Habari wadau . Nimefanikiwa kukopa pesa bank hivyo nahitaji kiwanja kilichokuwq mjini maeneo ya mwanayamala, kinondoni na makumbusho. Ikishindikana kabisa nipate hata maeneo ya kawe
Je unahitaj kujua ni wi-fi gani Ina Bei rahisi kuliko wi-fi ya mtandao wowote hapa Tz, tujuze kwenye comment hapo chini,
Ila mim naona ni AIRTEL POCKET WI-FI.
Ni wi-fi ya Bei rahisi imara na...
Habari zenu. Natafuta TV flat screen ya inchi 24/25/26.
1. Isiwe na tatizo lolote
2. Kioo kiwe kisafi, kisiwe na mikwaruzo wala michubuko.
3. Iwe haimjui fundi.
Kama unayo, njoo PM.
Location...
LAB unga wa lishe tunatengeneza unga unaozingatia viini lishe muhimu na mtamu. Lishe haitakiwi kuwa na mchanganyiko wa nafaka nyingi mfano mchele, ngano ulezi maana zote ni wanga zinaweza...
Khanga kubwa nzito kutoka Zanzibar zinapatikana.
Material: Cotton
Bei ya Khanga: sh 20,000/=
Bei ya jumla: sh 18,000/= kuanzia Khanga 3.
Tunapatikana tabata kinyerezi/Makumbusho (Biashara ni ya...
Eneo hili liko Pangani - Kibaha Mji, jirani na ofisi za Mitamba, umbali wa kilomita 2.5 kutoka kituo cha mabasi cha Kibaha na Kibaha Shopping Mall, au kilomita 1 kutoka mnada maarufu wa mbuzi wa...
Plot Available For Sale.
Location: Kigamboni Dege 2, Amani Gomvu area.
Descriptions:
*Plots located 23km from Kigamboni ferry.
*There are 10 plots in the area.
*Each plot has title deed.
*You can...
Viwanja Vinauzwa.
Vipo Kibaha maili moja karibu na nyumbani kwa Mkuu wa Mkoa.
Viwanja viko viwili ndani ya eneo moja, moja ina nyumba ya vyumba vitatu.
Ukubwa wa Eneo: Sqm 1294 na cha pili Sqm...
Habari za wakati huu wakuu. Mimi ni kijana ambaye nimeamua kitumia mtandao kutengeneza CONNECTION za biashara.
Leo hii naomba kama kuna mwenye mawasiliano ya kampuni ya KYOSK mkoa mwanza...
Unaweza kuagiza bidhaa zako bila kutangulia hata mia,utalipia bidhaa zako baada ya kuziona kwa macho yako.
1.Tumelenga Makundi ya watu wafuatao:
Wajasiriamali.
Watu Binafs.
Wafanya Biashara...
Watu wengi wamekuwa wakinunua laptop bila kujua wanaenda kutumia kwenye matumizi gani au mwingine ananunua laptop yenye uwezo mkubwa sana kuliko matumizi yake. Sio mbaya kufanya hivyo bali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.