Ndugu wa Wana Jamii forams, habarini za za Leo?
Kama nilivyo taja hapo juu , eneo liko Makambako. Km 12 Toka stand kuu y a Makambako.
km 4toka barabara ya kuelekea Songea.
Ukubwa acre 4
Bei...
Kuna mashamba matatu ya miti ya Mbao jamii ya pines ( pinus patulla), miti ina umri wa miaka 12 na 13. Miti hii iko kijiji cha Chogo Mufindi, ni 100km toka Mafinga kwa njia ya Ibwanzi, au 120km...
Nyumba Inauzwa Tabata.
Mahali: Misewe B, Liwiti.
Sifa za nyumba:
• Ina vyumba vya kulala 3 na master 1.
• Ina sehemu ya chakula(dining), sebule, Jiko na stoo.
• Ina korido kubwa ya ndani na...
**
Nyumba inauzwa katika eneo la Ukonga, Dar es Salaam.
Ukubwa wa Kiwanja: 885 mita za mraba
Hati: Kiwanja kimepimwa na kina hati miliki
Vyumba: Ina vyumba vinne vya kulala, jiko, na sebule...
Kiwanja kina ukubwa wa sq 1500. Ni eneo zuri kwa uwekezaji, appartment,kuishi,ofisi nk. Bei. Tshs. 600m. Mazungumzo yapo. Wasiliana nasi+255761972755,+255612246050. Nyote mnakaribishwa!!!
Habari za humu?
Kwa wale wanaohitaji line za Safaricom zimefika TZ karibuni sana mana huwa zinakuja chache na kama zikiisha huwa zinachukua kuja tena(wahi sasa)
Line 1 ni 10000 ikiwa na vocha ya...
Hello wanajukwaa,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Naomba tupeane connection za maeneo ambayo kuna viwanja au mashamba makubwa kwa bei nafuu kwaajili ya uwekezaji au ujenzi.
Mimi...
Natafuta magari 7 ya kukodi kwa ajili ya Biashara ya Taxi mtandao kwa jiji la Dodoma. Mawasiliano haya 0765777196.
Malipo kwa wiki bila kupindisha Tsh 150,000/=.
Plot Available For Sale.
Location: Kigamboni Kisarawe 2, Mwasonga road.
Descriptions:
*12km from main road (Kibada road).
*It's near to box factory (Kiwanda cha maboksi) and Dar es Salaam zoo...
TUNAFUNDISHA MASOMO YOTE,
KWA A LEVEL NA O LEVEL.
KWA WALIO MBALI NA DAR ES SALAAM, HOSTEL ZIPO.
KARIBUNI.
0625012562
0782044028.
TUPO TEGETA, DAR ES SALAAM.
MASOMO;
PHYSICS
CHEMISTRY
MATHEMATICS...
Mahali: Tegeta Nyuki, Dar es Salaam
Hosteli zinapatikana kwa walioko mbali na Dar es Salaam
Masomo Tunayofundisha:
Sayansi: Physics, Chemistry, Biology, Mathematics
Lugha: English, Kiswahili...
Habari naitwa Rashid
kama kichwa cha habari kinavyoeleza, Unaweza kuwa unahitaji usaidizi wa muda wa kuingiziwa data zako kwenye mifumo ofisini kwako Usisite Kunitafuta,
Nina ingiza Data kwenye...
Kwanza tuelewane. Kifaa hiki kinamzuia mtu asiweze kuwasha Chombo chako cha moto na kuondoka nacho unless akipakie au akikokote.
Chombo chako cha moto ikinafungwa switch secretly na wewe unakuwa...
Namshukuru Mungu kwa neema zake nimehamia kwangu.
Changamoto ni ka usafiri kangu kanalazwa nje!
Nilikuwa naomba mwenye kujua bei ya "alarm system" ya kupiga makelele kwa saana mtu akiigusa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.