Mwana kinyonga
JF-Expert Member
- Sep 19, 2011
- 377
- 216
Mkuu, saidia jina la balozi mtajwa katika kadhia hii
Sent using Jamii Forums mobile app
UN ilikuwa kimya, US ilikuwa kimya, AU ilikuwa kimya. US, UN, Belgium na France walichofanya ni kuhakikisha watu wao waliondolewa salama.
US secretary of state wakati huo Warren Christopher alikaririwa akisema tumefanikiwa kuwatoa Americans safe na hilo ndio jambo la msingi, wanaopigana ni kina nani, Rwandans vs Rwandans, ngoja wauane coz they are foolish.
Sent using Jamii Forums mobile app