Habari za jioni wanajamvi
Niliona wale SUMA JKT kwenye TV wanatengeneza miradi ya ufugaji samaki kwenye matenki ni technologia nzuri niliipenda ila bahati mbaya hawakuweka namba zao za simu naomba...
Wakuu habari zenu poleni na mihangaiko ya hapa na pale ya kujikwamua na maisha haya ya kukaza kwa vyuma...
Niende katika kusudio langu, nahitaji chumba na sebule mitaa ya buza kanisani.
Bajeti...
habari wandugu nilisikia kuna kampuni ya Wakorea fulani hivi wanakopesha mashine za kutolea photocopy lakin sijajua vizuri wako wapi naomba anayejua anisaidie au kama kuna kampuni inafanya hyo...
Habari wanabodi natumaini wote ni wazima wa afya njema, kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu karibu utanganze biashara yako na kulunzifikra media kwa bei nafuu kabisa kama kweli unataka...
habar... ninauza Nissan patrol yangu kwa bei rahisi sana. Lakin pia kama una gari ndogo ambayo uko kwenye hali nzur tunaweza kuelewana tu. Gari ina tatizo kidogo kwenye bodi so inahitaji repairs...
Nyumba ni mpya, ina miaka miwili tu toka imejengwa.
Location: pugu (kinyamwezi)
Plot size: sqm 1600 ( 40×40)
Three bedrooms (one of them is master bedroom)
Dining room, sitting room, public...
Habarini wanaJF,
Kama heading inavyosomeka. Hisa za kampuni ya TFA zinauzwa, zipo hisa 960 na kila hisa moja ina thamani ya Tshs 10,000/=
Kwa yeyote anayehitaji, please just PM Me tuongee..
Habari wana jf
L8 Lite 5-Inch IPS (1GB Ram, 16GB ROM) Android 6.0 Marshmallow, 8MP real camera+ 2MP front camera, ina support games zote kubwa,fast browsing,
Kwa upande wa juu Kulia Ina crack...
Habari wakuu, poleni na majukumu. Nipo hapa kwa niaba ya jamaa zangu walio na kikundi chao kinachohusika na ufugaji nyuki kwa ajili ya asali. Kwa msimu wa mavuno wa mwaka huu unaotarajiwa kua na...