Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

mimi ni mwanafunzi..chuo kikuu cha kilimo sokoine (SUA)..natafuta wafugaji wa nguruwe wanaofanya shughuli zao manispaa ya morogoro..ni kwa ajili ya utafiti wa kitaaluma (academic research)...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Brand New boxed Samsung Led Tv inches 55 inaenda kwa 1,200,000 Lg inches 43, 850,000 pics nitaweka baadae app ya jf inazingua
0 Reactions
5 Replies
889 Views
TECNO W5 ,kwa wanaoifaham techno w5 Nicheck tuongee 0766 221900/0683727788,, Niko mikwambe -- kigamboni
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari, Mimi ni mkazi wa dar es salaam, najihusisha na biashara ya parachichi na matunda mengine kutoka mkoani jumla na reja reja, naleta kwa order, naomba msaada zaidi kwa soko la parachichi na...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
wakuu mwenye kujua printer zinazouzwa tsh. 100,000 hadi 110,000 anijuze. pia asisahau kunijuza aina ya printer(specification) pamoja na duka zinapouzwa.
0 Reactions
24 Replies
12K Views
Husika na kichwa cha habari hapo juu, Naomba anaejua bei za CCTV camera, taja kila aina CCTV na bei yake. Msaada ndugu wana JF
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Nataka kamera yenye quality nzur ya picha na video Nicon d500 na yeyote ile, Nichek, waka.experience@gmail.com
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Nahitaji chumba Bunju .. Mahtaji muhimu yawepo. Bei iwe 40000
0 Reactions
7 Replies
900 Views
Eneo lipo pazuri sana na panafaa matumizi ya kiwanda, godaun, Hospital nk Zipo karibu na barabara Bei 550m Maongezi na mawasiliano zaidi wasiliana nami kwa :- 0756060183
0 Reactions
6 Replies
897 Views
Lenovo T420s RAM 4GB HDD 320GB CORE i5 Bei 450000/= ******** HP Core i5 RAM 4GB HDD 320 Bei 410000/= ****** Zipo na nyingine nyingi hadi za bei ya chini yaani 280k Dell, lenovo, HP Tuwasiliane...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Viatu vipya vya kike toka UK, tuwasiliane 0755364727 bei kuanzia Sh 30,000/= hadi 35,000/=
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ahsanteni wote mnaonipa mrejesho wa matokeo ya chanya baada ya kutumia mafuta haya..! Kiukweli hata mimi wakati mwingine sielewi inakuwaje ila namshukuru Mungu kwa kila anayesema amepona kwa...
0 Reactions
31 Replies
8K Views
Nyumba ipo maeneo ya Chamwino mwishoni karibu na Modeko. Ina vyumba 11 kwa ajili ya kupangisha na Frame nje! Ina hati na kiwanja kimepimwa, maji na umeme vipo na havikatiki 24hrs maana line yake...
0 Reactions
63 Replies
7K Views
Natafuta gari ya kununua aina ya ist,iwe ya kuanzia 2013 na kuendelea, iwe kwenye hari nzur ikiwa nyeupe itapendeza zaidi, nicheki waka.experience@gmail.com
0 Reactions
4 Replies
874 Views
Nahutaji sim Tecno Camon Cx, bajeti yangu 180k.
1 Reactions
0 Replies
425 Views
We Design and Develop Websites and Blogs. This offer includes but not limited to - .tz Domain - 1 Year Free Hosting Plan - 10 Corporate Email Accounts - 2 Months Free Maintanance If you are...
0 Reactions
0 Replies
580 Views
Kama kawa kamakwaidaaaa ndugu mtanzania uliyepo Dodoma unaweza niuzia azamtv decoder with dish bajet 100000plz pm me if you are interested
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Tunakodisha na Kuuza vifaa vya barabara na ujenzi. Tunapatikana Daressalam, Dodoma na Singida. karibu sana. 0654919121 0658919121
0 Reactions
0 Replies
867 Views
Habari? Nimechimba bwawa dogo kwaajili ya ufugaji wa samaki hapa nyumbani. Ni ufugaji kwaajili ya hobbie tu si kibiashara..... Sasa udogo huu hautuamishi maji hivyo maji yanapotea sana...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wakuu! Smartphone inauzwa Huawei Y330 kwa Tsh.40000/=tu,wahi sasa ujipatie simu yako kwa bei rahisi,mawasiliano ,0673269820.
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…