Yerusalemu: Kikombe Kinachowalevya Mataifa

Luka 19:41-44

Yesu alipoukaribia mji wa Yerusalemu, akautazama kisha akaanza kuulilia, 42 akisema, “Laiti ungelijua leo kile kinachokuletea amani. Lakini kimefichwa kwako usikijue sasa. 43 Wakati unakuja, ambao adui zako watajenga ukuta kukuzunguka na kukuzingira pande zote. 44 Watakuteketeza wewe na watu wako wote. Hakuna jiwe hata moja katika majengo yako litaachwa juu ya jiwe jingine. Haya yote yatatokea kwa sababu hukujua wakati ambao Mungu alikuja kukuokoa.”
 
Kwanza mantiki ya swali lako inaweza isiwe sawa sawa kwa jinsi ulivouliza. Kwa maana ukihoji kwa nini Esau hayupo kwenye baraka za Israel basi itakubidi pia uhoji kwa nini Ishmael asiwe na baraka ya Isaka. Na kumbuka Ibrahim alikua na watoto wengine na mke wake wa pili, Keturah, baada ya Sarah kufariki. Kwa nini hao watoto wasiwe na baraka ya Israel?



Swali lipo kwenye Biblia. Kama wewe ni mkristo basi ukisoma Biblia inasema haya maswali yote.



Kwanza tujue kwa kuhusu Isaka na Ishmael.

Kumbuka Mungu aliingia agano na Ibrahim kuwa kupitia Sara ndipo baraka itatokea.

Ibrahim alipozaa na Hagar alikua nje ya agano. Japo na hayo bado Mungu alimbariki huyo Ishmael.


Kumbuka Hagar alikua kijakazi. Alipompata Ishmael alianza kumdharau Sara na Ishmael alikua akimdharau Isaka. Na ikawa ugomvi. Ilibidi waondoke.


Ibrahim alimuombea baraka kwa Mungu:


Mwanzo 17:18‭-‬21

Basi, Abrahamu akamwambia Mungu, “Laiti ungekubali ahadi yako hiyo imhusu Ishmaeli.” Mungu akamjibu, “La! Ila mkeo Sara atakuzalia mtoto wa kiume, nawe utamwita Isaka Nitaliimarisha agano langu kwake na wazawa wake, kuwa agano la milele. “Na, kuhusu Ishmaeli, nimesikia ombi lako. Nitambariki, nitamjalia watoto wengi na kuwazidisha sana. Ishmaeli atakuwa baba wa watawala kumi na wawili, nami nitamfanya kuwa baba wa taifa kubwa. Lakini agano langu litathibitika kwa Isaka ambaye Sara atakuzalia mwakani wakati kama huu.”





Na kumbuka baraka tunayoingelea apa ni kuwa kupitia uzao wa Ibrahim Mungu ataleta mpango wake wa kuokoa wanadamu na dhambi hii inakuja pamoja na kupewa nchi ya Kanani na pia kuwa taifa kubwa lenye mafanikio.


Kwa kifupi Uzao wa Ibrahim ulikua na nia ya kumleta Yesu Kristo kama ondoleo la dhambi. Na hivyo haiezekani kuwa na uzao wawili bali mmoja. Haiezekani Esau na Yakobo/Israel wote wamlete Masihi. Na ndio maana ni mmojawapo tu alitakiwa kuwa sehemu ya ahadi.


Huyu Isaka ndiye aliyemzaa Yakobo na Esau.


Esau alikua mtu wa mishe mishe za nyikani. Yakobo alikua anafanya kazi zake nyumbani zaidi. Esau alikua na kiburi pia kutokana na nguvu zake za uwindaji alikua akijiamini sana na hakujali sana mambo ya muhimu kama haki yake ya mzaliwa wa kwanza.


Aliuza haki yake kwa dengu ili asizimie njaa. Kibri na dharau zilikua zinamzingua.


Hii ndio watu wengi wanajua


Lakini zaidi ya hayo Esau hakua na heshima kwa wazazi wake. Alienda kuoa wake kutoka mataifa mengine na hao wake inaonekana walikua mwiba kwa wazazi wake.


Mwanzo 26:34‭-‬35

Esau alipokuwa na umri wa miaka arubaini, alioa wake wawili Wahiti: Yudithi bintiye Beeri, na Basemathi bintiye Eloni. Wanawake hao waliyafanya maisha ya Isaka na Rebeka kuwa machungu.


Wote tunajua kati ya kitu Mungu hapendi ni dharau na kujivuna. Pia Mungu anataka tuheshimu wazazi. Ukisoma kisa cha Esau na Yakobo utaona tofauti ya hawa wawili. Yakobo alikua mtii kusikiliza wazazi kila walichomuambia na Esau alikua kijeba na hakusikiiliza sana mawaidha yao hasa kwenye ishu ya kuoa. Kama vile alivofanya Samson.


Ukirudi kwenye kisa cha kuuza haki ya kuzaliwa wa kwanza


Mwanzo 25:27‭-‬34

Watoto hao wakakua; Esau akawa mwindaji hodari, mpenda maisha ya mbugani, na Yakobo akawa mtu mtulivu, mpenda maisha ya nyumbani. Basi, Isaka akampenda Esau kwa sababu alipenda kula mawindo yake, lakini Rebeka akampenda Yakobo.


Siku moja, Yakobo alipokuwa anapika dengu, Esau alirudi nyumbani kutoka mawindoni ana njaa sana. Kwa hiyo akamwambia Yakobo, “Nafa njaa; tafadhali, nigawie chakula hicho chekundu nile.” (Ndiyo maana walimpanga jina Edomu yaani mwekundu). Yakobo akajibu, “Kwanza niuzie haki yako ya mzaliwa wa kwanza.” Esau akasema, “Sawa! Niko karibu kufa; haki yangu ya mzaliwa wa kwanza itanifaa nini?” Yakobo akamwambia, “Niapie kwanza.” Basi, Esau akamwapia na kumwuzia Yakobo haki yake ya mzaliwa wa kwanza.


Ndipo Yakobo akampa Esau mkate na dengu kiasi. Esau akala, akanywa, kisha akaondoka, akaenda zake. Hivyo ndivyo Esau alivyoidharau haki yake ya mzaliwa wa kwanza.


Hapo unaona jinsi Esau alivouza mwenyewe haki yake.


Wakti baba yake Isaka anaelekea kufa alimtuma amletee nyama ya mawindo atafune afurahi ambariki. Ila mama mtu alikua na mpango wake ambao wengi tunajua mwisho wa siku Yakobo ndipo alipopewa baraka zile.



Mwanzo 27:27‭-‬29

Basi, Yakobo akamkaribia baba yake na kumbusu, na baba yake aliposikia harufu ya mavazi yake, akambariki akisema, “Tazama, harufu nzuri ya mwanangu ni kama harufu ya shamba alilobariki Mwenyezi-Mungu! Mungu akumiminie umande wa mbinguni; akupe ardhi yenye rutuba, nafaka na divai kwa wingi. Jamii za watu zikutumikie, na mataifa yakuinamie kwa heshima. Uwe mtawala wa ndugu zako, watoto wa kiume wa mama yako wakuinamie kwa heshima. Kila akulaaniye na alaaniwe, kila akubarikiye na abarikiwe!”




Esau aliporudi na mawindo babaye alimuambia baraka nishazitoa. Hapa ndipo Esau alipogundua alizingua na alilia kwa uchungu apate angalau ata kabaraka cha kukombeleza.

