Mkoa :Arusha
Number:0753093869
Bati:kigae cha mchanga cheusi
Kampuni:Fortiza
Zipo pc 64.
Bei ya dukani ni 25,000.
Mimi nauza vipya nimebakiza kwa nyumba yangu kwa bei ya Hasara 12000 kwa pc...
Habari wakuu,
-Kiwanja kipo kwa kimara mwisho kwa komba.
-Kimepimwa ila bado kukabidhiwa hati.
-kipo sehemu ya tambalale
-Mita 20 kwa 25
-Bei Milion 12
-Maelewano yapo
-0712595635
Kampun yetu ya super sam ifanyayo safali zake za mwanza dar mwanza bukoba mwanza dodoma mwanza morogoro tunapenda kukuyangazia kuwa saiv tuna mabas mapya kabisa yafanyayo safali zake kama kawaida...
VUNJA BEI: BEI IMESHUKA:Ninauza Smartphones za kisasa, Originals tu kwa bei Poa, mzigo unaingia kutoka South Africa kila week, Simu zote zinakuwa mpyaaa na vifaa vyake, pia ni Guaranteed, kwasasa...
Habari wana jf mimi ni Mtumish wa umma nahitaj Gari dogo mfano IST,RAUM,PREMIO ,ALLION Nk.
Kama kuna mwenye Gari tajwa hapo juu Na angependa kuniuzia Gari lake kwa installment ambapo nitakua...
myShop Software ni mfumo maalumu kwa ajili ya kuboresha usimamizi wa duka la jumla na rejareja, pharmacy, mini supermarket, saloon za kike na kiume, stationary, maduka ya nguo na viatu na maduka...
Hellow wana jf,
Natafuta camera ya kununua ,My favorite ni Canon D 600,D 650 ,D 700 au Camera yeyote mzuri yenye uwezowa kupiga picha na kushoot video, pia iwe na sehemu ya kuchomeka MIC.
Isiwe...
Je wewe ni mwalimu ama mwanafunzi na unatafuta mahali sahihi kupata notes za masomo yote ya Sekondari, tembelea
www.sisinaelimu.com
FORM THREE HISTORY, TOPIC NO 1: ESTABLISHMENT OF COLONIALISM...
Habarini wakuu..
Ni matumaini yangu wote wazima.
Kutokana vyuma kubana na mwenendo wa soko la sasaivi tofauti na wakale ambapo ushindani wa biashara ulikua mdogo sana..mimi na baba yangu tumeona...
Frame ya kisasa inapangishwa, ipo kijitonyama ,barabara ya kajenge karibu na sayansi, kodi ni laki moja na nusu kwa mwezi (150,000/= × 6 ),
Kwa maelezo zaidi piga namba 0714264484
Drop namba yako in box niku add kwa group turahisishe maisha lakini pia tufahamiane.
Kumbuka baadhi yenu tayari nishawaunga
Lakini pia mamkuki msijisumbue nawajua kwa sababu madalali idadi yenu...
Friji lilitumika kwa mwezi mmoja kwenye biashara ya duka. Baada ya hapo, likakaa Bila kutuma Na hakuna ndoto tena ya kufungua biashara ya vinywani.
Friji liko DSM linafanya kazi vizuri sana.
Bei...
Unalipia shamba maana sina uwezo wa kuleta mzigo Dar.
Nataka buyer wa kuchukua kuanzia gunia 1,000 kwa wakati mmoja.
Bei ni 70,000/= gunia.
Tel No:0659818714
Nina computer acer imekufa keyboard tuu
Naiuza kwa 250k..
Mawasiliano
0718274828..
Nipo dar
Kwa ambaye anataka nimuuzie kwa vifaa vyake anakaribishwa pia
Umaridadi uficha mengi, nukia kijanja na perfume classic kwa bei ya kutupa, kwa perfume za jumla na rejareja kwa perfume zifuatazo nione DM au piga 0628964939...