Siku moja wazungu watajenga sanamu ya kumbukumbu ya Rais Magufuli Ulaya

KARLO MWILAPWA

JF-Expert Member
Apr 10, 2019
2,590
4,603
Kazi ya kupambana na mabeberu si ndogo, inahitaji uthubutu wa hali ya juu kwa sababu ni watu wanaojua mbinu zako zote. Kitendo cha Rais magufuli kupambana na mabeberu, watu wenye nguvu kubwa ya kiuchumi ni kitendo cha kijasiri sana kinachohitaji kupongezwa na kuungwa mkono kwa Tanzania ya kesho.

Katika kipindi ambacho nchi zinazoendelea zikiwa na hofu ya kushindwa kupambana na hayo mabeberu, watanzania tumepata kiongozi ambaye anaitetea Tanzania kwelikweli dhidi yao. Mifano ipo mingi inayoonesha ni jinsi gani Magufuli amekuwa akiipigania Tanzania lakini mmojawapo ni udhibiti wa utoroshaji wa rasilimali zetu na upitiwaji upya wa mikataba hasa ya madini.

Yote anayofanya Rais Magufuli yanawastaajabisha mabeberu na sitoshangaa siku moja wakitengeneza sanamu za Rais Magufuli na kuziweka katikati ya majiji yao kama ishara ya kumkumbuka kiongozi huyo jasiri na mzalendo ambaye aliivusha nchi yake kwa uzalendo alionao.

Mtu ambaye kaweza kuirudisha nchi yake katika misingi , kaweza kudhibiti ufisadi na mtu wa maamuzi magumu na ya kizalendo ambaye kila leo anawaacha mabeberu kinywa wazi na kujiuliza anawezaje kufanya yote bila hofu yetu lazima wamkumbuke kwa kujenga sanamu yake.

Ujasiri wake Magufuli umeifanya Tanzania kuwa ni nchi ya mfano na yenye ukuaji mkubwa wa kiuchumi ila kwa hofu waliyonayo wanaanza kutoa taarifa za uongo juu ya ukuaji wa uchumi ambazo ni za kupika. Kwa kinywa chake Rais Magufuli kasema uchumi wetu unakua kwa 7% na si 4% ambazo wamezipika.

Wazungu wanaogopa kivuli cha Rais Magufuli na wanapata hofu Zaidi pale wanapoona kuna kila dalili Tanzania kukua kwa kasi kiuchumi tena bila hata masaada wao na hicho ndicho kitawafanya siku moja wajenge sanamu ya kumkumbuka nchini mwao wakimtafakari ni mtu wa namna gani.

Kuna kila dalili kuwa baada ya Mwalimu Nyerere kwa kizazi hiki, Rais Magufuli anaweza kuja kuwa kumbukumbu nzuri ya wazungu kwa misimamo mikali na uwezo wa kulinda rasilimali za Taifa kwa kiwango cha juu sana.
 
Tena itapendeza sana hiyo sanamu iwe na jipu pale kichwani kama ile aliyochora Masoud Kipanya
 
RUBBISH! Maybe “Wazungu” wa chato.

Kazi ya kupambana na mabeberu si ndogo, inahitaji uthubutu wa hali ya juu kwa sababu ni watu wanaojua mbinu zako zote. Kitendo cha Rais magufuli kupambana na mabeberu, watu wenye nguvu kubwa ya kiuchumi ni kitendo cha kijasiri sana kinachohitaji kupongezwa na kuungwa mkono kwa Tanzania ya kesho.

Katika kipindi ambacho nchi zinazoendelea zikiwa na hofu ya kushindwa kupambana na hayo mabeberu, watanzania tumepata kiongozi ambaye anaitetea Tanzania kwelikweli dhidi yao. Mifano ipo mingi inayoonesha ni jinsi gani Magufuli amekuwa akiipigania Tanzania lakini mmojawapo ni udhibiti wa utoroshaji wa rasilimali zetu na upitiwaji upya wa mikataba hasa ya madini.

Yote anayofanya Rais Magufuli yanawastaajabisha mabeberu na sitoshangaa siku moja wakitengeneza sanamu za Rais Magufuli na kuziweka katikati ya majiji yao kama ishara ya kumkumbuka kiongozi huyo jasiri na mzalendo ambaye aliivusha nchi yake kwa uzalendo alionao.

Mtu ambaye kaweza kuirudisha nchi yake katika misingi , kaweza kudhibiti ufisadi na mtu wa maamuzi magumu na ya kizalendo ambaye kila leo anawaacha mabeberu kinywa wazi na kujiuliza anawezaje kufanya yote bila hofu yetu lazima wamkumbuke kwa kujenga sanamu yake.

Ujasiri wake Magufuli umeifanya Tanzania kuwa ni nchi ya mfano na yenye ukuaji mkubwa wa kiuchumi ila kwa hofu waliyonayo wanaanza kutoa taarifa za uongo juu ya ukuaji wa uchumi ambazo ni za kupika. Kwa kinywa chake Rais Magufuli kasema uchumi wetu unakua kwa 7% na si 4% ambazo wamezipika.

Wazungu wanaogopa kivuli cha Rais Magufuli na wanapata hofu Zaidi pale wanapoona kuna kila dalili Tanzania kukua kwa kasi kiuchumi tena bila hata masaada wao na hicho ndicho kitawafanya siku moja wajenge sanamu ya kumkumbuka nchini mwao wakimtafakari ni mtu wa namna gani.

Kuna kila dalili kuwa baada ya Mwalimu Nyerere kwa kizazi hiki, Rais Magufuli anaweza kuja kuwa kumbukumbu nzuri ya wazungu kwa misimamo mikali na uwezo wa kulinda rasilimali za Taifa kwa kiwango cha juu sana.
 
Nyie ndio mlioandaliwa leo pale mbeya kwajili ya kushangilia ata kama ni utumbo unaongelewa alafu unawaza kuhusu ulaya?

Ata mtoto wa darasa la nne hana hamu ya kuiona picha ya magufuli achia tu kuichora au kuiona sanamu!! WAZUNGU SIO WANA CCM tambua hlo!!!!!
 
Kwa haya madege yaliyopaki eapoti au Kwa ongezeko la deni la taifa???

Ebu fafanua zaidi.
 
Mahaba tu yamekujaa sijui kama ulichokiandika umekisoma wewe mwenyewe ukakielewa.
Ni kweli kwa kuwa huyu ni mbuzi, anayaelewa vizuri mabeberu lakini kama nyerere waliomsomesha na àkawafukuza nchini hawakumtambua, itAkuwa huyu PhD wa mano bila vitendo?
 
Kazi ya kupambana na mabeberu si ndogo, inahitaji uthubutu wa hali ya juu kwa sababu ni watu wanaojua mbinu zako zote. Kitendo cha Rais magufuli kupambana na mabeberu, watu wenye nguvu kubwa ya kiuchumi ni kitendo cha kijasiri sana kinachohitaji kupongezwa na kuungwa mkono kwa Tanzania ya kesho.

Katika kipindi ambacho nchi zinazoendelea zikiwa na hofu ya kushindwa kupambana na hayo mabeberu, watanzania tumepata kiongozi ambaye anaitetea Tanzania kwelikweli dhidi yao. Mifano ipo mingi inayoonesha ni jinsi gani Magufuli amekuwa akiipigania Tanzania lakini mmojawapo ni udhibiti wa utoroshaji wa rasilimali zetu na upitiwaji upya wa mikataba hasa ya madini.

Yote anayofanya Rais Magufuli yanawastaajabisha mabeberu na sitoshangaa siku moja wakitengeneza sanamu za Rais Magufuli na kuziweka katikati ya majiji yao kama ishara ya kumkumbuka kiongozi huyo jasiri na mzalendo ambaye aliivusha nchi yake kwa uzalendo alionao.

Mtu ambaye kaweza kuirudisha nchi yake katika misingi , kaweza kudhibiti ufisadi na mtu wa maamuzi magumu na ya kizalendo ambaye kila leo anawaacha mabeberu kinywa wazi na kujiuliza anawezaje kufanya yote bila hofu yetu lazima wamkumbuke kwa kujenga sanamu yake.

Ujasiri wake Magufuli umeifanya Tanzania kuwa ni nchi ya mfano na yenye ukuaji mkubwa wa kiuchumi ila kwa hofu waliyonayo wanaanza kutoa taarifa za uongo juu ya ukuaji wa uchumi ambazo ni za kupika. Kwa kinywa chake Rais Magufuli kasema uchumi wetu unakua kwa 7% na si 4% ambazo wamezipika.

Wazungu wanaogopa kivuli cha Rais Magufuli na wanapata hofu Zaidi pale wanapoona kuna kila dalili Tanzania kukua kwa kasi kiuchumi tena bila hata masaada wao na hicho ndicho kitawafanya siku moja wajenge sanamu ya kumkumbuka nchini mwao wakimtafakari ni mtu wa namna gani.

Kuna kila dalili kuwa baada ya Mwalimu Nyerere kwa kizazi hiki, Rais Magufuli anaweza kuja kuwa kumbukumbu nzuri ya wazungu kwa misimamo mikali na uwezo wa kulinda rasilimali za Taifa kwa kiwango cha juu sana.
Hivi huyu mtu wenu amepambana na beberu gani specific na kitu gani specific anapambania? please nisaidie na mimi nijue ili nimuunge mkono kiongozi mtarajiwa wa malaika
 
Wazungu hawa hawa tunaowajua sisi au huko ccm mna wazungu tofauti? Yaani mmekuta uchumi wa 7% and above nyiye na jamaa yenu mtelutea wa wa 4% na bado mnapiga makofi? Aisee mna moyo!
 
Hahahahha!!! hayo mabeberu anayo pambana nayo yamefugwa majumbani au kwenye ranchi ya taifwa? Labda utufafanulie hao beberu vizuri tuelewe wengine uelewa wetu uni wa chini kidogo.
 
Hakuna anaetujali kwa rasilimali zetu bali majizi wachache tu ambao walijitajirishia madini na wanyama na wengi ni kutoka Emirates na wazungu baadhi
Sio suala la nchi na nchi bali wafanyabiashara kidogo
Baishara ya madini haina wateja wengi
Hivi ni wangapi unaona wamevaa almasi au dhahabu?

Ukitaka kujua nguvu ya mataifa ya kibeberu uwe na mafuta maana hayo kila mtu anayatumia na demand ni kubwa na utajiri nje nje
Sasa kama Omar Al Bashir wamemshweka ndani basi ujue kuna mafuta yamegushwa ambayo kashindwa kuelewana nao.

Siku tukipata mafuta ndio mtawajua mpaka makabila yao hao wazungu
Na sanamu wataliweka
 
Kizabizabina kiwango cha standadi geji,eti sanamu ulaya?kwa huu uchumi wa
kukuwa asilimia nne? kwa viwanda cherehani NNE?kwa kubuni vitambulisho vya machinga? Unajeeeenga huku huzalishi? Nenda instagramu kaposti ukikatika viuno nyimbo mpya zimetoka usituletee hoja zakipuuzi humu.
 
Back
Top Bottom