwa ekari na...
Tumia unit zako mwenyewe bila kushea na wengine.
Je unaishi kwenye nyumba ya kupanga na kuna changamoto ya matumizi Umeme?
Au wewe ni mmiliki wa Nyumba za kupangisha na kila siku watu...
Nauza mashine ya kutengenezea picha mbao kwa bei kitonga kabisa, mashine bado ni mpya kabisa nicheki uchukue mzigo
Bei ni sh 250000
Dar es salam
Simu 0617009453
Sometimes maisha sio magumu kiasi hicho vipaumbele na mipango ndiyo vinagharimu watu sasa kuliko kumiliki simu worth 2 million na huna usafiri binafsi why don't you go for Tecno then vuta hii...
TK701 SMARTWATCH
Mikanda 7
Ina Bluetooth Speaker
Ina waya WA MIC WA kurekodia vdeo
💰75,000/= 💰 (OFFER PRICE)
CALL/SMS/WHATSAPP 0683731404
Location KKOO Masasi na likoma Street
Free...
OFFER 🔥OFFER
POCHI POCHI POCHI POCHI
Jumla:8,000kuanzia pc10
Rejareja:9,000
Brand: new
Delivery: 🚚 Ipo Mikoani tunatuma✅
Delivery juu ya mteja
Tunapatikana Dar es salaam
Kituo cha mafuta kinauzwa mkoa wa Songwe, kiwanja kina ukubwa wa sq 2500, kina hati kwa ajili ya matumizi ya kituo cha mafuta Tshs 350m. Wasiliana nasi+255761972755,+255612246050 nyote mnakaribishwa!!
Wakuu habari, nina bajeti ya milioni 7 nahitaji kiwanja maeneo ya Kibaha mail moja Kiwe at list KM3 mpaka tano kutoka stendi, naamini humu kuna wenyeji na wenye viwanja maeneo naweza pata...
Nauza mashamba na viwanja kwala
Kwala ipo kijiji cha kwala wilaya ya Kibaha Mkoa wa pwani.Kuna bandari ya inchi kavu,karakana ya mradi wa SGR na kongani ya viwanda 200.Kwala ipo km 15 kutoka...
Viwanja 2 vinauzwa kwa pamoja.
i. Sehemu: Makuburi, Mabibo. Dar es Salaan.
ii. Ukubwa: 1780 sqm
iii. Vina hati.
iv. Bei 120m
Ni hivi vyenye vidoti vya kijani.
Mawasiliano: 0743-398408
Habari za majukumu wanazengo
mada inajieleza. Viwanja vipo miti mirefu, Malimbe-Mwanza
Ukubwa 70×35m, kimoja kina hati ya ardhi na relevant document kinauzwa 55 mil.
Cha pili hakina hati sababu...
Hello! Eid Mubarak kwenu nyote.
Naomba kujua ni maeneo gani kariakoo ambako kunapatikana machimbo ya SIMU za jumla hasa SIMU ndogo maarufu kama viswaswadu.
Nimezurula sana Leo na bila mafanikio...
👉 Viwanja Kigamboni Kimbiji
👉 Mashamba tambalale
Kwa ufupi.
Eneo la ekari 3.5 beach area
Lipo mkoa wa pwani Kisiju
Karibia na bandari ya Kisiju
Kituo ni Sotele
Km 87 kutoka City Center DSM
Bei ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.