Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habr guyz, kwa yeyote anaehtaj frij la mtumba dogo la mlango m1, kubwa la milango miwili na friza aniPM. Yanapatkana kwa bei ya elf90 mpk laki2. Mazuri na yanadumu muda mrefu. Karibu.. NiPM
2 Reactions
23 Replies
10K Views
wadau hivi tani moja ya mahindi ni sawa na gunia ngapi ? Pia ningependa kujua bei yagunia moja bei miezi hii February 2018 Ahsante
1 Reactions
28 Replies
18K Views
Kama wewe unafanya biashara halafu huna website hapa ndio penyewe. Tunatoa huduma zifuatazo *tengeneza blog na website poja na apps kwa gharama nafuu kabisa *tuna tangaza biashara yako na...
0 Reactions
3 Replies
906 Views
Habari zenu wadau Leo nakuja na maada hii ambayo inaonesha faida zinazo patikana katika majani ya stafeli >hutibu saratani >hutibu ngiri >hutibu tezi Duke Kwa uchache hivi ndivyo navyo faham kwa...
1 Reactions
89 Replies
24K Views
Habarini wakuu nauza laptop aina ya sony vio kwa 250,000 Specification Intel pentium Ram 4gb Hd gb 500 64 bit Matatizo Baadhi ya batani hazibonyezeki ni ya kubadilisha mother board Betri...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Salaam wana uchumi Nina gunia zangu 10 za mahindi mkoani kigoma,nataka kuziuza wale wenye uzoefu wa biashara ya mazao mnijuze bei zimekaaje kwa wakati huu Asanteni
0 Reactions
14 Replies
5K Views
OFA! OFA! OFA! (NIPE NIKUPE ZAIDI) NIPE 500 NIKUPE 550, NIPE 1000 NIKUPE 1100, NIPE 10,000 NIKUPE 11,000, NIPE 50,000 NIKUPE 55,000 YOTE YANAWEZEKANA! NUNUA VOCHA, KWA NJIA YA MTANDAO KWENYE...
0 Reactions
47 Replies
9K Views
Samsung j2 Iko katika hali nzuri inauzwa Ina yafuatayo: Speed yake ni 1.4GHz Saizi yake ni inchi tano Kamera ya mbele ni 5 MP na Kamera ya nyuma ni 8 MP RAM yake ni 1.5 GB ROM yake ni 16...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nunua Vocha kwa njia ya Vocha-pesa upate 10% ya ziada! Hii siyo ya kutania Nipe 500 nikupe 550, Nipe 1000 nikupe 1100, Nipe 2000 nikupe 2200, Nipe 5000 nikupe 5500, Nipe 10,000 nikupe 11,000...
0 Reactions
2 Replies
792 Views
Punguzo printer ya HP laserjet p2055d kwa 300k... 35 pages per minute. .....ni nzima kabisa 0755100907
0 Reactions
0 Replies
947 Views
.
0 Reactions
0 Replies
336 Views
Upimaji wa udongo kwa kilimo bora Mlingano, Tanga Tanzania Kwa ukulima bora na wa kisasa tunawashauri wakulima na wawekezaji ktk kilimo kupima rutuba ya udongo ili kujua virutubisho vilivyomo...
1 Reactions
7 Replies
4K Views
Nauza Line za Uwakala Tigo :200000 Voda :150,000 Airtel : 150000 documents zote zipo. Bei nilizoweka hapo ni FIXED. Location: MWANZA. Kama muhitaji serious karibu PM. Update : TIGO LINE...
0 Reactions
2 Replies
757 Views
Mwaka : 1999 Cc : 1980 Km : 138122 Petrol Automatic Ina4wd Mahali hilipo :magomen Gari ipo safi haina shida injini safi gia box safi Bei : mill 3.85(bei haipungui) Simu ...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Ndugu zangu kila siku natafuta kitu cha kufanya ili niongeze kopato nilikuwa nakwama kutokana na mazingira niliyopo, nimetamani kwenda chuo kuchukua degree ya ACC. lakini TCU wamekuja na hili la...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Wakuu salama! Nimekuwa nikitafuta kijana, mchapa kazi mzuri katika kunisaidia kazi za ufugaji wa kuku na Mbwa. Lakini pia shughuli za kilimo. Cha ajabu na cha kushangaza vijana wengi wa...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
White, used Samsung galaxy tab 3, WiFi, 16gb, price Tsh. 230,000/=... @ Mbezi Beach, DSM. Call/WhatsApp 0763947003...
0 Reactions
2 Replies
701 Views
Kwanza kabisa ninauza kitabu cha kujifunza kiingereza nacho kinaitwa jifunze kiingereza kwa kiswahili. Playstore sh.10000.(App) Kwa browser sh 7000.(website) Kitabu hichi kina topic 4...
0 Reactions
4 Replies
9K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…