Heshima yenu wana Jamvi.
Ninauza Universal 4G LTE MiFi router(router ya 4G inayoingiza line mtandao wowote.
Router hii ina sifa zifuatazo
Inaingiza line zote
Inaruhusu 3G au 4G kulingana na eneo...
Habari Wana Jamiiforums!
Kama wewe ni mwanafunzi, mfanyabiashara, blogger, YouTuber, au mtu yeyote wa kawaida anayehitaji msaada wa haraka na bora katika kazi za maandishi na content. Usihangaike...
Kiwanja Kinauzwa, kina msingi wa ukuta.
Mahali: Kimara Temboni.
Kipo km 1 kutoka barabara kuu ya Morogoro, Mita 300 kutoka barabara ya lami ya kuelekea kwa Mfugale.
Ukubwa wa Eneo: SQM 308.
Bei...
Plot Available For Sale.
Location: Kigamboni Gezaulole, near Gezaulole Dispensary.
2nd row from beach, 100m away from Indian ocean.
Size: SQM 911
Price: Tsh 150 Million (Fixed).
Document: Clean...
Nyumba inauzwa
iko bunju nyuma ya bank ya crdb na nbc
Nyumba ya 3 kutoka lami kubwa ya bagamoyo
Nyumba kiwanja sqm 700 eneo kubwa sana
Nyumba inavyumba 3 na 2 vina choo ndani
Nyumba...
Nyumba inauzwa. Ipo Kiluvya Madukani. Eneo lake 60x20. Nyumba ina vyumba 2 vya kulala na master 1. Ina sebule kubwa. Jiko, stoo na choo cha jumuiya. Parking ya kutosha. Kwa nyuma kuna nyumba...
Wale mlikokuwa mnahitaji container Kwa bei nafuu zaidi sasa imebaki moja
Utapata Kwa 3.6 mil
Kuna hii tu nyingine bei zake zipo juu kidogo.
Tupo kurasini DSM
Call and WhatsApp 0625 085 224
Habari
Nimeandaa Uzi huu Kwa lengo maalum la kufanya TATHIMINI Kwa pamoja ktk magari used yanayotoka nje ya nchi katika Kodi za TRA pekee,
Bei halisi za magari nitazitoa katika official website...
Wapi naweza kupata viti vya plastic kwa bei ya jumla.. either kutoka kwa supplier au manufacturer.
Nataka kwa ajili ya kufanya biashara ya kukodisha vitu, kwenye shughuli mbali mbali.
MANHATTAN GARDEN
Residential units for sale, Model homes now open.
Experience a luxury living in our stylish and modern project located at Masaki, Haile Selassie rd.
Make your ideal life a...
Vipo boko vimepimwa tayari ukubwa miguu 28 kwa 20
bei sh milion tatu na nusu
viwanja vip goba na tegeta kupitia njia ya mbezi mwisho bei tofauti 20 kwa 20 kwa sh milion nne
heka moja...
Uliza chochote kinacho husiana na bomba (plumbing)utajibiwa kuanzia material system za bomba n.k.
Nafuga mifumo yote ya maji taka na safi..
Choo
Basin
Jaccuzi
Kitchen sink
Slop sink
Mixer...
Nyumba Inauzwa Kimara.
Mahali: Kimara Temboni, Mtaa wa Mtakuja.
Sifa za Nyumba:
•Ipo km 1 kutoka barabara kuu ya Morogoro.
•Ina chumba chenye choo ndani, sebule na jiko.
•Ina mpangaji analipa...
Ni wauzaji wa Vipuri vya pikipiki kwa aina zote, Zikiwemo Pikipiki za
1) Boxer Bm150,
2) BMX125
3) BMX150,
4) BM125HD,
5) BAJAJ 100
Pia Tunazo Spare Za Kichina kama...
Habari,
Hii ni kwa ajili ya wadau waliopo mikoani (Nje ya Dar es Salaam) na wana shida ya kufika Dar es Salaam ili kutatua shida zao, Wanaweza kuokoa muda, gharama za malazi na usafiri, pamoja na...
KARIBUNI SANA KWA HUDUMA BORA YA GAMES 0710701361.
TUNACHIP NA KUWEKA GAMES KWENYE PS4 PS3 NA PS2.PIA KUNA PC GAMES NYINGI SANA ZA KUTOSHA.
👉🏽PES 2025 YA PS3 PATCH KALI KABISA IPO 🔥🔥🔥
👉🏽PES...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.