Jipatie socks ,vests na Boxer za Jannele Underwears kwa bei nzuri...Free delivery kwa Dar es salaam.
Socks= 5000@
Vests ,Boxer=10000@
Piga 0768643685 uhudumiwe.
Karibuni sana.
Umaridadi huanzia...
Natafuta Daktari (M.D) kufanya kazi katika kampuni ya ujenzi, preferably mwanaume, work station chalinze, salary ni 1.250.000/- .....free breakfast, lunch n dinner....social security and health...
Wakuu simu tajwa hapo juu inauzwa, iko katika hali nzuri sana na haina tatizo lolote. ukinunua unaweka line zako unakuendelea na mambo mengine.
Kwa mwenye uhitaji piga or whats up namba...
Wana jf naimba mnisaidie kuhusu bajaji ,nataka kufahamu bei zake, upatikanaji wake ,aina zake ,na hata Tabia zake.
Na yangu ni kutata kuingia kwenye biashara hiyo. So kama kina mjuzi naomba...
D-TECS tumekuja na offer kabambe na ya muda mfupi kwa wale wanaopenda kumiliki blog, website au domain name zao wenyewe kwa bei nafuu kabisa.
1.Domain name - Tsh.12,000/year (.online .site .tech)...
A Cafe in City Centre is looking for a Manager.
- Working hours will be 3pm to 11pm.
- Must be flexible with working hours
- Must have previous restaurant management experience
- Must be...
Ndugu wanajf naomba mnisaidie kusambaza taarifa za kupotea Ndugu Vitalia Mung'ong'o ni mwenyeji wa Njombe Ila kwa Sasa alikwepo Kwa kijana wake Dar mitaa ya Makuburi kibangu.
Alipotea jana Tarehe...
Habari zenu wapendwa, natoa mafunzo ya kujiajiri binafsi kwa njia ya mtandao yaani Whatsup group(Darasa).Masomo yatolewayo;-
~ Utengenezaji Sabuni za maji
~ Utengenezaji ubuyu
~ Utengenezaji...
Ricoh Aficio 1515MF IPO vzuri ilikua inatumika privately IPO vzuri haina shida ni kuchukua na kuanzia biashara tuu.. Imetoka Germany
Bei Tsh 450,000
Location: Magomeni Dar es salaam
Contacts...
NINI: Shamba la ukubwa wa hekari 27 linauzwa
WAPI: Lipo kijiji cha mkuzi,kilichopo kilometa 7 toka kilwa road, eneo la Mwanambaya hatua chache toka kiwanda cha Bakhresa cha Mwandege.Kijij hichi...
Wana wa Taifa la Mungu,
Naomba kama Kuna Truck Driver anayekuja Arusha kutoka Dar, Morogoro Au Tanga naomba aniwekee hapo gunia Moja please .Ni msaada naomba please. .
Asante sana Taifa la mungu,
SPECIFICATIONS:
HARD DISK : 500GB
RAM : 4GB
PROCESSOR : 1.60GHZ
BATTERY: INAKAA NA CHARGE MASAA 4
COLOR - BLACK
BEI TSHS: 440,000/= MAZUNGUMZO YAPO
LOCATION : KIJICHI DAR ES SALAAM...
Ndugu zangu Tunsifu Yesu Kristu, Bwana Yesu asifiwe, Asalaam Aleykum, habari zenu nyote, narafuta ukumbi wa kukodisha unaoweza kubeba watu 100-200 uwe na mazingira mazuri ya kujisitiri (vyoo), pia...
*LIVINGSTONE HOTEL*
Kwa Mahitaji yako ya Hotel Nzuri yenye hadhi ya Kimataifa ndani ya *Bagamoyo*
Karibu *Livingstone Hotel* Ukutane huduma bora za Kihotel kutoka kwa staffs wetu wenye *Weledi*...