Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Hazina michubuko wala kuchanika bado mpya kitambaa ni lather ya kibongo. Hazjabonyea popote maana hazkaliwi Mara nyingi. Lipo kubwa LA watu wawili na mawili ya MTU mmoja mmoja jumla matatu...
0 Reactions
15 Replies
6K Views
Natafuta laini ya uwakala TIGOPESA nipo Tanga kwa yeyote Mwenye nayo tuwasiliane,0715030532
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Habari Wana Jamvi Ifanye nyumba yako iwe namuonekano wakupendeza kwagharama nafuu kabisa Wasiliana nasi kwamahitaji ya; BATHROOM PERTITION VIOO VYAKUTENGA BAFU NACHOO MADIRISHA YAKISASA BALUSTERS...
0 Reactions
0 Replies
815 Views
Natafuta mikorosho ya kisasa? Nitapataje mwenye kujua pakuipata aniPM Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
24 Replies
9K Views
Habari, Nauza Mashine mpya kabisa,ya kisasa kwa ajili ya kutengenezea juice ya miwa Inachuja yenyewe Inaweza kusaga mpaka kilo 300 kwa saa 1 750W Inawarranty ya mwaka mzima 1,100,000/ only...
3 Reactions
60 Replies
16K Views
Habarini wana jf. Kama kichwa kinavyo jieleza. Kuku aina ya Sasso majogoo na matetea walio na umri wa miezi sita wanauzwa. Bei yake kwa majogoo inaanzia shilingi 15000/= -- 20000/= na kwa matetea...
0 Reactions
20 Replies
10K Views
Wakuu kwema nahitaji kasuku ( Parot ) wa kununua nipo Arusha au msaada wa wapi ntaweza pata kasuku mmoja. -----update------ Wakuu bado sijampata huyu ndege nampenda na namuhitaji zaidi ya Sana...
4 Reactions
13 Replies
3K Views
Nothing Serious S1 Ep 1 _ Breezyy Appearance Nothing serious Inahusiana Na vitu flani flani vya harakati za vijana. kijana yoyote yule mchapa kazi atakuwa anaweza kuomba kuonana nasi tukafika...
1 Reactions
0 Replies
667 Views
Gari aina ya Suzuki Swift ipo katika hali nzuri sana, bei ni Tsh. 3,000,000/= ila inatatizo dogo katika gia box. ni automatoc, rangi nyeusi, lipo Dar Es Salaam. Wasiliana nami kwa simu Na. 0713...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Hii hapo chini Ni aina ya BOSS Bei yake Tsh 350,000/= Ipo complete Ina matengenezo kidogo
0 Reactions
9 Replies
8K Views
Njoo nikuuzie Tecno camon C9 ambayo niliinunua dukani, na simu naitumia mimi mwenyewe pia haina Tatizo lolote Specifications za simu Camera mbele na Nyuma 13MP RAM 2GB storage 16GB Rangi ni...
0 Reactions
0 Replies
761 Views
Wakuu kama tangazo linavyojieleza hapo juu nina kiwanja changu nakisukuma kwa bei cheee kipo maeneo ya mbezi msumi kina ukubwa wa 20*23 hatua za miguu ... Njoo pm
0 Reactions
0 Replies
819 Views
Amani kwenu wadau, Viwanja vya makazi vyenye ukubwa wa M.40x30 vinauzwa maeneo ya Kibaha Kwa Mfipa - Simbani, karibu na kituo cha kulelea watoto yatima cha mama Anna Mkapa. Ni eneo zuri kwa...
1 Reactions
34 Replies
6K Views
Nataka mashine ya boat ndogo 15hs, iwe yamaha Nataka kwajil ya kutumika kwenye boat ndogo Aliyenaye iwe nzima isiwe na tatizo lolote Ofa yangu milion2
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nahitaji kioo cha Laptop kiwe LED au LCD sawa tuu. Kisiwe na cracks au kuvuja wino kiwe clean Size ni 15.6 inches Njoo na Bei yako
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Ps3 ina games 5 ndani na full accessories Bei Ths. 400,000. Nicheki kwa 0677888412 au 0625612638
0 Reactions
4 Replies
1K Views
habari wapendwa .kama kichwa cha habari kinavyoeleza tunapaua nyumba mitindo yote na pia tunapaua kwa viungo vya makuti hii mara nyingi inatumika lodge nk. tupo arusha.0683 655115
0 Reactions
2 Replies
911 Views
SIFA: • Ni inch 17 ( 17') • Model Rs 1707 • Mpya imetumika miezi 6, haina tatizo lolote. √ Ipo Dar Es salaam √ Bei Tshs 160,000 Tuwasiliane : 0675 107182
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Nauza sofa la ngozi la mtu mmoja kwa bei ya 150,000 tu Halina ubovu wowote wala mchubuko wowote liko vizuri Nipo Dar es salaam, kama unahitaji nitafute kwa namb >> 0693289203
0 Reactions
21 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…