Baba yake alimuambia haya:



Mwanzo 27:31‭-‬40

Esau pia akatengeneza chakula kitamu, akampelekea baba yake, akamwambia, “Haya baba, inuka ule mawindo yangu mimi mwanao, ili upate kunibariki!” Isaka akauliza, “Wewe ni nani?” Naye akamjibu, “Ni mimi mwanao Esau, mzaliwa wako wa kwanza.” Hapo Isaka akatetemeka mno, akasema, “Ni nani basi yule aliyewinda na kuniletea mawindo, nami nimekwisha kula kabla hujaja? Tena nimekwisha mbariki; naam, amekwisha barikiwa!”



Esau alipoyasikia maneno ya baba yake, akaangua kilio cha uchungu. Kisha akamwambia baba yake, “Ee baba yangu, nibariki na mimi, tafadhali!” Lakini Isaka akasema, “Ndugu yako alikuja kwa hila, naye amechukua baraka yako.” Esau akasema, “Ndio maana anaitwa Yakobo! Amechukua nafasi yangu mara mbili. Kwanza alichukua haki yangu ya mzaliwa wa kwanza, na sasa amechukua baraka Zangu.” Kisha akamwuliza baba yake, “Je, hukunibakizia baraka yoyote?” Isaka akamjibu, “Nimekwisha mfanya Yakobo kuwa mtawala wako, na kumpa ndugu zake wote kuwa watumishi wake. Nimempatia nafaka na divai. Nikufanyie nini sasa, wewe mwanangu?”


Esau akamwambia baba yake, “Baba, kwani una baraka moja tu? Nibariki hata mimi, ee baba!” Hapo Esau akalia kwa sauti kubwa. Ndipo Isaka, baba yake, akamwambia, “Makao yako yatakuwa mbali na ardhi yenye rutuba, na mbali na umande wa mbinguni. Utaishi kwa upanga wako, na utamtumikia ndugu yako; lakini utakapoasi utaivunja kongwa yake shingoni mwako.”



Hizo ndo baraka alizopewa


-------

Kuhusu hao kina Esau ni kina nani sasa. Baadi wanasema ni mataifa ya kiarabu na ulaya. Ukifatilia historia yao utaelewa zaidi.


Hapa nimejaribu kujibu kwenye upande wa kiroho zaidi.


Asante.
Code:
ukihoji kwa nini Esau hayupo kwenye baraka za Israel basi itakubidi pia uhoji kwa nini Ishmael asiwe na baraka ya Isaka.
Ishmael tayari alishabarikiwa na Mungu kwa namana tofauti na Isaka,Lakini Esau ni katika baraka za Isaka.
Code:
Lakini Isaka akasema, “Ndugu yako alikuja kwa hila, naye amechukua baraka yako.”
Hapa tukubaliane kwamba Esau alifanyiwa faulo mbaya ndani ya 18 na refa akapeta!.

Code:
Utaishi kwa upanga wako, na utamtumikia ndugu yako; lakini utakapoasi utaivunja kongwa yake shingoni mwako.”
Nini maana ya "utakapoasi utaivunja kongwa yake shingoni mwako.”?

Mkuu!Mjadala wetu hasa unahusiana na kuliangalia eneo la Canaan linalogombewa na wana wa Israel na hao wengine wanaoitwa waparestina.

Code:
Ikiwa,Esau na kizazi chake siyo wana wa Israel na siyo waisrael.Je,Esau na kizazi chake wanaitwaje?,nchi yao ni ipi?Race yao ni ipi hapo mashariki ya kati?
Katika maswali hayo umejibu hivi "Baadhi wanasema ni mataifa ya kiarabu na ulaya. Ukifatilia historia yao utaelewa zaidi.".

Sasa mkuu tukitumia maandiko inaoneka Esau alioa pia katika kizazi za Ishmael:

Mwanzo 28
5 Basi Isaka akampeleka Yakobo, naye akaenda Padan-aramu, kwa Labani, mwana wa Bethueli, Mshami, ndugu wa Rebeka, mama yao Yakobo na Esau.
6 Esau akaona ya kwamba Isaka amembariki Yakobo na kumpeleka Padan-aramu, ili ajitwalie mke huko, na katika kumbariki akamwagiza, akasema, Usitwae mke wa binti za Kanaani,
7 na ya kuwa Yakobo amewatii babaye na mamaye, akaenda Padan-aramu.
8 Esau akaona ya kuwa binti za Kanaani hawakumpendeza Isaka, baba yake.
9 Basi Esau akaenda kwa Ishmaeli akamtwaa Mahalathi, binti Ishmaeli mwana wa Ibrahimu, ndugu wa Nebayothi, kuwa mkewe pamoja na wakeze aliokuwa nao.

Hapa sasa ndiyo connection ya kiarabu inatokea.

Mkuu!Yakobo(Israel) aliondoka katika nchi aliyozaliwa na kwenda kukaa katika nchi ya Harani (Uturuki)ya leo kwa kumkimbia kaka yake Esau.Miaka 7 na miaka 7 mingine alimtumikia mjomba wake Labani kwa ujira wa kupewa wake,na aliendelea kukaa huko mpaka alipokamilisha kuzaa kizazi chake chote cha wana 12(wanaisrael).Kifupi Israel alikaa Uturuki kwa zaidi ya miaka 20 kabla ya kurudi aliko zaliwa.Na kwa kipindi chote hicho kaka yake Esau,aliekuwa akiendeleza kizazi katika nchi waliyozaliwa.

Mwanzo 31:13,17-18
13 Mimi ni Mungu wa Betheli, huko ulikotia mafuta nguzo, na kuniwekea nadhiri. Sasa ondoka, toka katika nchi hii, urudi mpaka nchi ile uliyozaliwa.
17 Ndipo Yakobo akaondoka, akapandisha wanawe na wakeze juu ya ngamia.
18 Akachukua wanyama wake wote, na mali yake yote aliyokuwa ameyapata, na wanyama aliowapata katika Padan-aramu, ili afike kwa Isaka babaye katika nchi ya Kanaani.

Baada ya miaka ishirini ndiyo Israel anarudi katika nchi aliyozaliwa na kwa kaka yake Esau:

Mwanzo 32
3 Basi, Yakobo akapeleka wajumbe mbele yake kwenda kwa Esau nduguye mpaka nchi ya Seiri katika nyika ya Edomu.
4 Akawaagiza akisema, Mwambieni hivi bwana wangu, Esau, Hivi ndivyo asemavyo mtumwa wako, Yakobo; Nimekaa ugenini kwa Labani, na kukawia huko hata sasa,

Swali,kizazi cha Esau ambaye alioa pia kwa waishmael kipo wapi hii leo ikiwa watu wanadai kuwa hilo eneo la Canaan nila Israel(Yakobo) peke yake?.
 
Code:
ukihoji kwa nini Esau hayupo kwenye baraka za Israel basi itakubidi pia uhoji kwa nini Ishmael asiwe na baraka ya Isaka.
Ishmael tayari alishabarikiwa na Mungu kwa namana tofauti na Isaka,Lakini Esau ni katika baraka za Isaka.
Code:
Lakini Isaka akasema, “Ndugu yako alikuja kwa hila, naye amechukua baraka yako.”
Hapa tukubaliane kwamba Esau alifanyiwa faulo mbaya ndani ya 18 na refa akapeta!.

