PastorA
JF-Expert Member
- Jul 14, 2016
- 361
- 275
Ndugu zangu Tunsifu Yesu Kristu, Bwana Yesu asifiwe, Asalaam Aleykum, habari zenu nyote, narafuta ukumbi wa kukodisha unaoweza kubeba watu 100-200 uwe na mazingira mazuri ya kujisitiri (vyoo), pia usiwe katikati ya mkusanyiko au makazi ya watu yaani uwe pembeni kidogo na makazi ya watu wengi. Maeneo elekezi ni Mbagala,Kongowe,Mabibo,Sinza, Mtoni, Gongo la mboto.n.k
NB: Uwe ndani ya mkoa wa dsm na sio nje sana.
Mwenye taarifa nijuze PM.
NB: Uwe ndani ya mkoa wa dsm na sio nje sana.
Mwenye taarifa nijuze PM.