Wadau NATAFUTA KIWANJA ukubwa 30×30 m sio hatua Kati ya Kwa Mwingira ,mjimwema mpaka Ungindoni , kuwa na Barabara ya gari umeme jirani simu yangu 0752334403.
core i5
ram 4gb
hdd 500gb
21.5 inches
Used kwa miezi kadhaa lakini bado iko safi haina tatizo lolote.
Bei 1.6 milion
Picha zinagoma upload anayehitaji kuona anitxt kwenye namba 0758358580 whatsapp...
Nauza shamba heka 1, lipo Boko Mnemela-Kibaha. Eneo lipo umbali wa 8km kutoka shirika la elimu kibaha na linafaa kwa ujenzi, ufugaji na kilimo. Halipo mbali sana na barabara inayounganisha Kibaha...
Pichani ni asali ya nyuki wadogo halisi kwa asilimia 100
Ukitaka kupima kabla hujachukua ni sawa
UKITAKA KUJUA UHALISIA
>chachu
>nyepesi
>rangi ya kahawia
MWENYE kuhitaji 0683936934
Bei...
Jibu tosha kwa mama mjamzito , mzazi, wenye upungufu wa kinga mwilini pamoja na watoto, Ni viazi lishe na unga wake wapenzi karibuni. Nipo arusha popote natuma kwa kuchangia nauli kdgo. Viazi...
Good condition
-18PPM
-Print , Copy , Scan and Fax (phone option)
-Low Noise level
-Low power consumption (power saver) auto sleep on
-Handles A4,A5&B4 paper
-Weight 8Kg
Main advantage saves...
Nahitaji MTU ambaye ataweza kuniaandalia business plan ya kuombea mkopo bank. Siko Tanzania kwa sasa na shughuli zangu hazipo tanzania, eneo nililipo sijapata MTU was kuweza niandalia iliyoshiba...
Mpooooo?smart phone nyingine tena inauzwa, ipo vizuri sana wale mlio kosa ile iliopita mka nilaumu kila MTU mi nataka mi nataka,hii APA nyingine kama upo tayari kama kawaida mfumo ni uleule ni pm...
Hbr,natafuta soko la kuuza bidhaa yangu hiyo,kwa wenye maofisi dar na maeneo ya jirabi mnakaribishwa mzigo upo unaletewa hadi ofisini kwako
0764178040!au yeyote anaehitaji napokea order
Mkazi wa Moshi Ndugu Erasto Dismas Floridi (22) akabidhiwa bajaji yake mara baada ya kuibuku kuwa mmoja kati ya washindi wa promosheni ijulikanayo kama Jiongeze na Mpesa, Shinda na SportPesa...
Ni viatu bora kabisa na vyenye kuvutia.
Kwa wanawake na wanaume.
Size mbalimbali. Pia ukitaka kuweka oda unatengenezewa.
Kwa wale wanaohitaji pairs nyingi wanapata punguzo kubwa.
Ofisi na...
salamu zenu wwkuu
Shamba la miti aina ya mipaina linauzwa hekari moja milioni na laki mbili zipo heka 50 pia shamba kwajili ya kilimo linauzwa hekali ni milioni moja zipo hekali 100 karibu pm