Code:
Utaishi kwa upanga wako, na utamtumikia ndugu yako; lakini utakapoasi utaivunja kongwa yake shingoni mwako.”
Nini maana ya "utakapoasi utaivunja kongwa yake shingoni mwako.”?

Mkuu!Mjadala wetu hasa unahusiana na kuliangalia eneo la Canaan linalogombewa na wana wa Israel na hao wengine wanaoitwa waparestina.

Code:
Ikiwa,Esau na kizazi chake siyo wana wa Israel na siyo waisrael.Je,Esau na kizazi chake wanaitwaje?,nchi yao ni ipi?Race yao ni ipi hapo mashariki ya kati?
Katika maswali hayo umejibu hivi "Baadhi wanasema ni mataifa ya kiarabu na ulaya. Ukifatilia historia yao utaelewa zaidi.".

Sasa mkuu tukitumia maandiko inaoneka Esau alioa pia katika kizazi za Ishmael:

Mwanzo 28
5 Basi Isaka akampeleka Yakobo, naye akaenda Padan-aramu, kwa Labani, mwana wa Bethueli, Mshami, ndugu wa Rebeka, mama yao Yakobo na Esau.
6 Esau akaona ya kwamba Isaka amembariki Yakobo na kumpeleka Padan-aramu, ili ajitwalie mke huko, na katika kumbariki akamwagiza, akasema, Usitwae mke wa binti za Kanaani,
7 na ya kuwa Yakobo amewatii babaye na mamaye, akaenda Padan-aramu.
8 Esau akaona ya kuwa binti za Kanaani hawakumpendeza Isaka, baba yake.
9 Basi Esau akaenda kwa Ishmaeli akamtwaa Mahalathi, binti Ishmaeli mwana wa Ibrahimu, ndugu wa Nebayothi, kuwa mkewe pamoja na wakeze aliokuwa nao.

Hapa sasa ndiyo connection ya kiarabu inatokea.

Mkuu!Yakobo(Israel) aliondoka katika nchi aliyozaliwa na kwenda kukaa katika nchi ya Harani (Uturuki)ya leo kwa kumkimbia kaka yake Esau.Miaka 7 na miaka 7 mingine alimtumikia mjomba wake Labani kwa ujira wa kupewa wake,na aliendelea kukaa huko mpaka alipokamilisha kuzaa kizazi chake chote cha wana 12(wanaisrael).Kifupi Israel alikaa Uturuki kwa zaidi ya miaka 20 kabla ya kurudi aliko zaliwa.Na kwa kipindi chote hicho kaka yake Esau,aliekuwa akiendeleza kizazi katika nchi waliyozaliwa.

Mwanzo 31:13,17-18
13 Mimi ni Mungu wa Betheli, huko ulikotia mafuta nguzo, na kuniwekea nadhiri. Sasa ondoka, toka katika nchi hii, urudi mpaka nchi ile uliyozaliwa.
17 Ndipo Yakobo akaondoka, akapandisha wanawe na wakeze juu ya ngamia.
18 Akachukua wanyama wake wote, na mali yake yote aliyokuwa ameyapata, na wanyama aliowapata katika Padan-aramu, ili afike kwa Isaka babaye katika nchi ya Kanaani.

Baada ya miaka ishirini ndiyo Israel anarudi katika nchi aliyozaliwa na kwa kaka yake Esau:

Mwanzo 32
3 Basi, Yakobo akapeleka wajumbe mbele yake kwenda kwa Esau nduguye mpaka nchi ya Seiri katika nyika ya Edomu.
4 Akawaagiza akisema, Mwambieni hivi bwana wangu, Esau, Hivi ndivyo asemavyo mtumwa wako, Yakobo; Nimekaa ugenini kwa Labani, na kukawia huko hata sasa,

Swali,kizazi cha Esau ambaye alioa pia kwa waishmael kipo wapi hii leo ikiwa watu wanadai kuwa hilo eneo la Canaan nila Israel(Yakobo) peke yake?.
Tuendelee ,
Kwa mujibu wa maandiko,Esau alihamia katika milima ya Seiri (Syria)ya sasa.

Mwanzo 36


6 Esau akawatwaa wakeze, na wanawe, na binti zake, na watu wote wa nyumbani mwake, na ng'ombe zake, na wanyama wake wote, na mali yake yote, aliyoyapata katika nchi ya Kanaani; akaenda mpaka nchi iliyo mbali na Yakobo nduguye.
7 Maana mali yao yalikuwa mengi wasiweze kukaa pamoja, wala haikuweza nchi ya kusafiri kwao kuwachukua, kwa sababu ya wanyama wao.
8 Esau akakaa katika mlima Seiri, Esau ndiye Edomu.

Esau akiwa katika makazi mapya,alijenga na kuendesha ufalme huko.

Mwanzo 36

31 Na hawa ndio wafalme waliomiliki katika nchi ya Edomu, kabla ya kumiliki mfalme ye yote juu ya wana wa Israeli.
32 Bela wa Beori alimiliki katika Edomu, na jina la mji wake ni Dinhaba.
33 Akafa Bela, akamiliki Yobabu mwana wa Zera, wa Bosra, badala yake.
34 Akafa Yobabu, akamiliki Hushamu, wa nchi ya Watemani, badala yake.
35 Akafa Hushamu, akamiliki Hadadi wa Bedadi badala yake, naye ndiye aliyepiga Midiani katika nyika ya Moabu, na jina la mji wake ni Avithi.
36 Akafa Hadadi, akamiliki Samla wa Masreka badala yake.
37 Akafa Samla, na Shauli wa Rehobothi, ulio karibu na mto, akamiliki badala yake.
38 Akafa Shauli, akamiliki Baal-hanani, mwana wa Akbori, badala yake.
39 Akafa Baal-hanani, mwana wa Akbori, akamiliki Hadadi badala yake; na jina la mji wake ni Pau; na jina la mkewe ni Mehetabeli, binti Matredi, binti Mezahabu.
40 Na hayo ndiyo majina ya majumbe waliotoka kwa Esau, kufuata jamaa zao, na mahali pao, kwa majina yao. Jumbe Timna, jumbe Alva, jumbe Yethethi,
41 jumbe Oholibama, jumbe Ela, jumbe Pinoni,
42 jumbe Kenazi, jumbe Temani, jumbe Mibsari,
43 jumbe Magdieli, jumbe Iramu. Hao ndio majumbe wa Edomu, kufuata makao yao, katika nchi ya mamlaka yao. Naye huyo ndiye Esau, baba ya Edomu.

Lakini baadaye wana wa Israel waliingia kwa Edomu na waliimiliki tawala ya Esau pamoja na kwamba Esau aliwahama kwa wema.
Ilikuwaje kizazi cha Israel kuimilimi nchi ya Esau?.

Kwanza kabisa ugomvi kati ya Esau na Yakobo,sikwamba ulianzia pale Yakobo alipozipora baraka za Esau kwa hila ya mama yao.Bali uadui kati yao ulianzia tangu tumboni.

Mwanzo 25,

21 Isaka akamwomba Bwana kwa ajili ya mke wake, maana alikuwa tasa. Naye Bwana akamwitikia, na Rebeka mkewe akachukua mimba.
22 Watoto wakashindana tumboni mwake. Naye akasema, Ikiwa ni hivi, kuishi kwanifaa nini? Akaenda kumwuliza Bwana.
23 Bwana akamwambia,Mataifa mawili yamo tumboni mwako,Na kabila mbili za watu watafarakana tangu tumboni mwako.Kabila moja litakuwa hodari kuliko la pili,Na mkubwa atamtumikia mdogo.

