sirluta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2012
- 6,325
- 2,486
Bila shaka kama huwa unasafiri safiri hasa kwa kutumia usafiri wa magari ya abiria hususani daladala utakuwa ulishakumbwa na adha hii;
Unakuta umekaa zako umetulia whether umechoka ama unawaza mipango yako ama una mitoko yako ama unasikiliza kupitia headfone, basi katika seat uliyoketi akiketi mwanamke mnene inakuwa kero maana WENGINE HAWAKAI KIUSTAARABU. Anaweza akakukalia sehemu ya mwili wako, ama akakusukumiza, ama akakubana sana, eti kisa tu anajiona ana minyama. Sijui wanakaaje na waume zao huko nyumbani. Yaani wanakera.
Hii kero si yangu peke yangu ndo maana nikaileta humu tuijadili na pia watu wa aina hiyo ni vema wakajirekebisha. Kuna siku niliona kaja mmama mtu mzima akajikalia kama mti umeanguka akamkalia mdada wa watu sehemu ya paja hadi kamchubua! Watu kama hao sijui wakikalia ile kitu wanaikalia kwa nguvu hivyo! Wanaume waliozoea kukaliwa na mijitu isiyochukua tahadhari kama hiyo wajihadhari , unaweza ukapindishwa jembe lako!
Unakuta umekaa zako umetulia whether umechoka ama unawaza mipango yako ama una mitoko yako ama unasikiliza kupitia headfone, basi katika seat uliyoketi akiketi mwanamke mnene inakuwa kero maana WENGINE HAWAKAI KIUSTAARABU. Anaweza akakukalia sehemu ya mwili wako, ama akakusukumiza, ama akakubana sana, eti kisa tu anajiona ana minyama. Sijui wanakaaje na waume zao huko nyumbani. Yaani wanakera.
Hii kero si yangu peke yangu ndo maana nikaileta humu tuijadili na pia watu wa aina hiyo ni vema wakajirekebisha. Kuna siku niliona kaja mmama mtu mzima akajikalia kama mti umeanguka akamkalia mdada wa watu sehemu ya paja hadi kamchubua! Watu kama hao sijui wakikalia ile kitu wanaikalia kwa nguvu hivyo! Wanaume waliozoea kukaliwa na mijitu isiyochukua tahadhari kama hiyo wajihadhari , unaweza ukapindishwa jembe lako!