Natafuta mishumaa ile inayofukuza Mbu kwa bei ya jumla , kama unayo au unapafahamu sehemu inapopatikana naomba msaada. Napatikana Ubungo Riverside DSM natanguliza shukrani kwa msaada...
Husika na kichwa cha habari, napatikana mwanza naomba mwenye line za uwakala tigo na voda tuwasiliane, uwe ni mtu unayeeleweka na usinijie kwa njia ya kunitapeli, au kama line zako zina matatizo...
Habari wana jukwaa,
Natafuta catering nzuri na yenye uzoefu na upikaji wa vyakula kisasa kwenye maharusi,lazima apatikane
Dar na awe na mchanganuo mzuri wa menu na bei zake.
Kwa yoyote aliyetayari...
Kwa mawasiliano piga 0738 441351 tukuhudumie. Kwa wajasiliamali, wafanyabiashara na waajiriwa serikalini na sekta binafsi.
Kuanzia 1 milioni nakuendelea dhamana ni gari yako tuu
Page ina likes 100k.
Talking about ni from 20k
people follow this 111k
Nitakuunga kama editor uwe una post just free lakini kwa masharti yafuatayo.
1:Husiwe na website/blog iliyo na pop up ads...
Je una used item yoyote unayoitaji kuiuza au kuinunua na hujui n wapi utaiuza,soluhisho limepatikana karibu tukusaidie kuuza na kununua kwa bei poa kabisa call/WhatsApp 0718096900
Majiko mapya ya kisasa imara na yenye ubora wa tbs na yenye kuhifadhi joto na kutumia nishati kidogo katika kupika, kuchemsha, kukaanga chakula cha aina yoyote ile. Ni mazuri sana unayatumia...
Wadau habarini!
Nina kiwanja kimepimwa kipo Dodoma eneo linaitwa Swaswa mbele kidogo ya makazi ya Waziri Mkuu na jirani kabisa na inakopita barabara ya kuelekea Airport tarajiwa ya Msalato...
Wakuu!
Inatakiwa DHAHABU kwa ajiri soko la nje.
-LOI imeshatumwa tayari.
-Payment system ni CIF.
-100 kg every month.
-22 karat (Purity)
-Contract itakua ya 1 year.
-Buyers Country ni Dubai.
So...
Tunapatikana
Dar, Moshi, Arusha na Dodoma pia delivery popote ulipo kwa mawasiliano tupigie kupitia 0762261646
Au tuffollow instagram @mirry_cake_addict
Ahsante
Husika na kichwa cha habar hapo juu .ninapokea order za cake za jumla na rejareja kwa bei nafuu.ukitaka cup cake au cake za shughul mbalimbali au za biashara naomba tuwasiliane kwa number hii...
tunakuletea sabwoofer zenye uwezo mkubwa na sifa za kisasa zenye RADIO STATION, BLUETOOTH, USB PORT, MMC PORT
Warrant miaka 2.
Tunapatikana Kkoo msimbaz daresalaam na China Plaza floor ya pili...
Solar pannel watt 120,betri kavu N100 aina ya Rita,inveta watt 300 pamoja na feni ya solar vinauzwa!
Bei vyote sh.400,000/=
Location: Gongo la mboto
Contacts:0714620472 pia unaweza kuja PM
Ndugu mpendwa,
husika na kichwa cha habari tajwa hapo juu,
ENEO la ziwani hekari 20 linauzwa MWANZA nyanguge uelekeo ni barabara yakwenda musoma ni km 30 kutoka mwanza mjini hadi site,
SIFA ZA...
Wanajamvi bila shaka mpo vizuri, naomba ushauri wenu, natafuta printer ambayo itanisaidia ktk kuprint, kutoa copy, scan documents na kusafisha picha za passports. Iwe inafanya kazi mda mrefu...