themagnificient
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 988
- 3,318
Kuna matajiri wakubwa wanahaha kwenye nyumba za waganga na wauzaji wa madawa ya kienyeji kusaka nguvu za kiume, wanamwaga hadi mamilioni wakipewa madawa ya uwongo na ukweli lakini wapi bado ni kulio tu.
Wote tumeshuhudia hapa wazee matajiri wakifia guest mikononi mwa mabinti sababu ya kumeza madawa ya kuongeza nguvu za kiume wanaishia kufa,hiyo yote ni kusaka urijali pamoja na kuwa na mapesa yote.
.
Wanaume wenzangu ukiona unaamka asubuhi mashine inasimama vizuri piga goti mshukuru mungu sana kwa hiyo zawadi kuu yaani huo ni Ufahari mkubwa sana, Starehe kubwa ya mwanaume tokea kuumbwa kwa Adam ni mwanamke, hivyo utajiri wa mali unazotafuta unatakiwa uwe sambamba na utajiri wa urijali maana raha ya kuwa na pesa inahitaji pia uburudike na hawa viumbe tuliopewa zawadi na mwenyezi Mungu.
Hata enzi za manabii akina Suleiman walikuwa ni matajiri kufuru lakini Suleiman raha ya utajiri wake ilikuwa ni wanawake, yote sababu ya urijali, ukikosa urijali hata uwe Tajiri vipi bado utaishia kuwa na stress tu maana utakuta utajiri wako unawavutia wanawake warembo ila kuwatumia unashindwa raha ya huo utajiri unajikuta huioni.
Hamna kitu kinachoumiza kama mwanaume kama kuwa kwenye mahusiano au ndoa na mwanamke mrembo alafu ukajikuta unashindwa kumkunja kimapenzi ipasavyo kitandani yaani hii kitu isikie kwa jirani huwa inaumiza sana na mara zote unaishia kuwaza kuchapiwa tu na kuwa mtu wa hasira hasira
Ushauri wangu wanaume tuendelee kufanya mazoezi kula vizuri na tusijisahahu pale tunapopata pesa maana wengi ndio huwa wanaishia kwenye mfumo mbaya wa kula hovyo na pombe kwa wingi mwisho wa siku nguvu za kiume zinapotea unaaza kuliwa hela na waganga kumbe ni lifestyle mbovu,
Wote tumeshuhudia hapa wazee matajiri wakifia guest mikononi mwa mabinti sababu ya kumeza madawa ya kuongeza nguvu za kiume wanaishia kufa,hiyo yote ni kusaka urijali pamoja na kuwa na mapesa yote.
.
Wanaume wenzangu ukiona unaamka asubuhi mashine inasimama vizuri piga goti mshukuru mungu sana kwa hiyo zawadi kuu yaani huo ni Ufahari mkubwa sana, Starehe kubwa ya mwanaume tokea kuumbwa kwa Adam ni mwanamke, hivyo utajiri wa mali unazotafuta unatakiwa uwe sambamba na utajiri wa urijali maana raha ya kuwa na pesa inahitaji pia uburudike na hawa viumbe tuliopewa zawadi na mwenyezi Mungu.
Hata enzi za manabii akina Suleiman walikuwa ni matajiri kufuru lakini Suleiman raha ya utajiri wake ilikuwa ni wanawake, yote sababu ya urijali, ukikosa urijali hata uwe Tajiri vipi bado utaishia kuwa na stress tu maana utakuta utajiri wako unawavutia wanawake warembo ila kuwatumia unashindwa raha ya huo utajiri unajikuta huioni.
Ushauri wangu wanaume tuendelee kufanya mazoezi kula vizuri na tusijisahahu pale tunapopata pesa maana wengi ndio huwa wanaishia kwenye mfumo mbaya wa kula hovyo na pombe kwa wingi mwisho wa siku nguvu za kiume zinapotea unaaza kuliwa hela na waganga kumbe ni lifestyle mbovu,