Nimepata ajira ya mshahara wa milioni 1.2, natafuta mke tuanze maisha

Erick_Otieno

JF-Expert Member
Mar 28, 2010
624
1,020
Ni aje makamanda, I hope mko poa.

Mwenzenu nilijaribu maisha baada ya kiajira changu cha kwanza lakini ikabidi nirudi home kwanza nikajipange upya, hatimae nimepata kazi ya mshahara ambayo kwa kuanzia maisha ya kifamilia sio mbaya (1.2M take home), pia nina dili kama 2 hivi zitakazonilipa mara 2 au 3 ya huu mshahara wa kazini baada ya miezi michache. Mpango wangu ni kuchukua double room ya self nzuri mwisho wa mwezi.

Kwahiyo natafuta mchumba/mke tuanze maisha from scratch, yaani kama ni chini tulale coz najua nikishachukua nyumba ntalala chini mwezi mmoja. Nataka mwanamke huyu aje kunisaidia kumanage mambo ya finance na kupangilia mji wetu vizuri, ambae atanisapoti wakati mimi naendelea na mishe zangu.

Sifa zake:
  • Apende kula vizuri. Jamani mimi napenda kula vizuri
  • Ajue kupangilia bajeti na kudili vizuri na pesa
  • Awe anaweza kunishauri
  • Mimi ni mkristo, yeye awe mkristo au muislamu mie fresh tu
  • Awe mweupe, kama sio mweupe basi awe na msambwanda/kalio mubashara, kama nalo hana basi angalau awe amesoma, kama hajasoma basi awe angalau na ajira, kama hana basi kwao wawe vizuri naamini Mungu hamnyimi mtu vyote.
Ni PM tuchat chat ndio tupeane namba, kisha tukutane eneo la wazi k.v. mgahawa n.k.
 
joseverest nimekulindia nafasi yako, uje ili tumshauri pamoja


dogo hiyo hela ndogo sana na sana..


gross ya 1.2m net yake ni kama laki 8 na nusu hivi..

tena hapo bodi ya mikopo kama hawakudai.

haya sas tuchekeche laki 8 hiyo ulipe kodi, nauli, msosi, umeme, maji etc..


hiyo hela hapo ni kama unaingiza elfu 27 kwa siku
ambapo hata muuza chips au muosha magari na kindoo tu anakuzidi..

nakushauri swala la kuoa au kuishi na mwanamke weka pembeni kabisa.. fanya saving kisha invest na kuinvest na kuinvest tena.. after 5 yrs ndio usake kimwana..

kipindi hiki tafuta girlfriend tu uwe mnakutana weekend..
 
jaman mi nipo tu kwa mtakao shindwana makubaliano ila mimi nna buku 50 maana hapo hamna namna kuuza kuuza tofauti ni gharama ya kukupata tu :):):):):):)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom