Kwanza kabisa uwe na simu 2.
Ili kuweza kufanya survey ofisini kwako, nyumbani ama popote pale kwa kufuatilia shughuli zako ndani ya simu yako inakupasa kuset CCTV Camera katika eneo husika, ili...
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyosema.
Kwa wenye mahitaji ya uyoga mkavu na mbichi tutakufikishia popote ulipo (Dar pekee) kwa bei nafuu kabisa
Pia tunatoa mafunzo ya uzarishaji uyoga...
Wadau natafuta viwanja vya bei rahis mahali popote pale hata ikiwa vijijin ndani ndani haina shida,,,,. Anayejua wapi naweza kupata anisaidie
Tena nataka vile vya heka moja kwa 50,000 kama vipo...
Kama heading inavyosema.
.
samsung galaxy note 4 ina tatizo la display yaan ya kubadilisha,inaonesha giza tu tho haina crack.
.
HISTORY YA SIMU
-km Thread zangu zngne znavyoonesha hua nmejkita...
Awali ya yote sikutegemea kama kuna watu wana roho nzuri kiasi hiki
Member huyu amejitolea eneo zaidi ya heka 10 huko magonza tena bure kwa ajili ya watu kulima hvyo basi naomba tuungane vijana 7...
Faida za kutumia seedling tray ni kama zifuatazo
1. Huzipa nafasi ya kutosha Mbegu ambayo itapelekea Miche kuwa na ubora
2.Ni rahisi kuhudumia ukiwa umepanda kwa tray
3.Tray zina vitundu kwa...
Kwanini uingie gharama zaid Kwa ubora uliopo chini ya kiwango katika umwagaji zege? Funguka Sasa Recon wanakuletea HUDUMA pekee ya umwagaji zege Kwa truck mixer ni rahis na nafuu kwa CBM 1 (Sawa...
Habari wana jf mimi ni Mtumish wa umma nahitaj Gari dogo mfano IST,RAUM,PREMIO ,ALLION Nk.
Kama kuna mwenye Gari tajwa hapo juu Na angependa kuniuzia Gari lake kwa installment ambapo nitakua...
Mimi ni kijana niliyemaliza chuo ngazi ya certificate ya fitter mechanics hadi sasa mwaka wa tatu sijabahatika kupata kazi. Kwa mtu yeyote mwenye nafasi ya kunisahidia anisahidie. Shukrani...
Natoa elimu kwa wajasili amali [emoji117]kutengenez mvinyo wanyany or tomato wine[emoji117]nafundish kutengeneza batki[emoji117]nafundish kutegeneza jam [emoji117]kutengeneza...
Kupitia Jukwaa la Vijana kutoka kampuni ya mawasiliano yenye kasi zaidi nchini Tanzania, tunawaletea OFA kabambe ya #Pinduapindua yenye punguzo la mpaka asilimia 50 katika migahawa, saluni, hoteli...
Nauza laptop Hp bei chee kabisa..
Laki na nusu tyuu..
Haddisk yake ni 300gb
Ram 2gb
Tatizo ni battery halikai na chaji bhac..
Kingine kila kitu kipo sawa..
Mawasiliano 0716026555
0685 436 107
Habari. Najihusisha na biashara ya dagaa wa mwanza natafuta masoko katika mikoa ya kusini.
Ambaye atataka kununua au anamjua mfanyabiashara atakayehitaji aje PM tuyapange
Contact me now for effective design and desirable plus complicated plans.
Tunafika site kwako tunachukua vipimo..halafu tunafanya kazi
Karibu sana
0654919121
0758919121
0622060797
0683928358...