Unaweza kuagiza bidhaa zako bila kutangulia hata mia,utalipia bidhaa zako baada ya kuziona kwa macho yako.
1.Tumelenga Makundi ya watu wafuatao:
Wajasiriamali.
Watu Binafs.
Wafanya Biashara...
Watu wengi wamekuwa wakinunua laptop bila kujua wanaenda kutumia kwenye matumizi gani au mwingine ananunua laptop yenye uwezo mkubwa sana kuliko matumizi yake. Sio mbaya kufanya hivyo bali...
Wakuu habari zenu
Natafuta spea ya Sony Hometheatre, kifaa ninachotafuta ni zile gia nyeupe zinazozungusha CD na kusapoti mlango ufunguke. Katika Hometheatre yangu zimevunjika zote 3.
Mwenye...
Leo tumefanya Generator installation kwenye kiwanda kimoja hapa Dar.
Pia tunatengeneza Upande wa Engine pamoja na Kusuka vinu yaan Motor and Ac Alternator Rewinding. Tunapatikana Tabata Relin...
Nauza eneo langu, lipo Kigamboni Mwasonga heka mbili
BEi: 15 million
Halijapimwa, lina document za mauziano za serikali ya mtaa
Linafaa kwa kukata viwanja, kilimo, ufugaji, makazi n.k
Hyo barabara...
Piga 0746373222...Je,umechoka kusumbuliwa na vibaka na WIZI wanaoruka fensi YAKO na kuja kukuibia ndani ya NYUMBA?
Je,umechoka kuwa na NYUMBA yenye fensi lakini fensi hiyo haikusaidii kuzuia WIZI...
Habari wakuu....
Nahitaji godoro liwe 5*6 kuanzia inch 8 na kuendelea.
Mahali linapohitajika:Unguja Zanzibar
Bajeti Iko vizuri wewe taja bei kulingana na ubora.
Air cooler inayotakiwa ni Orient...
Habari wadau, nauza acoustic guitar kama linavyoonekana kwenye picha hapo, lipo vizuri na linapatikana mbagala kuu. Kwa mwenye kuhitaji anaweza kuni PM bei ni 140k .
Asanteni
House For Sale.
Location: Msasani Near Dar Villa, Misitu St.
Features: 1 storey, 4 bedrooms, 4 bathrooms, public toilets, Kitchen, Laundry, Dining, Sitting, Store, water tank, and servant's...
Nahitaji pikipiki iliyotumika moja kati ya nilizotaja hapo juu. Iwe namba D/E...
Ile ya matumizi binafsi (namber plate ya njano) itapendeza zaidi kwa mwenye nayo.
Nyumba Inauzwa Tabata Bima, Dar es Salaam.
Mahali: Mtaa wa Mbiu.
Sifa za Nyumba:
*Iko mita chache kutoka barabara ya kuelekea Tabata kimanga.
*Ina Vyumba viwili vya kulala, chumba kimoja ni...
mfumo wa VFD SYSTEM ni mfumo wa utoaji receipt za tra ambao ni mpya na ushaanza kufanya kazi Tanzania ambao mfumo huu mfanya biashara ataunganishiwa kwenye simu yake au computer kwa kufanya...
Kwa mwenye nayo na yenye nyaraka halali naomba anicheki inbox tuyajenge. Shariti iwe TVS hlx 125, Haujue express 125 au honda cb 125. Yenye usajili D/E... njano itapewa kipaumbele zaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.