Angalia hapo mstari 23 jinsi ulivyosema.Kifupi Esau alitengwa na muamuzi wa kati kwa kuamua kumeza filimbi kwa faulo zote alizochezewa Esau na Yakobo.

Kukua kwa ugomvi kati ya Esau na Yakobo,

Hesabu 20,
14 Kisha Musa akatuma wajumbe kutoka Kadeshi wamwendee mfalme wa Edomu, na kusema, Ndugu yako Israeli asema, Wewe wazijua taabu zote zilizotupata;
15 jinsi baba zetu walivyotelemkia Misri, nasi tulikaa Misri muda mwingi, nao Wamisri walitutenda vibaya sana, na baba zetu pia;
16 tena tulipomlilia Bwana, akatusikiza sauti yetu, akamtuma malaika, na kututoa tutoke Misri; nasi tupo hapa Kadeshi, mji wa mpakani mwako mwa mwisho;
17 tafadhali utupe ruhusa tupite katika nchi yako; hatutapita katika mashamba, wala katika mashamba ya mizabibu, wala hatutakunywa maji ya visimani; tutaifuata njia kuu ya mfalme, tusigeuke kwenda upande wa kuume, wala upande wa kushoto, hata tutakapopita mpaka wako.
18 Edomu akamwambia, Hutapita katika nchi yangu, nisije nikakutokea kupigana nawe kwa upanga.
19 Wana wa Israeli wakamwambia, Tutakwea kwa njia kuu; tena kama tukinywa maji yako, mimi na wanyama wangu wa mifugo, ndipo nitakulipa thamani yake; nipe ruhusa nipite kwa miguu yangu wala sitaki neno lingine lo lote.
20 Akamwambia, Hutapita katika nchi yangu. Kisha Edomu akamtokea ili kupigana naye, na watu wengi, na kwa mkono wa nguvu.
21 Basi hivyo Edomu akakataa kumpa Israeli ruhusa kupita katika mipaka yake; kwa hivyo Israeli akageuka na kumwacha.

Baada ya matukio hayo,Israel aliamuriwa kupigana na Esau(Edomu).

Obadia 1

1Maono yake Obadia. Ndivyo asemavyo Bwana MUNGU juu ya Edomu; Tumepata habari kwa Bwana, Na mjumbe ametumwa kati ya mataifa, Akisema,Haya,inukeni ninyi;Na tuinuke tupigane naye.
2 Tazama, nimekufanya mdogo kati ya mataifa; Umedharauliwa sana.
3 Kiburi cha moyo wako kimekudanganya, Wewe ukaaye katika pango za majabali, Mwenye makao yako juu sana; Asemaye moyoni, Ni nani atakayenishusha mimi?
4 Ujapopanda juu kama tai, Ijapokuwa kioto chako kimewekwa kati ya nyota, Nitakushusha kutoka huko; asema Bwana.
5 Kama wevi wangekujilia, kama wanyang'anyi wangekujilia usiku, (jinsi ulivyokatiliwa mbali!) Je! Wasingeiba kiasi cha kuwatosha? Kama wachumao zabibu wangekujilia, je! Wasingeacha baadhi ya zabibu, ziokotwe?
6 Jinsi watu wa Esau wanavyotafutwa-tafutwa! Jinsi hazina zake zilizofichwa zinavyoulizwa-ulizwa!
7 Watu wote wa mapatano yako Wamekufukuza, hata mipakani; Wale waliofanya amani nawe Wamekudanganya, na kukushinda; Walao mkate wako wameweka mtego chini yako; Wala hana ufahamu wa hayo ndani yake.
8 Siku hiyo, je! Sitawaangamiza watu wenye akili katika Edomu, na wenye ufahamu katika kilima cha Esau? Asema Bwana.
9 Na mashujaa wako, Ee Temani, watafadhaika, hata iwe kila mtu akatiliwe mbali kwa kuuawa katika kilima cha Esau.
10 Kwa sababu ya udhalimu aliotendwa ndugu yako Yakobo, aibu itakufunika, nawe utakatiliwa mbali hata milele.
11 Siku ile uliposimama upande, siku ile wageni walipochukua mali zake, na watu wa kabila nyingine walipoingia katika malango yake, na kumpa kura juu ya Yerusalemu, wewe nawe ulikuwa kama mmoja wao.
12 Lakini usiitazame siku ya ndugu yako, siku ya mashaka yake, wala usisimange juu ya wana wa Yuda siku ya kuangamizwa kwao; wala usinene maneno ya kiburi katika siku ya shida yao.
13 Usiingie katika lango la watu wangu, siku ya msiba wao; naam, usiyatazame mateso yao, siku ya msiba wao; wala usitie mikono yako juu ya mali zao, siku ya msiba wao.
14 Wala usisimame penye njia panda, ili kuwakatilia mbali watu wake wakimbiao; wala usiwatoe watu wake waliosalia, katika siku ya dhiki.
15 Kwa maana hiyo siku ya Bwana i karibu juu ya mataifa yote; kama ulivyotenda, ndivyo utakavyotendwa; malipo yako yatakurudia juu ya kichwa chako mwenyewe.
16 Kwa maana kama vile mlivyokunywa juu ya mlima wangu mtakatifu, ndivyo mataifa yote watakavyokunywa daima; naam, watakunywa na kubabaika, nao watakuwa kana kwamba hawakuwa kamwe.
17 Bali katika mlima Sayuni watakuwako wenye kuokoka, nao utakuwa mtakatifu; na nyumba ya Yakobo watamiliki milki zao.
18 Na nyumba ya Yakobo itakuwa moto, na nyumba ya Yusufu itakuwa mwali wa moto, na nyumba ya Esau itakuwa mabua makavu, nao watawaka kati yao, na kuwateketeza; wala hatasalia mtu awaye yote katika nyumba ya Esau; kwa kuwa Bwana amesema hayo.
19 Na watu wa Negebu wataumiliki mlima wa Esau; na watu wa Shefela watawamiliki Wafilisti; nao watalimiliki konde la Efraimu, na konde la Samaria, na Benyamini atamiliki Gileadi.
20 Na watu wa jeshi hili la wana wa Israeli waliotekwa, walio kati ya Wakanaani, watamiliki mpaka Sarepta; na hao watu wa Yerusalemu waliotekwa, waliomo Sefaradi, wataimiliki miji ya Negebu.
21 Tena waokozi watakwea juu ya mlima Sayuni ili kuuhukumu mlima wa Esau; na huo ufalme utakuwa ni mali ya Bwana.

Angalia,pamoja na Mungu kuahidi kumsambalatisha Esau (Edomu),lakini kutimia kwa hilo ni labda mpaka mwisho wa dunia kwa maana Edomu ataendelea kupajenga tena na tena hata milelele.

Malaki 1
Ufunuo wa neno la Bwana kwa Israeli kwa mkono wa Malaki
2 Nimewapenda ninyi, asema Bwana. Lakini ninyi mwasema, Umetupendaje? Je! Esau siye ndugu yake Yakobo? Asema Bwana; ila nimempenda Yakobo;
3 bali Esau nimemchukia na kuifanya milima yake kuwa ukiwa, na urithi wake nimewapa mbweha wa nyikani.
4 Ijapokuwa Edomu asema, Tumepondwa-pondwa, lakini tutarudi na kupajenga mahali palipoachwa hali ya ukiwa; Bwana wa majeshi asema hivi, Wao watajenga, bali mimi nitaangusha; na watu watawaita, Mpaka wa uovu, na, Watu ambao Bwana anawaghadhabikia milele.

