Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Ndugu wa Wana Jamii forams, habarini za za Leo? Kama nilivyo taja hapo juu , eneo liko Makambako. Km 12 Toka stand kuu y a Makambako. km 4toka barabara ya kuelekea Songea. Ukubwa acre 4 Bei...
4 Reactions
13 Replies
1K Views
Kuna mashamba matatu ya miti ya Mbao jamii ya pines ( pinus patulla), miti ina umri wa miaka 12 na 13. Miti hii iko kijiji cha Chogo Mufindi, ni 100km toka Mafinga kwa njia ya Ibwanzi, au 120km...
6 Reactions
22 Replies
1K Views
Nyumba inauzwa Mbeya mjini sq 1500. Ina vyumba vinne vya kulala, vyumba 2/self contained room, jiko sebule na stoo. Pia kuna vyumba 5 vya nje na jik
1 Reactions
6 Replies
554 Views
Nyumba Inauzwa Tabata. Mahali: Misewe B, Liwiti. Sifa za nyumba: • Ina vyumba vya kulala 3 na master 1. • Ina sehemu ya chakula(dining), sebule, Jiko na stoo. • Ina korido kubwa ya ndani na...
2 Reactions
7 Replies
586 Views
** Nyumba inauzwa katika eneo la Ukonga, Dar es Salaam. Ukubwa wa Kiwanja: 885 mita za mraba Hati: Kiwanja kimepimwa na kina hati miliki Vyumba: Ina vyumba vinne vya kulala, jiko, na sebule...
1 Reactions
1 Replies
490 Views
Kiwanja kina ukubwa wa sq 1500. Ni eneo zuri kwa uwekezaji, appartment,kuishi,ofisi nk. Bei. Tshs. 600m. Mazungumzo yapo. Wasiliana nasi+255761972755,+255612246050. Nyote mnakaribishwa!!!
2 Reactions
3 Replies
323 Views
Viwanja vinauzwa Goba kulangwa Viwanja vimepimwa hati bado. Kutoka lami Kilometer 1.5 Viwanja vina ukubwa tofauti tofauti. Vipo vichache *SQM 1,000 mil 45 *SQM 800 mil 36 *SQM 700 mil 32 *SQM...
1 Reactions
2 Replies
459 Views
Shamba linauzwa Nanyara Mbeya haliko mbali na barabara, kila eka. @4m, mazungumzo yapo. Wasiliana nasi+255761972755,+255612246050. Nyote mnakaribishwa!
1 Reactions
1 Replies
266 Views
Habari za humu? Kwa wale wanaohitaji line za Safaricom zimefika TZ karibuni sana mana huwa zinakuja chache na kama zikiisha huwa zinachukua kuja tena(wahi sasa) Line 1 ni 10000 ikiwa na vocha ya...
8 Reactions
313 Replies
49K Views
Hello wanajukwaa, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Naomba tupeane connection za maeneo ambayo kuna viwanja au mashamba makubwa kwa bei nafuu kwaajili ya uwekezaji au ujenzi. Mimi...
11 Reactions
144 Replies
19K Views
Nahitaji fundi wa kunifungia sub meter ile ya kuweza kutumia umeme wangu peke angu... Nipo dar gongo la mboto... Mawasiliano njo pm chap
2 Reactions
6 Replies
466 Views
Natafuta magari 7 ya kukodi kwa ajili ya Biashara ya Taxi mtandao kwa jiji la Dodoma. Mawasiliano haya 0765777196. Malipo kwa wiki bila kupindisha Tsh 150,000/=.
1 Reactions
6 Replies
495 Views
Tank la maji linahitajika kama kichwa cha habari kinavyoonyesha.
0 Reactions
0 Replies
254 Views
Plot Available For Sale. Location: Kigamboni Kisarawe 2, Mwasonga road. Descriptions: *12km from main road (Kibada road). *It's near to box factory (Kiwanda cha maboksi) and Dar es Salaam zoo...
0 Reactions
0 Replies
267 Views
TUNAFUNDISHA MASOMO YOTE, KWA A LEVEL NA O LEVEL. KWA WALIO MBALI NA DAR ES SALAAM, HOSTEL ZIPO. KARIBUNI. 0625012562 0782044028. TUPO TEGETA, DAR ES SALAAM. MASOMO; PHYSICS CHEMISTRY MATHEMATICS...
0 Reactions
0 Replies
261 Views
Mahali: Tegeta Nyuki, Dar es Salaam Hosteli zinapatikana kwa walioko mbali na Dar es Salaam Masomo Tunayofundisha: Sayansi: Physics, Chemistry, Biology, Mathematics Lugha: English, Kiswahili...
1 Reactions
2 Replies
384 Views
G.F 4BEDROOMS LOUNGE KITCHEN DINNING F.F MASTER BEDROOM +OFFICE + FAMILY ROOM. +255624004650
1 Reactions
2 Replies
237 Views
Habari naitwa Rashid kama kichwa cha habari kinavyoeleza, Unaweza kuwa unahitaji usaidizi wa muda wa kuingiziwa data zako kwenye mifumo ofisini kwako Usisite Kunitafuta, Nina ingiza Data kwenye...
1 Reactions
0 Replies
238 Views
Kwanza tuelewane. Kifaa hiki kinamzuia mtu asiweze kuwasha Chombo chako cha moto na kuondoka nacho unless akipakie au akikokote. Chombo chako cha moto ikinafungwa switch secretly na wewe unakuwa...
8 Reactions
15 Replies
2K Views
Namshukuru Mungu kwa neema zake nimehamia kwangu. Changamoto ni ka usafiri kangu kanalazwa nje! Nilikuwa naomba mwenye kujua bei ya "alarm system" ya kupiga makelele kwa saana mtu akiigusa...
3 Reactions
22 Replies
2K Views
Back
Top Bottom