Khanga kubwa nzito kutoka Zanzibar zinapatikana.
Material: Cotton
Bei ya Khanga: sh 20,000/=
Bei ya jumla: sh 18,000/= kuanzia Khanga 3.
Tunapatikana tabata kinyerezi/Makumbusho (Biashara ni ya...
Ina 4G-LTE
32GB Internal memory
3GB RAM
2500 mAh removable battery
5.0" HD screen
Android 6
Inapatikana kwa fixed price ya Tsh. 200,000/=
popote pale nday ya Tanzania nakutumia
Nauza SmartTv kampuni ya Hisense inch 40 kwa 500,000 tu.
Box na Risiti vyote vipo.
Tv haijawahi kwenda kwa fundi na wala haina shida yoyote.
Mawasiliano 0626753305
Napatikana Dar es Salaam.
Plot Available For Sale.
Location: Kinondoni Morocco, Uporoto Street.
Size: SQM 3326.
Price: USD 1.2 Million (Negotiable).
Document: Clean Title Deed.
For further details or to arrange a viewing...
Wakuu habari.
Mimi kwa sasa , ninafanya kazi Kama Diaspora Messenger.
Kazi ninazofanya ni Kama kuwawakilisha watanzania wote waliopo nje ya nchi kwa kufanya Kazi zao mbali mbali.
Ikiwa wewe ni...
wakuu na mali nyingine inauzwa Sabufa mpya kabisa japo imetumika, aina ya Rising mdundo wa maana Hometheatre Haoni ndani, Bluetooth, FM Radio, SD/MMC Card, Flash Disc kama kawaida. Bei sawa na...
Wakuu TV inauzwa bei ya ofa pamoja na meza yake. Tv ni inch 24 aina Homebase, double screen, na pia inatumia solar. Bei 150,000 pamoja na meza yake.
Nicheki 0784 884 950. Location Vikindu...
Wadau napenda kuwapeni mchongo huu kuhusu kampuni ya Simba Cargo ,kampuni yetu inasafirisha mizigo midogo na mikubwa na Full contena kutoka China na Dubai kwa garama sawa na bure. Pia kampuni ya...
Khanga kubwa nzito kutoka Zanzibar zinapatikana.
Material: Cotton
Bei ya Khanga: sh 20,000/=
Bei ya jumla: sh 18,000/= kuanzia Khanga 3.
Tunapatikana tabata kinyerezi/Makumbusho (Biashara ni ya...
Kiwanja Kinauzwa, kimezungushiwa uzio na kipo kwenye kona (Corner plot).
Mahali: Kigamboni Tuangoma, karibu na nyumbani kwa Mkuu wa Wilaya.
Kipo kilomita 1 kutoka barabara ya kuelekea Tuangoma...
Wadau mimi nitafuta mkopo wa zana za kilimo. Najaribu kufatilia hizi taasisi mbili zinazotoa mikopo ya zana za kilimo. Moja inaitwa Equity for Tanzania (EFTA) ingine ni Maisha Finance Limited...
Attention Property/Plot Owners!
We are in search of a plot to buy in the heart of Dar es Salaam. The plot should be between Ali Hassan Mwinyi road to New Bagamoyo road, Mwai kibaki road from...
Ney Ubuyu wa Kishua
Unaanzaje kupitwa na kiburudisho hichi kizuri
Hauachi Rangi mdomoni
Ubuyu mzuri wenye ladha ya Vanilla, Chocolate na Pilipili
Jumla na Rejareja unapata
Kisado 20,000 Ndoo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.