Mpaka hapa,tunamuona adui wa Israel (Yakobo) ni Esau(Edomu).Kifupi hapo mashariki ya kati,wanaopigana ni MAPACHA Esau na Edomu.

Naomba nisimame hapa tena kwa sasa.
 
Kwa utaalamu wangu wa migogoro, naamini taifa bandia la israel liliundwa baada ya kugunduliwa mafuta uarabuni ili kulipa nguvu na kuwatisha waarabu na kuwalazimisha ima kununua silaha toka magharibi au kutafuta ulinzi toka kule kama ilivyotokea. Zaidi ya hapo, sijui kwanini mataifa yanachachawa na kugeuka vipofu hata kwenye mambo ambayo hata ndege anaweza kusuluhisha. Je zaidi ya biashara ya mafuta na silaha kunani? Je hawa akina Niite nyau wazungu wanaojiita waarabu ndiyo wanaohangaisha wazungu wenzao wasimalizwe na waarabu?
Mkuu, utaalamu huo wa migogoro ulionao ni wa migogoro hii ya Kimataiga au migogoro ya ujumbe wa nyumba kumi. Nauliza tu ili nikiwiwa kufahamu jambo nisiwe out of context.
 
Kwa utaalamu wangu wa migogoro, naamini taifa bandia la israel liliundwa baada ya kugunduliwa mafuta uarabuni ili kulipa nguvu na kuwatisha waarabu na kuwalazimisha ima kununua silaha toka magharibi au kutafuta ulinzi toka kule kama ilivyotokea. Zaidi ya hapo, sijui kwanini mataifa yanachachawa na kugeuka vipofu hata kwenye mambo ambayo hata ndege anaweza kusuluhisha. Je zaidi ya biashara ya mafuta na silaha kunani? Je hawa akina Niite nyau wazungu wanaojiita waarabu ndiyo wanaohangaisha wazungu wenzao wasimalizwe na waarabu?
Nani anashida na mafuta karne hii ya vifaa vya umeme?.... labda tz na bomba lao...
 
Utakieni Yerusalemu amani Na wafanikiwe wakupendao [Zaburi 122]6
 
Na Wewe leta vya kwako tuvisome pia tupate kujua mengi kuhusu wewe
kwa hiyo mnataka kuiaminisha dunia MUNGUwetu ana upendeleo? acheni ujinga tuko zama nyingine badala ya kujadili tujikwamue vipi waafrika we unajadili mwisho wa dunia unaujua mwisho wa dunia wewe,kongo,somali ,ethiopia wafrika wenzenu wanakufa mbona hamlizungumzii hilo? Kwahiyo hao wayahudi fake ni bora kuliko wakongo man? Acheni ujinga,mmekomalia yerusalem ×2 inatuhusu nini sisi wa buza ? amakweli aliyewaloga ashakufa,kwanza swala lenu la bandari lili ishaje?
 
Tumezoea kufundishwa kuhusu Watoto wa Ibrahim.

Mara nyingi historia inazungumzia Isaka na Ismahili. Tunaambiwa Isaka ndo baba wa Wayahudi. Ismaili baba wa Waarabu.

Biblia imetuambia kuwa Baada ya mke wa Ibrahimu kufariki (Sarah) Ibrahim alioa mwanamke mwengine anayeitwa Ketura na akazaa naye Watoto 6 Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki na Shua. Hatujaambiwa historia ya Hawa Watoto wake wengine.

Je, unajua hawa Watoto wake wengine ndo baba wa mataifa haya?

Zimradi baba wa taifa la Warusi
Medani baba wa taifa la Wachina
Ishbaki baba wa taifa la Wahindi
Yokshani: baba wa taifa la Wajerumani
Shua baba wa wa taifa la Waingereza
Midiani baba wa taifa la Waethiopia
kwa ushahidi upi ??
 
Kabla ya utawala wa Kristo hapa duniani, dunia itaingia kwenye vita na mapigano makali.

Lakini tusisahau unyakuo utaanza.

Luka 17:28-36
[28]Na kadhalika, kama ilivyokuwa katika siku za Lutu, walikuwa wakila na kunywa, walikuwa wakinunua na kuuza, wakipanda na kujenga;
[29]lakini siku ile Lutu aliyotoka Sodoma kulinyesha moto na kibiriti kutoka mbinguni vikawaangamiza wote.
[30]Hivyo ndivyo itakavyokuwa siku ile atakayofunuliwa Mwana wa Adamu.
[31]Katika siku ile, aliye juu ya dari, na vyombo vyake vimo ndani ya nyumba, asishuke ili kuvitwaa; na kadhalika, aliye shambani asirejee nyuma.
[32]Mkumbukeni mkewe Lutu.
[33]Mtu ye yote atakaye kuiponya nafsi yake, ataiangamiza; na ye yote atakayeiangamiza ataiponya.
[34]Nawaambia, usiku huo watu wawili watakuwa katika kitanda kimoja; mmoja atatwaliwa, mmoja ataachwa.
[35]Wanawake wawili watakuwa wakisaga pamoja; mmoja atatwaliwa, mmoja ataachwa. [
[36]Watu wawili watakuwa shambani, mmoja atatwaliwa, mmoja ataachwa.]

Lutu ni tulio mwamini Kristo, tutatoweka gafla.
Huo ni Unyakuo Utaanza.

Kisha waliobaki wataongozwa na mpinga kristo na kuwa Jeshi moja.

Mathayo 24:5-8,11-14
[5]Kwa sababu wengi watakuja kwa jina langu, wakisema, Mimi ni Kristo; nao watadanganya wengi.
[6]Nanyi mtasikia habari za vita na matetesi ya vita; angalieni, msitishwe; maana hayo hayana budi kutukia; lakini ule mwisho bado.
[7]Kwa maana taifa litaondoka kupigana na taifa, na ufalme kupigana na ufalme; kutakuwa na njaa, na matetemeko ya nchi mahali mahali.
[8]Hayo yote ndiyo mwanzo wa utungu.
[11]Na manabii wengi wa uongo watatokea, na kudanganya wengi.
[12]Na kwa sababu ya kuongezeka maasi, upendo wa wengi utapoa.
[13]Lakini mwenye kuvumilia hata mwisho, ndiye atakayeokoka.
[14]Tena habari njema ya ufalme itahubiriwa katika ulimwengu wote, kuwa ushuhuda kwa mataifa yote; hapo ndipo ule mwisho utakapokuja.

Ndipo Kristo Atashuka sasa na Jeshi lake kuja kusimika ufalme wake hapa Duniani.
Watakuwepo wayahudi 144,000.

Ufunuo wa Yohana 19:11-16
[11]Kisha nikaziona mbingu zimefunuka, na tazama, farasi mweupe, na yeye aliyempanda, aitwaye Mwaminifu na Wa-kweli, naye kwa haki ahukumu na kufanya vita.
[12]Na macho yake yalikuwa kama mwali wa moto, na juu ya kichwa chake vilemba vingi; naye ana jina lililoandikwa, asilolijua mtu ila yeye mwenyewe.
[13]Naye amevikwa vazi lililochovywa katika damu, na jina lake aitwa, Neno la Mungu.
[14]Na majeshi yaliyo mbinguni wakamfuata, wamepanda farasi weupe na kuvikwa kitani nzuri, nyeupe, safi.
[15]Na upanga mkali hutoka kinywani mwake ili awapige mataifa kwa huo. Naye atawachunga kwa fimbo ya chuma, naye anakanyaga shinikizo la mvinyo ya ghadhabu ya hasira ya Mungu Mwenyezi.
[16]Naye ana jina limeandikwa katika vazi lake na paja lake, MFALME WA WAFALME, NA BWANA WA MABWANA.

