Kama kilivyo kichwa cha habari tunauza magenerator yaliyotumika aina mbalimbali na ukubwa tofauti kama yanavyoonekana katika picha chini.Kwa mawasiliano zaidi piga 0717539912. Ahsante natanguliza...
Nauza friji aina ya GRAM.....ni médium Size,friji hii haigandishi barafu ila inapooza TU
Kwa mawasiliano piga 0715591141 dar
Bei 200000/
Ova
Friji hii hapa
Kampuni ya CRM Financial Services iliopo Mbez bich Tank bovu sasa wanakuwezesha kupata huduma za chakula Kama nyama Na kuku popote ulipo jilani na mji bure kabisa endapo utaagiza zaid ya kilo...
Wakuu nauza dish savers, ziko mbili, kila moja ni 150,000tshs pungufu unaongea.
Nimezitumia kwa muda mfupi sana hivyo bado mpya kabisa, zinadai, Nilikua nazitumia kwenye mgahawa wangu ila sasa...
*HABARI NJEMA*
CRM FINANCIAL SERVICES, ni kampuni inayojishughulisha na miradi ya *Mifugo, Ufugaji na kilimo* iliyopo mbezi beach tangi bovu jilani na jengo la mbezi Park, tunatoa huduma...
Viko katika hali nzuti kabati ,zimetumika kwa Miezi 6
kabati La Nguo=Tsh 230,000
kabati La Vyombo=190,000
Sofa=90000
____________________________
Toka Dar kigamboni
Call/whtsp:+255718295182
Pia...
Kama mlivyopitia kichwa cha habari,hapo juu.Nauza PlayStation3 ambayo bado ni mpya kabsa nimeitumia mwezi mmoja tu.Ina
500GB HD na PADI 1
Haijafanyiwa cheaping kwaiyo ina uwezo wa kutumia CD tu...
HP laptop on sale..
Processor @1.80GHz intel
RAM 2gb
Hard disk 300
350000/= (negotiatable)
(Kila kitu kipo sawa isipokua kua up arrow na Down arrow ndo zimekufa)
+255759283908
Nyumba ya kisasa zaidi na mpya
Inapatikana maeneo ya kisasa Dodoma mjini... mita 250 kutoka dar es salaam road umeme na maji mita 10..ipo kwenye kiwanja chenye ukubwa wa mita 33/21.
Gari na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.