Habari
Tunajihusisha na utoaji wa mkopo Kwa wafanyabiashara kuanzia million Moja Hadi SHILING MILLION 40
Muda wa kurejesha MIKOPO ni miezi mitatu Hadi miaka Tano lakini Kwa mkopo unaoishia...
House For Sale.
Location: Bahari beach near Catholic Church.
Features: 4 bedrooms ensuite, public toilet, Kitchen, Dining, Sitting, Store, Water tank, servant's quarter.
Size: 1 Acre.
Price: Tsh...
Plot For Sale in Kigamboni Mwasonga.
Along tarmac road, 16km from ferry.
Plot size: SQM 7472.
Price: Tsh 600 Million.
Document: Title Deed.
For further details or to arrange a viewing, kindly...
Nyumba Inauzwa Bahari beach, Dar es Salaam.
Mahali: Mtaa wa Simba/Mugeta.
Sifa za Nyumba:
*Iko Mita 100 kutoka barabara kubwa ya ununio.
*Ina vyumba vitano vya kulala, vyote ni master.
*Huduma...
Plots Available For Sale.
Location: Kigamboni Dege, Amani Gomvu area.
Descriptions:
*Plots located 23km from ferry, 800m from main road.
*There are 10 plots in the area.
*Each plot has title...
Waheshimiwa nakuja kwenu kwa heshima na taadhima siku ya leo, nahitaji magunia ya kuwekea tumbaku (Heysian bags). Hapo Tanzania naweza nikaipata wapi kwa bei nzuri?
Habari ndugu,
Kwa wale wanaovutiwa kuwekeza katika kilimo, Ndani ya mkoa wa Njombe, wilaya ya Njombe, Tarafa ya Lupembe, nimewaletea mashamba mahususi kwa dhumuni hilo.
Kuna jumla ya ekari 400...
Habari ndugu,
KUNA SHAMBA LA MITI AINA YA MIPAINA LINAUZWA,
Shamba lipo mkoa wa Njombe, wilaya ya Njombe mjini, kata ya Kifanya, kijiji cha Lilombwi.
Lina ukubwa wa ekari 20, na kila ekari...
Kwa wale wote wenye nyumba za kupangisha tafadhali tuweke taarifa zetu hapa.
Na wale wanaotafuta nyumba za kupanga tuweke taarifa za nyumba tunazotaka hapa.
Maana madalali ni stressful.
Karibuni
Viwanja Vinauzwa.
Vipo Kibaha maili moja karibu na nyumbani kwa Mkuu wa Mkoa.
Viwanja viko viwili ndani ya eneo moja, moja ina nyumba ya vyumba vitatu.
Ukubwa wa Eneo: Sqm 1294 na cha pili Sqm...
Viwanja Vinauzwa.
Vipo Kibaha maili moja karibu na nyumbani kwa Mkuu wa Mkoa.
Viwanja viko viwili ndani ya eneo moja, moja ina nyumba ya vyumba vitatu.
Ukubwa wa Eneo: Sqm 1294 na cha pili Sqm...
Nyumba inauzwa Goba, Dar es Salaam.
Mahali: Lilian Kibo kwa Mwakifulefule.
Sifa za Nyumba:
*Nyumba haijakamilika, imefikia kwenye hatua ya umaliziaji.
*Iko mita chache kutoka barabara ya Goba...
Wakuu habari
Mahitaji chumba na sebule maeneo ya Mbagala ambako nimehamishia shughuli zangu
Maisha yangu kwa asilimia kubwa hapa mjini nimeyaishi Ubungo rudi mpaka Mbezi
Natafuta maeneo ambayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.