Leo nimeshuhudia wigi la mdada limeanguka baada ya kunata kwenye mlango,aisee ki ukwel ana kichwa kibaya saaaaanaa.
MY TAKE
Kama ni mdada na unavaa mawigi ongeza umakini usije kuaibika kama una...
Bei ya nywele za crotchet ni sh ngapi? Normally ina range vipi na bunda ngapi litatosha kwa kawaida, kwa wale ambao mnazisukaga hizi na bei ya kusuka ni 30,000 au wamenichuuza?
Wakuu,
Nadhani mnajua kina Lil Wayne na watoto wengi wa kishua utakuta ana kichuma flani hivi either juu ya jicho pembeni ya nyusi au kidevuni. Ni wapi wanafanyaga hizo shughuli kwa hapo Arusha...
Warembo wengi huwa tunajitahidi kuvaa nguo zitakazotukaa vizuri kulingana na maumbo yetu lakini viatu tunavaa tu vyovyote tunavyoona vizuri. Hii si sahihi!
Kama mjuavyo, muonekano mzuri wa mavazi...
Imekua ni utamaduni kwa wanawake kunyoa sehemu za siri na kubakiza upara kabisa, hii inaweza kusababisha kushambuliwa kwa urahisi na bakteria.
''Unavyonyoa sehemu za siri, unasababisha usumbufu...
Up the Career ladder, lipstick in hand.
WANT more respect, trust and affection from your co-workers?
Wearing makeup — but not gobs of Gaga-conspicuous makeup — apparently can help. It increases...
Natumai mko poa.
Jamani magagulo yamepotelea wapi .Nadhani wale wa umri wangu wanalikumbuka hili vazi la siri na la heshima sana enzi hizo.
Huwezi kumkuta mdada au mmama hajalivaa hilo...
Habarini!
Kuna hili suala la mavazi hasa kwenye majiji, manispaa na miji ya hapa Tanzania na nchi karibu zote duniani. Vijana wengi sasa wakitembea barabarani ili ujue jinsia zao basi itakubidi...
Socrates aliwahi kusema "...ni aibu iliyoje kwa mwanadamu kuzeeka bila kujua ni nguvu kiasi gani na uzuri kiasi gani mwili wake unaweza kufikia"
Nataka tujigee changamoto ya kuona ni kwa kiasi...
Jamani nakerwa na harufu ya madawa/mafuta anayotumia mpenzi wangu kwenye nywele zake ila ndo sina jinsi sasa maana nikimwambia anyoe nywele kichwa ndo tatizo tena.
Sasa wanaume wenzangu hili...
Mimi ni mwanaume rangi yangu ni black by nature kuna baadhi ya lotion hua nikipaka huanza kuharibu asili yangu. Wakuu naomba kujuzwa ni aina gani ya ingredients ambayo ikiwa katika mafuta huathiri...
Wakuu, yani wadada kusikia utabiri wa hali ya hewa kwamba maeneo ya pwani kutakuwa na upepo mkali wa wastani na mawimbi ya bahari kufikia hadi mita 2 ,
Basi wameamua kuvaa nguo fupi alafu...
Hakuna cha mzuqa,
Utakuta ni warembo tu with a fat gene lakini wanajikongoroa miili yao kwa kutokula ama kushinda na apple na maji ili wamaintain kukongoroka wenyewe wakidhani ni warembo kumbe...
Huyu ni yule mpenzi wako ambae kila ukiongea nae unamuona kabisa ni yule wa kwashida na raha. Leo amekutaarifu kuwa anakukaribisha chakula kwao.
Umetoa ile nguo ya mwisho kabatini ile uliyolipa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.