Erick_Otieno
JF-Expert Member
- Mar 28, 2010
- 624
- 1,020
Ni aje makamanda, I hope mko poa.
Mwenzenu nilijaribu maisha baada ya kiajira changu cha kwanza lakini ikabidi nirudi home kwanza nikajipange upya, hatimae nimepata kazi ya mshahara ambayo kwa kuanzia maisha ya kifamilia sio mbaya (1.2M take home), pia nina dili kama 2 hivi zitakazonilipa mara 2 au 3 ya huu mshahara wa kazini baada ya miezi michache. Mpango wangu ni kuchukua double room ya self nzuri mwisho wa mwezi.
Kwahiyo natafuta mchumba/mke tuanze maisha from scratch, yaani kama ni chini tulale coz najua nikishachukua nyumba ntalala chini mwezi mmoja. Nataka mwanamke huyu aje kunisaidia kumanage mambo ya finance na kupangilia mji wetu vizuri, ambae atanisapoti wakati mimi naendelea na mishe zangu.
Sifa zake:
Mwenzenu nilijaribu maisha baada ya kiajira changu cha kwanza lakini ikabidi nirudi home kwanza nikajipange upya, hatimae nimepata kazi ya mshahara ambayo kwa kuanzia maisha ya kifamilia sio mbaya (1.2M take home), pia nina dili kama 2 hivi zitakazonilipa mara 2 au 3 ya huu mshahara wa kazini baada ya miezi michache. Mpango wangu ni kuchukua double room ya self nzuri mwisho wa mwezi.
Kwahiyo natafuta mchumba/mke tuanze maisha from scratch, yaani kama ni chini tulale coz najua nikishachukua nyumba ntalala chini mwezi mmoja. Nataka mwanamke huyu aje kunisaidia kumanage mambo ya finance na kupangilia mji wetu vizuri, ambae atanisapoti wakati mimi naendelea na mishe zangu.
Sifa zake:
- Apende kula vizuri. Jamani mimi napenda kula vizuri
- Ajue kupangilia bajeti na kudili vizuri na pesa
- Awe anaweza kunishauri
- Mimi ni mkristo, yeye awe mkristo au muislamu mie fresh tu
- Awe mweupe, kama sio mweupe basi awe na msambwanda/kalio mubashara, kama nalo hana basi angalau awe amesoma, kama hajasoma basi awe angalau na ajira, kama hana basi kwao wawe vizuri naamini Mungu hamnyimi mtu vyote.