Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wakuu nina aina hiyo ya simu nahitaji cover lake la nyuma. Je, naweza pata wapi kwa Dar es Salaam?
0 Reactions
2 Replies
911 Views
PATA VIFURUSHI VYA VODA KWA BEI NAFUU WIKI 1)DAK 500 KWA 4000 2)GB 4 KWA 5000 3) DAK 70 MITANDAO YOTE KWA 4000 MWEZI 1) DAK 2000 KWA 16000 2) GB 16 KWA 22000 3) DAK 900 MITANDAO YOTE KWA 16000...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Wakuu, poleni na majukumu. Kwa anayehitaji nyumba ya kupanga, maeneo ya Ngulelo kituo cha dala dala, nyumba ipo hatua 15 to 20 kutoka kituo cha dala dala Ngulelo, bara bara kuu ya Arusha to...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Luxury Quartz Male Wrist Casual Leather Band Watch Brand: Miler Condition: New Band Material Type: Leather Case Material: Stainless Steel watch color: black & brown Price: 40,000 ( Haipungui )...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Habari wana jf nauza bati rangi ya damu ya mzee migongo mipana zimebaki kwenye ujenzi napatikana mapinga b/ moyo idadi ni bati 20 gauge 28 karibuni.
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Jipatie handbags nzur kwa bei ya 45000Tsh napatikana Mtoni kijichi Dar Es Salam,free delivery kwa wateja wa dar tu,mikoan tunatuma kwa gharama ya mteja. Call 0784427363 WhatsApp 0718096900...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Habarini wakuu, Ninawajulisha kuwa kuna office space ya kushare kwa ambaye atapenda kushare sehemu kwa kufanyia shughuli zake za kiofisi. Ofisi zipo Mavuno Building, Posta mpya. Kwa anaye hitaji...
0 Reactions
0 Replies
718 Views
Naanzisha biashara ya kukodisha magauni ya harusi kwa bei rahisi dar. Yoyote mwenye gauni/magauni ya harusi ambayo anataka kuuza au kukodisha naomba tuwasiliane ili tufanye biashara. 075658969u
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wandugu habarini, ni hivi kuna biashara soon naianza na nina uhakika nayo kuwa itakiki, ni ya kusambaza bidhaa hapa jijini Arusha, sasa katika kusambaza inahitaji gari...nimepiga hesabu gari ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari zenu wadau, Kama kichwa kinavyojieleza, nahitaji korosho zilizobanguliwa tani moja, hata zikiwa mchanagnyiko wa rangi yaani nyeupe na kahawia sawa ziwe gredi one kwani nitasafirisha nje ya...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Ndg wadau, kama kawaida yangu mzee wa kuyapamba makazi yako, nakuletea rangi ya Veneziano stuco, yenye mng'ao wa kushangaza na ajabu. Material hii imebuniwa na kutengenezwa kwenye mji wa Venice...
1 Reactions
13 Replies
15K Views
Habari zenu wadau,Nina asali nyingi kutoka skonke tabora. Bei Lita 11000 Lita 5 elfu hamsini na tano Lita 20 nafanya discount naiuza kwa la ki mbili
0 Reactions
6 Replies
912 Views
Husika na kichwa juu kama kuna mpangaji anaejua kuna chumba maeneo ya mabibo naomba nipm kuna mpangishaji mwenye chumba nahitaji mimi chumba kimoja tu nataka,tuwasiliane kwa 0765008131 asanteni sana
0 Reactions
2 Replies
973 Views
no
1 Reactions
54 Replies
7K Views
Tuna fanya Programming ya funguo za magari zinazotumia sensor(transponder) na smart key(keyless or push to start key) Kwa magari madogo na makubwa eg. TOYOTA,VW,BMW,FORD, Benz, Iveco, Scania nk...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Contact me now for effective design and desirable plus complicated plans. Tunafika site kwako tunachukua vipimo..halafu tunafanya kazi Karibu sana 0654919121 0758919121 0622060797 0683928358...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
X-Trail mpya Imeingia jana tu Ipo kwenye hali nzur Mill 12 tu Kwa biashara nichek kwa namba 0679502252 +255 713 756 744
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Raum ipo sokoni inapatikana morogoro mjini... Sms/call/whatsapp +255 678 408 680
1 Reactions
0 Replies
566 Views
Kwa mwenye engine iliyotumika aina ya AMEC yenye ukubwa kuanzia kati ya 16-24hp, isiwe ya kupoza kwa rejeta kama ya powertiller, naihitaj wadau wang
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kichwa cha thread hapo Juu chahusika. Zipo zaidi ya ekari 50. 150,000/= @ Ekari moja For serious Customers, tuwasiliane. Mkoa: Lindi Wilaya:Nanchingwea Mahali lilipo: Kikiji cha " Farm 17/ Farm...
1 Reactions
62 Replies
8K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…