habar... ninauza Nissan patrol yangu kwa bei rahisi sana. Lakin pia kama una gari ndogo ambayo uko kwenye hali nzur tunaweza kuelewana tu. Gari ina tatizo kidogo kwenye bodi so inahitaji repairs...
Nyumba ni mpya, ina miaka miwili tu toka imejengwa.
Location: pugu (kinyamwezi)
Plot size: sqm 1600 ( 40×40)
Three bedrooms (one of them is master bedroom)
Dining room, sitting room, public...
Habarini wanaJF,
Kama heading inavyosomeka. Hisa za kampuni ya TFA zinauzwa, zipo hisa 960 na kila hisa moja ina thamani ya Tshs 10,000/=
Kwa yeyote anayehitaji, please just PM Me tuongee..
Habari wana jf
L8 Lite 5-Inch IPS (1GB Ram, 16GB ROM) Android 6.0 Marshmallow, 8MP real camera+ 2MP front camera, ina support games zote kubwa,fast browsing,
Kwa upande wa juu Kulia Ina crack...
Habari wakuu, poleni na majukumu. Nipo hapa kwa niaba ya jamaa zangu walio na kikundi chao kinachohusika na ufugaji nyuki kwa ajili ya asali. Kwa msimu wa mavuno wa mwaka huu unaotarajiwa kua na...
Wakuu habari zenu?? Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu. Ningependa kujua ni sehemu gani kwa hapa Tanzania naweza kupa hiyo Fuel pump ya Vokswagen Touareg, iwe mpya au used?? Nipo Dar es...
Salaam.
Ninauza nyumba yenye vyumba vinne viwili ni master sebule kubwa 16sqft dining jiko na servant room jikoni.
Nyumba haijafanyiwa fining ndogo ndogo
Pia nyumba ina garden, shamba dogo (incase...
Wadau naomba kupata msaada wa soko la muhogo. Nimelima muhogo natarajia kuanza kuvuna mwezi wa sita na wa saba. Shida Yangu ni kupata soko ambalo litaniwezesha kuuza kwa pamoja.
Ndugu mwanajamii, kutana na jopo la mafundi waliobobea katika masuala ya rangi za majumba, katika uchanganyaji, ku design pamoja na kufanya skimming.
Kazi zetu ni za uhakika, hasa tunapo fanya...
Jipatie unlimited data ya mwezi mwaka miezi 3 mwezi mmoja
Km unahitaji huduma hii nitafute WhatsApp' no 0625672871
Internet hii INA speed hadi mb 5 kwa sekunde tumia wew hadi GB 20 kwa siku ni...
Iko Wazo-Mivumoni Dar es Salaam.
Iko ndani y6a gate inajitegemea na kuna wapangaji watano kila mtu anajitegemea kwa kila kitu japo ndani ya gate moja.
kuna parking ya kutosha magari manne.
kila...
Wadau,
Mimi natumia kingamuzi cha star times tangu vimefika ila sasa ujio Wa vingamuzi Vingi unanifanya niwe na ham ya kujaribisha vlinguine.
mimi Sina hobby na Mpira ila napenda sana world news...
Amana bank ni benk inayofuata misingi ya kiislam ambapo hukopesha bila kutoza riba kama uislamu unavyoamrisha. Bank hii inakopesha bila kubagua dini kwani inatoa huduma kama bank zingine...