Wadau nauza hii simu yangu
Maelezo yake na picha hapo chini
Samsung A34
Storage 128gb
Inakaa na chaji zaidi ya masaa 24 ukiwasha data na mpaka siku 3 bila data
Napatikana Dar es salaam
Namba...
Eneo hili lipo njia ya koba kutokea Mbezi Magufuli ni karibu Zaidi pia kutokea mjini Kwa njia ya goba ni Sawa pia.
Mita 100 kutoka usawa wa eneo hadi barabara kuu ya Goba.
Location kituo cha...
𝗕𝗠𝗪 𝗫𝟯
Mwaka 2014
Engine 1990cc-Diesel
Rangi Pearl White
Mileage 57,000km
Bei 48,500,000 tsh
📌M-Sport 📌Genuine Leather Seats 📌Push to Start
☎+255626682228
Shamba lenye ukubwa wa eka 20 linauzwa lipo kijiji cha Mbwawa karibu na Mlandizi wilaya ya Kibaha.
Lipo karibu na chanzo cha kudumu cha maji(mto) ambao haukauki.
Linafaa kwa shughuli za kilimo...
BRIGHT AND GENIUS EDITORS TUNAANDIKA NA KUHARIRI DOCUMENTS ZIFUATAZO:
1. Bussiness Proposal/Plan,
2. Katiba za Vikundi,
3. Cover Letter na CV/Resume,
4. Website Content,
5. Barua za Wadhamini,
6...
Habari wakuu nauza kiwanja kipo tegeta. kimezungukwa na huduma zote za kijamii kama vile kituo cha polisi cha tegeta mita mia kutoka kituo hiko. pia kimetazamana na chuo cha MZUMBE na shule ya...
Wakuu, Habar za leo mabibi na mabwana ni matumaini yangu mu wazima wa afya na mnaendelea vizuri na majukumu yenu ya kila siku
Kuna pooltable linauzwa bei ni maelewano liko vizur lipo mkoa wa...
Unasumbuka na nafasi ndogo nyumbani? Umekuwa ukitamani fanicha ambazo hazichukui nafasi kubwa lakini bado zinapendeza na kudumu?
Afro Eco Wood Designs imekuletea suluhisho: fanicha za kisasa zenye...
Nyumba Inauzwa Kimara.
Mahali: Kimara Temboni, Mtaa wa Mtakuja.
Sifa za Nyumba:
•Ipo km 1 kutoka barabara kuu ya Morogoro.
•Ina chumba chenye choo ndani, sebule na jiko.
•Ina mpangaji analipa...
• Direction:
Mbezi Luis. Mwendo wa miguu mpaka Magufuli Terminal
• Condition
bado mpya
• Features:
-sefukontena ya vyumba vinne
-nyumba ya mtumishi ya chumba sebule
-fremu 2 za duka
-choo...
Kama wewe ni mfanyabiashara una biashara yako unataka iwe inaonekana kwenye Google map yaaani mtu ata aki request a Afike hadi dukani kwako yaani duka linaonekana kwenye raman Ya dunia kama...
Khanga kubwa nzito kutoka Zanzibar zinapatikana.
Material: Cotton
Bei ya Khanga: sh 20,000/=
Bei ya jumla: sh 18,000/= kuanzia Khanga 3 kila moja.
Tunapatikana tabata kinyerezi/Makumbusho...
Habari wanajamii forum napenda kushirikiana na nyinyi kitu kimoja hasa watu makini kutoka mkoa wa Kilimanjaro.
Mimi ni mwalimu wa chemistry na biology. Nina safari ya kuja Kilimanjaro kipindi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.