Wakuu mimi binafsi natumia colget Advanced whitening kina ujazo wa 75mil si nyingi ila bei yake ni Tsh. 4,500 hii nzuri sana watoto wa Arusha utawakamata sana si unajua yale meno yao.
Je wewe...
Kuna nyumba niliingia hivi karibuni dah ilikuwa ina nukia harufu nzuri ajabu
Nimejikuta niko curious na nini hasa wanatumia hadi nyumba inanukia vile
Nilishindwa kuuliza sababu kilichonipeleka...
Habari zenu wapendwa? Naamini wote mko poa.
yna2 Leo nimeamua kuwaletea somo la namna ya kutengeneza mafuta ya kujaza ndefu kwa wanaume (natural beard balm).Mafuta haya siyo kwamba yatajaza ndevu...
Urembo kwa wanawake ni jambo lisiloepukika na inahitaji gharama kwa mwanamke kujiweka katika hali ya utanashati ili kuwa presentable na kuleta mvuto wa kimapenzi kwa wanaume.
Hapa chini...
Nashindwa kuelewa ni Ungonjwa au Uchafu
Asubuh tu unakutana na mtu ananuka Jasho kama fisi la porini na amevaa smart kabisa ila ukipishana nae unaweza kuzimia
Unakutana na mtu smart kapendeza...
Nauliza hivyo maana nilikuwa nimepanda hiace nimekaa na dada siti moja ameyashonea hayo madubwasha yanatoa harufu kali.
Halafu sijui nani aliwadanganya kuwa yanawapendeza maana wengine...
Kuvaa vazi la kulalia hasa kwa mwanamke, umuwezesha mwanaume aliyenaye chumbani kutokumchoka.
Mwanamke anayevaa vazi la kulalia (night dress), humuongezea thamani katika mahusiano yake. Kuvaa...
Waswahili wanasema tembea uone. Aijalishi utaona magorofa au nini wee tembea tu utachokiona ndo iko iko ulitakiwa ukione 😉
Miii katika tembea yangu nimekutana na kitu cha kustajabisha.
Nikiwa...
Wanaume wengi wanasemaga hawapendi mwanamke anae jipodoa
Ila wacha tu tujipodoe kwakwel mpk mkituona barabaran mpagawe
Chura sina na sura nayoo[emoji57][emoji57]
Habari wakuu, nguo ni mojawapo ya mahitaji matatu muhimu. Ni hitaji muhimu lakini bajeti yake nayo inabidi ichungwe hasa kwa kina sisi ambao bado uchumi haujawa stable.
Huwa nasikitika sana...
Salaam!
Ni njia zipi unatumia kulinda usafi wa kinywa chako na kufanya mdomo usitoe harufu.
Kuna kuswaki kila baada ya mlo lakini wakuu imagine unaswaki asubuhi na jioni during day ila tambua...
Wakuu nadhani mko poa,kama kichwa cha habari kinavyojieleza,nimekuwa mtanashati mno hadi naonekana kero kwa watu wangu wa karibu nini nifanye ili nijiepushe na hali hii ???
Kama ujanipata hebu...
Wote tunajua umuhimu wa kuoga na kila mtu ana ratiba yake ya kuoga ukiachana na wale wanaooga mara mbili kwa siku Kuna sisi ambao kuoga kwetu ni mara moja tu kwa siku, so ni kuchagua tu mwenyewe...
Naam
Aisee katika changamoto nazipitia katika haya maisha ni linapokuja swala la kiatu Cha kuvaa .
Nina miguu mikubwa sana mguu wa kushoto navaa namba 45 na wa kulia navaa namba 45 na nusu...
Habarini wakuu,
Nimewakumbuka,
Kwanza nafaurahi kurudi JF baada ya muda,
Twende kwenye mada tajwa hapo juu, ni ukweli kwamba dread locks ni nywele nzuri hasa kwa wanaojua kuzitunza na...
Vazi la Khanga ama kitenge kwa wadada wa Kitanzania li zuri linavutia - Linaonyesha uzuri alionao msichana wa kitanzania - tulipitishe liwe la kitaifa kwa wadada wetu!!
This is where it all goes down.
Where that Ngabu body is sculpted.
LA Fitness baby
It goes down in the gym.....
Goals baby....goals!
Angled leg press....massive weights!
Guns...
Nywele natural ila kipilipili cha hatare nataka zinyooke ukiweka dawa zitaota tena?
Mimi nina rules kadhaa nimejiwekea kwa nywele zangu natural na nimeona maendeleo kwa kweli...mwanzo ilikuwa...
Wadada mnapenda kununua nini ambacho hamtaki kiwe mbali na nyie? Yani kitu/vitu gani hua mnapenda kua navyo kiwe cha kuvaa ama kutembea nacho mahala popote hata ukiwa safarini.
Kitu/vitu gani hua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.