Unyakuo umekaribia watu wa Mungu, ukipitwa na unyakuo kuna mateso ya hatari ya mpinga kristo na Mapigo ya Bwana. mimi sipo Mtakoma mtakao kutwa mmezubaha. 😂😂

Ufunuo wa Yohana 8:7,11,13
[7]Malaika wa kwanza akapiga baragumu, kukawa mvua ya mawe na moto vilivyotangamana na damu, vikatupwa juu ya nchi; theluthi ya nchi ikateketea, na theluthi ya miti ikateketea, na majani mabichi yote yakateketea.
[11]Na jina lake ile nyota yaitwa Pakanga; theluthi ya maji ikawa pakanga, na wanadamu wengi wakafa kwa maji hayo, kwa kuwa yalitiwa uchungu.
[13]Kisha nikaona, nikasikia tai mmoja akiruka katikati ya mbingu, akisema kwa sauti kuu, Ole, ole, ole wao wakaao juu ya nchi! Kwa sababu ya sauti zisaliazo za baragumu za malaika watatu, walio tayari kupiga.


Nani aliandika :

1. Zekaria ??
2. Ufunuo wa Yohana ???
 
Kabla ya utawala wa Kristo hapa duniani, dunia itaingia kwenye vita na mapigano makali.

Lakini tusisahau unyakuo utaanza.

Luka 17:28-36
[28]Na kadhalika, kama ilivyokuwa katika siku za Lutu, walikuwa wakila na kunywa, walikuwa wakinunua na kuuza, wakipanda na kujenga;
[29]lakini siku ile Lutu aliyotoka Sodoma kulinyesha moto na kibiriti kutoka mbinguni vikawaangamiza wote.
[30]Hivyo ndivyo itakavyokuwa siku ile atakayofunuliwa Mwana wa Adamu.
[31]Katika siku ile, aliye juu ya dari, na vyombo vyake vimo ndani ya nyumba, asishuke ili kuvitwaa; na kadhalika, aliye shambani asirejee nyuma.
[32]Mkumbukeni mkewe Lutu.
[33]Mtu ye yote atakaye kuiponya nafsi yake, ataiangamiza; na ye yote atakayeiangamiza ataiponya.
[34]Nawaambia, usiku huo watu wawili watakuwa katika kitanda kimoja; mmoja atatwaliwa, mmoja ataachwa.
[35]Wanawake wawili watakuwa wakisaga pamoja; mmoja atatwaliwa, mmoja ataachwa. [
[36]Watu wawili watakuwa shambani, mmoja atatwaliwa, mmoja ataachwa.]

Lutu ni tulio mwamini Kristo, tutatoweka gafla.
Huo ni Unyakuo Utaanza.

Kisha waliobaki wataongozwa na mpinga kristo na kuwa Jeshi moja.

Mathayo 24:5-8,11-14
[5]Kwa sababu wengi watakuja kwa jina langu, wakisema, Mimi ni Kristo; nao watadanganya wengi.
[6]Nanyi mtasikia habari za vita na matetesi ya vita; angalieni, msitishwe; maana hayo hayana budi kutukia; lakini ule mwisho bado.
[7]Kwa maana taifa litaondoka kupigana na taifa, na ufalme kupigana na ufalme; kutakuwa na njaa, na matetemeko ya nchi mahali mahali.
[8]Hayo yote ndiyo mwanzo wa utungu.
[11]Na manabii wengi wa uongo watatokea, na kudanganya wengi.
[12]Na kwa sababu ya kuongezeka maasi, upendo wa wengi utapoa.
[13]Lakini mwenye kuvumilia hata mwisho, ndiye atakayeokoka.
[14]Tena habari njema ya ufalme itahubiriwa katika ulimwengu wote, kuwa ushuhuda kwa mataifa yote; hapo ndipo ule mwisho utakapokuja.

Ndipo Kristo Atashuka sasa na Jeshi lake kuja kusimika ufalme wake hapa Duniani.
Watakuwepo wayahudi 144,000.

Ufunuo wa Yohana 19:11-16
[11]Kisha nikaziona mbingu zimefunuka, na tazama, farasi mweupe, na yeye aliyempanda, aitwaye Mwaminifu na Wa-kweli, naye kwa haki ahukumu na kufanya vita.
[12]Na macho yake yalikuwa kama mwali wa moto, na juu ya kichwa chake vilemba vingi; naye ana jina lililoandikwa, asilolijua mtu ila yeye mwenyewe.
[13]Naye amevikwa vazi lililochovywa katika damu, na jina lake aitwa, Neno la Mungu.
[14]Na majeshi yaliyo mbinguni wakamfuata, wamepanda farasi weupe na kuvikwa kitani nzuri, nyeupe, safi.
[15]Na upanga mkali hutoka kinywani mwake ili awapige mataifa kwa huo. Naye atawachunga kwa fimbo ya chuma, naye anakanyaga shinikizo la mvinyo ya ghadhabu ya hasira ya Mungu Mwenyezi.
[16]Naye ana jina limeandikwa katika vazi lake na paja lake, MFALME WA WAFALME, NA BWANA WA MABWANA.

Unyakuo umekaribia watu wa Mungu, ukipitwa na unyakuo kuna mateso ya hatari ya mpinga kristo na Mapigo ya Bwana. mimi sipo Mtakoma mtakao kutwa mmezubaha. 😂😂

Ufunuo wa Yohana 8:7,11,13
[7]Malaika wa kwanza akapiga baragumu, kukawa mvua ya mawe na moto vilivyotangamana na damu, vikatupwa juu ya nchi; theluthi ya nchi ikateketea, na theluthi ya miti ikateketea, na majani mabichi yote yakateketea.
[11]Na jina lake ile nyota yaitwa Pakanga; theluthi ya maji ikawa pakanga, na wanadamu wengi wakafa kwa maji hayo, kwa kuwa yalitiwa uchungu.
[13]Kisha nikaona, nikasikia tai mmoja akiruka katikati ya mbingu, akisema kwa sauti kuu, Ole, ole, ole wao wakaao juu ya nchi! Kwa sababu ya sauti zisaliazo za baragumu za malaika watatu, walio tayari kupiga.


Nani aliandika Luka , mathayo , Ufunuo wa Yohana ??
 
Tumezoea kufundishwa kuhusu Watoto wa Ibrahim.

Mara nyingi historia inazungumzia Isaka na Ismahili. Tunaambiwa Isaka ndo baba wa Wayahudi. Ismaili baba wa Waarabu.

Biblia imetuambia kuwa Baada ya mke wa Ibrahimu kufariki (Sarah) Ibrahim alioa mwanamke mwengine anayeitwa Ketura na akazaa naye Watoto 6 Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki na Shua. Hatujaambiwa historia ya Hawa Watoto wake wengine.

Je, unajua hawa Watoto wake wengine ndo baba wa mataifa haya?

Zimradi baba wa taifa la Warusi
Medani baba wa taifa la Wachina
Ishbaki baba wa taifa la Wahindi
Yokshani: baba wa taifa la Wajerumani
Shua baba wa wa taifa la Waingereza
Midiani baba wa taifa la Waethiopia
Yani
Tumezoea kufundishwa kuhusu Watoto wa Ibrahim.

