mimi ni mwanafunzi..chuo kikuu cha kilimo sokoine (SUA)..natafuta wafugaji wa nguruwe wanaofanya shughuli zao manispaa ya morogoro..ni kwa ajili ya utafiti wa kitaaluma (academic research)...
Habari, Mimi ni mkazi wa dar es salaam, najihusisha na biashara ya parachichi na matunda mengine kutoka mkoani jumla na reja reja, naleta kwa order, naomba msaada zaidi kwa soko la parachichi na...
wakuu mwenye kujua printer zinazouzwa tsh. 100,000 hadi 110,000 anijuze. pia asisahau kunijuza aina ya printer(specification) pamoja na duka zinapouzwa.
Eneo lipo pazuri sana na panafaa matumizi ya kiwanda, godaun, Hospital nk
Zipo karibu na barabara
Bei 550m
Maongezi na mawasiliano zaidi wasiliana nami kwa :-
0756060183
Lenovo T420s
RAM 4GB
HDD 320GB
CORE i5
Bei 450000/=
********
HP Core i5
RAM 4GB
HDD 320
Bei 410000/=
******
Zipo na nyingine nyingi hadi za bei ya chini yaani 280k
Dell, lenovo, HP
Tuwasiliane...
Ahsanteni wote mnaonipa mrejesho wa matokeo ya chanya baada ya kutumia mafuta haya..!
Kiukweli hata mimi wakati mwingine sielewi inakuwaje ila namshukuru Mungu kwa kila anayesema amepona kwa...
Nyumba ipo maeneo ya Chamwino mwishoni karibu na Modeko.
Ina vyumba 11 kwa ajili ya kupangisha na Frame nje!
Ina hati na kiwanja kimepimwa, maji na umeme vipo na havikatiki 24hrs maana line yake...
Natafuta gari ya kununua aina ya ist,iwe ya kuanzia 2013 na kuendelea, iwe kwenye hari nzur ikiwa nyeupe itapendeza zaidi, nicheki waka.experience@gmail.com
We Design and Develop Websites and Blogs.
This offer includes but not limited to
- .tz Domain
- 1 Year Free Hosting Plan
- 10 Corporate Email Accounts
- 2 Months Free Maintanance
If you are...
Habari?
Nimechimba bwawa dogo kwaajili ya ufugaji wa samaki hapa nyumbani. Ni ufugaji kwaajili ya hobbie tu si kibiashara.....
Sasa udogo huu hautuamishi maji hivyo maji yanapotea sana...