Wakuu mm ni mgeni humu ndani na naishi nchini Rwanda na nimependa jamii forum maana kuna mambo mengi yanayohusiana na maisha ya kila siku ya binadamu.
Mm munyambo naomba mnipokee kwa mikono...
Habari wandugu.
Natumai mko vyema kabisa. Well, mwanafamilia mwenzenu hapa naomba kukaribishwa wandugu.
Najiskia faraja sana kuwa mmoja wa wanafamilia wa JamiiForums.
Thanks a lot.
Habari za muda huu wote wapenzi wa mtandao huu
Nimejiunga na huu mtandao mnamo Dec 2, 2017. Nimefurahishwa sana na namna mijadala inavyoendeshwa humu na nimehasika sana.
Tangu nijiunge nilikuwa...
Niwashukuru jf member wote, meamua tu nijitamhulishe japo ni kitambo toka nijiunge, ila nimeamua niwe active saiv na hasa nishiriki kuzika kiki na upotofu wa vijana wasiojielewa
Nakiri namkubali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.