Mara nyingi historia inazungumzia Isaka na Ismahili. Tunaambiwa Isaka ndo baba wa Wayahudi. Ismaili baba wa Waarabu.

Biblia imetuambia kuwa Baada ya mke wa Ibrahimu kufariki (Sarah) Ibrahim alioa mwanamke mwengine anayeitwa Ketura na akazaa naye Watoto 6 Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki na Shua. Hatujaambiwa historia ya Hawa Watoto wake wengine.

Je, unajua hawa Watoto wake wengine ndo baba wa mataifa haya?

Zimradi baba wa taifa la Warusi
Medani baba wa taifa la Wachina
Ishbaki baba wa taifa la Wahindi
Yokshani: baba wa taifa la Wajerumani
Shua baba wa wa taifa la Waingereza
Midiani baba wa taifa la Waethiopia
Yani unasema watu wa jamii moja wakazaaa watoto wa jamii nyingine..??

Yani muethiopia mkushi mweusi awe ni baba mmoja na mrusi mweupe peeee 🤔🤔🤔

KUBWA JINGA inama ufikiri 🤣🤣🤣
 
Tumezoea kufundishwa kuhusu Watoto wa Ibrahim.

Mara nyingi historia inazungumzia Isaka na Ismahili. Tunaambiwa Isaka ndo baba wa Wayahudi. Ismaili baba wa Waarabu.

Biblia imetuambia kuwa Baada ya mke wa Ibrahimu kufariki (Sarah) Ibrahim alioa mwanamke mwengine anayeitwa Ketura na akazaa naye Watoto 6 Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki na Shua. Hatujaambiwa historia ya Hawa Watoto wake wengine.

Je, unajua hawa Watoto wake wengine ndo baba wa mataifa haya?

Zimradi baba wa taifa la Warusi
Medani baba wa taifa la Wachina
Ishbaki baba wa taifa la Wahindi
Yokshani: baba wa taifa la Wajerumani
Shua baba wa wa taifa la Waingereza
Midiani baba wa taifa la Waethiopia
Yani
Tumezoea kufundishwa kuhusu Watoto wa Ibrahim.

Mara nyingi historia inazungumzia Isaka na Ismahili. Tunaambiwa Isaka ndo baba wa Wayahudi. Ismaili baba wa Waarabu.

Biblia imetuambia kuwa Baada ya mke wa Ibrahimu kufariki (Sarah) Ibrahim alioa mwanamke mwengine anayeitwa Ketura na akazaa naye Watoto 6 Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki na Shua. Hatujaambiwa historia ya Hawa Watoto wake wengine.

Je, unajua hawa Watoto wake wengine ndo baba wa mataifa haya?

Zimradi baba wa taifa la Warusi
Medani baba wa taifa la Wachina
Ishbaki baba wa taifa la Wahindi
Yokshani: baba wa taifa la Wajerumani
Shua baba wa wa taifa la Waingereza
Midiani baba wa taifa la Waethiopia
Yani unasema watu wa jamii moja wakazaaa watoto wa jamii nyingine..??

Yani muethiopia mkushi mweusi awe ni baba mmoja na mrusi mweupe peeee 🤔🤔🤔

KUBWA JINGA inama ufikiri 🤣🤣🤣
 
Tuendelee ,
Kwa mujibu wa maandiko,Esau alihamia katika milima ya Seiri (Syria)ya sasa.

Mwanzo 36


6 Esau akawatwaa wakeze, na wanawe, na binti zake, na watu wote wa nyumbani mwake, na ng'ombe zake, na wanyama wake wote, na mali yake yote, aliyoyapata katika nchi ya Kanaani; akaenda mpaka nchi iliyo mbali na Yakobo nduguye.
7 Maana mali yao yalikuwa mengi wasiweze kukaa pamoja, wala haikuweza nchi ya kusafiri kwao kuwachukua, kwa sababu ya wanyama wao.
8 Esau akakaa katika mlima Seiri, Esau ndiye Edomu.

Esau akiwa katika makazi mapya,alijenga na kuendesha ufalme huko.

Mwanzo 36

31 Na hawa ndio wafalme waliomiliki katika nchi ya Edomu, kabla ya kumiliki mfalme ye yote juu ya wana wa Israeli.
32 Bela wa Beori alimiliki katika Edomu, na jina la mji wake ni Dinhaba.
33 Akafa Bela, akamiliki Yobabu mwana wa Zera, wa Bosra, badala yake.
34 Akafa Yobabu, akamiliki Hushamu, wa nchi ya Watemani, badala yake.
35 Akafa Hushamu, akamiliki Hadadi wa Bedadi badala yake, naye ndiye aliyepiga Midiani katika nyika ya Moabu, na jina la mji wake ni Avithi.
36 Akafa Hadadi, akamiliki Samla wa Masreka badala yake.
37 Akafa Samla, na Shauli wa Rehobothi, ulio karibu na mto, akamiliki badala yake.
38 Akafa Shauli, akamiliki Baal-hanani, mwana wa Akbori, badala yake.
39 Akafa Baal-hanani, mwana wa Akbori, akamiliki Hadadi badala yake; na jina la mji wake ni Pau; na jina la mkewe ni Mehetabeli, binti Matredi, binti Mezahabu.
40 Na hayo ndiyo majina ya majumbe waliotoka kwa Esau, kufuata jamaa zao, na mahali pao, kwa majina yao. Jumbe Timna, jumbe Alva, jumbe Yethethi,
41 jumbe Oholibama, jumbe Ela, jumbe Pinoni,
42 jumbe Kenazi, jumbe Temani, jumbe Mibsari,
43 jumbe Magdieli, jumbe Iramu. Hao ndio majumbe wa Edomu, kufuata makao yao, katika nchi ya mamlaka yao. Naye huyo ndiye Esau, baba ya Edomu.

Lakini baadaye wana wa Israel waliingia kwa Edomu na waliimiliki tawala ya Esau pamoja na kwamba Esau aliwahama kwa wema.
Ilikuwaje kizazi cha Israel kuimilimi nchi ya Esau?.

Kwanza kabisa ugomvi kati ya Esau na Yakobo,sikwamba ulianzia pale Yakobo alipozipora baraka za Esau kwa hila ya mama yao.Bali uadui kati yao ulianzia tangu tumboni.

Mwanzo 25,

21 Isaka akamwomba Bwana kwa ajili ya mke wake, maana alikuwa tasa. Naye Bwana akamwitikia, na Rebeka mkewe akachukua mimba.
22 Watoto wakashindana tumboni mwake. Naye akasema, Ikiwa ni hivi, kuishi kwanifaa nini? Akaenda kumwuliza Bwana.
23 Bwana akamwambia,Mataifa mawili yamo tumboni mwako,Na kabila mbili za watu watafarakana tangu tumboni mwako.Kabila moja litakuwa hodari kuliko la pili,Na mkubwa atamtumikia mdogo.

Angalia hapo mstari 23 jinsi ulivyosema.Kifupi Esau alitengwa na muamuzi wa kati kwa kuamua kumeza filimbi kwa faulo zote alizochezewa Esau na Yakobo.

