Salaamu [emoji4]
Me ni kijana wenu nimo humu kwa muda sasa ila nilikuwa sijajitambulisha naomba mfanye kama ndo mnanipokea wakuu sina mishe yoyote nnayofanya msijeniuliza kazi yangu :D ila...
Mimi ni DALALI ninaewasaidia Wauzaji na Wanunuzi wa Nyumba, Viwanja pamoja na Mashamba kuwakutanisha pamoja ili waweze kufanya biashara kwa haraka zaidi, Nipo MWANZA mjini ila nafanya kazi popote...
Nimekuwa msomaji wa Jamiiforums kwa muda mrefu ila leo nimebofya kitufe cha register (kujisajili), nami kwa sasa ni mwanachama wa hii platform kubwa ya kitanzania.
Naombeni mnikaribishe, mnipokee...