malisak
JF-Expert Member
- Mar 16, 2006
- 694
- 772
Jamani mie mwana mpotevu toka 2020 sijaingia ndio nimerudi najua wengi wageni ila nilikuwepo toka 2006 hamsini kweusi wengi tumepotezana jamani mko wapi akina papak @babykibaki @jeansal6 @esmaralda @mzeemwanakijiji Mimi Mumewangu na wengineo. Mkorogo vyogo wa kurecruit wana FISIEMU ulitusambaratisha ila naona wameelewa now huu uzi ni wa nini. Waungwana nipokeeni nikumbusheni na kuwatag wahenga na wageni tuendeleze gurudumu