Kukua kwa ugomvi kati ya Esau na Yakobo,

Hesabu 20,
14 Kisha Musa akatuma wajumbe kutoka Kadeshi wamwendee mfalme wa Edomu, na kusema, Ndugu yako Israeli asema, Wewe wazijua taabu zote zilizotupata;
15 jinsi baba zetu walivyotelemkia Misri, nasi tulikaa Misri muda mwingi, nao Wamisri walitutenda vibaya sana, na baba zetu pia;
16 tena tulipomlilia Bwana, akatusikiza sauti yetu, akamtuma malaika, na kututoa tutoke Misri; nasi tupo hapa Kadeshi, mji wa mpakani mwako mwa mwisho;
17 tafadhali utupe ruhusa tupite katika nchi yako; hatutapita katika mashamba, wala katika mashamba ya mizabibu, wala hatutakunywa maji ya visimani; tutaifuata njia kuu ya mfalme, tusigeuke kwenda upande wa kuume, wala upande wa kushoto, hata tutakapopita mpaka wako.
18 Edomu akamwambia, Hutapita katika nchi yangu, nisije nikakutokea kupigana nawe kwa upanga.
19 Wana wa Israeli wakamwambia, Tutakwea kwa njia kuu; tena kama tukinywa maji yako, mimi na wanyama wangu wa mifugo, ndipo nitakulipa thamani yake; nipe ruhusa nipite kwa miguu yangu wala sitaki neno lingine lo lote.
20 Akamwambia, Hutapita katika nchi yangu. Kisha Edomu akamtokea ili kupigana naye, na watu wengi, na kwa mkono wa nguvu.
21 Basi hivyo Edomu akakataa kumpa Israeli ruhusa kupita katika mipaka yake; kwa hivyo Israeli akageuka na kumwacha.

Baada ya matukio hayo,Israel aliamuriwa kupigana na Esau(Edomu).

Obadia 1

1Maono yake Obadia. Ndivyo asemavyo Bwana MUNGU juu ya Edomu; Tumepata habari kwa Bwana, Na mjumbe ametumwa kati ya mataifa, Akisema,Haya,inukeni ninyi;Na tuinuke tupigane naye.
2 Tazama, nimekufanya mdogo kati ya mataifa; Umedharauliwa sana.
3 Kiburi cha moyo wako kimekudanganya, Wewe ukaaye katika pango za majabali, Mwenye makao yako juu sana; Asemaye moyoni, Ni nani atakayenishusha mimi?
4 Ujapopanda juu kama tai, Ijapokuwa kioto chako kimewekwa kati ya nyota, Nitakushusha kutoka huko; asema Bwana.
5 Kama wevi wangekujilia, kama wanyang'anyi wangekujilia usiku, (jinsi ulivyokatiliwa mbali!) Je! Wasingeiba kiasi cha kuwatosha? Kama wachumao zabibu wangekujilia, je! Wasingeacha baadhi ya zabibu, ziokotwe?
6 Jinsi watu wa Esau wanavyotafutwa-tafutwa! Jinsi hazina zake zilizofichwa zinavyoulizwa-ulizwa!
7 Watu wote wa mapatano yako Wamekufukuza, hata mipakani; Wale waliofanya amani nawe Wamekudanganya, na kukushinda; Walao mkate wako wameweka mtego chini yako; Wala hana ufahamu wa hayo ndani yake.
8 Siku hiyo, je! Sitawaangamiza watu wenye akili katika Edomu, na wenye ufahamu katika kilima cha Esau? Asema Bwana.
9 Na mashujaa wako, Ee Temani, watafadhaika, hata iwe kila mtu akatiliwe mbali kwa kuuawa katika kilima cha Esau.
10 Kwa sababu ya udhalimu aliotendwa ndugu yako Yakobo, aibu itakufunika, nawe utakatiliwa mbali hata milele.
11 Siku ile uliposimama upande, siku ile wageni walipochukua mali zake, na watu wa kabila nyingine walipoingia katika malango yake, na kumpa kura juu ya Yerusalemu, wewe nawe ulikuwa kama mmoja wao.
12 Lakini usiitazame siku ya ndugu yako, siku ya mashaka yake, wala usisimange juu ya wana wa Yuda siku ya kuangamizwa kwao; wala usinene maneno ya kiburi katika siku ya shida yao.
13 Usiingie katika lango la watu wangu, siku ya msiba wao; naam, usiyatazame mateso yao, siku ya msiba wao; wala usitie mikono yako juu ya mali zao, siku ya msiba wao.
14 Wala usisimame penye njia panda, ili kuwakatilia mbali watu wake wakimbiao; wala usiwatoe watu wake waliosalia, katika siku ya dhiki.
15 Kwa maana hiyo siku ya Bwana i karibu juu ya mataifa yote; kama ulivyotenda, ndivyo utakavyotendwa; malipo yako yatakurudia juu ya kichwa chako mwenyewe.
16 Kwa maana kama vile mlivyokunywa juu ya mlima wangu mtakatifu, ndivyo mataifa yote watakavyokunywa daima; naam, watakunywa na kubabaika, nao watakuwa kana kwamba hawakuwa kamwe.
17 Bali katika mlima Sayuni watakuwako wenye kuokoka, nao utakuwa mtakatifu; na nyumba ya Yakobo watamiliki milki zao.
18 Na nyumba ya Yakobo itakuwa moto, na nyumba ya Yusufu itakuwa mwali wa moto, na nyumba ya Esau itakuwa mabua makavu, nao watawaka kati yao, na kuwateketeza; wala hatasalia mtu awaye yote katika nyumba ya Esau; kwa kuwa Bwana amesema hayo.
19 Na watu wa Negebu wataumiliki mlima wa Esau; na watu wa Shefela watawamiliki Wafilisti; nao watalimiliki konde la Efraimu, na konde la Samaria, na Benyamini atamiliki Gileadi.
20 Na watu wa jeshi hili la wana wa Israeli waliotekwa, walio kati ya Wakanaani, watamiliki mpaka Sarepta; na hao watu wa Yerusalemu waliotekwa, waliomo Sefaradi, wataimiliki miji ya Negebu.
21 Tena waokozi watakwea juu ya mlima Sayuni ili kuuhukumu mlima wa Esau; na huo ufalme utakuwa ni mali ya Bwana.

Angalia,pamoja na Mungu kuahidi kumsambalatisha Esau (Edomu),lakini kutimia kwa hilo ni labda mpaka mwisho wa dunia kwa maana Edomu ataendelea kupajenga tena na tena hata milelele.

Malaki 1
Ufunuo wa neno la Bwana kwa Israeli kwa mkono wa Malaki
2 Nimewapenda ninyi, asema Bwana. Lakini ninyi mwasema, Umetupendaje? Je! Esau siye ndugu yake Yakobo? Asema Bwana; ila nimempenda Yakobo;
3 bali Esau nimemchukia na kuifanya milima yake kuwa ukiwa, na urithi wake nimewapa mbweha wa nyikani.
4 Ijapokuwa Edomu asema, Tumepondwa-pondwa, lakini tutarudi na kupajenga mahali palipoachwa hali ya ukiwa; Bwana wa majeshi asema hivi, Wao watajenga, bali mimi nitaangusha; na watu watawaita, Mpaka wa uovu, na, Watu ambao Bwana anawaghadhabikia milele.

Mpaka hapa,tunamuona adui wa Israel (Yakobo) ni Esau(Edomu).Kifupi hapo mashariki ya kati,wanaopigana ni MAPACHA Esau na Edomu.

Naomba nisimame hapa tena kwa sasa.

Nani aliandika Genesis au KWA kiswahili Kitabu cha Mwanzo ???
 
Back
Top Bottom