Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Habari wa kulima wenzangu ambao umewahi kutumia mbolea aina ya SUPER GROW, Naomba ufafanuzi, Ubora Wake, changamoto zake je imeleta matokeo chanya shambani kwako Kwa zao Gani Na sasa upatikanaji...
1 Reactions
27 Replies
3K Views
Zao la mchikichi, dhahabu mpya shambani Note ; uzi developed Kihiga uwanja mpya wa maboresho, mbegu za kisasa hadi magerezani TANZANIA inatumia mabilioni ya fedha kila mwaka takribani bilioni 600...
4 Reactions
35 Replies
18K Views
Poleni sana wakulima wa Tanzania na michaka michaka ya kilimo na kupambana kujitafuta chakula Cha familia na pesa za kumaliza matatizo ya siku. Kwa hawa Maafisa Ugani tunaoambiwa huwa wanapewa...
2 Reactions
16 Replies
1K Views
Tanzania uyoga unao limwa sana ni Oyster huu ni rahisi sana kuulima na unaweza limwa mazingira mengi kwenye baridi na kwenye joto. pia bei yake sokoni sio kivile sana kwa sababu ya wingi na pia...
1 Reactions
1 Replies
789 Views
Ndg wanaforum nmiona nlilete kwenu swala linalohusu mkulima kutozwa ushuru wa mazao hata ikiwa gunia moja wakat anapita geti la ushuru atokapo shamba kwenda kuhfadhi mazao yake, Ni Jambo lilonitia...
0 Reactions
3 Replies
532 Views
Habari zenu wana-JF, Kama heading invyosema. Tanzania kwasasa tunaongoza East Africa (EAC) kwa kilimo cha mahindi. Nakumbuka kipindi cha nyuma miaka ya 2010 kurudi nyuma Tanzania haikuwa na uwezo...
5 Reactions
19 Replies
5K Views
Habari zenu. Naulizia kwa anayejua, ni Miche gani unaweza panda kama una eneo lako kwa ajili ya kama uzio au Fensi ambayo ndani ya wiki kadhaa inakuwa ishakuwa Fensi kamili? Ukiacha michongoma...
1 Reactions
1 Replies
867 Views
Vijana wengi tz tunajitafuta huku tukiwa hatujui ni lini tutajipata kuwa na maisha Bora ya Leo n kesho za watoto wetu. Viko vitu Kwa vijana wengi huvifanya kama njia za kuona watafanikiwa zaidi...
6 Reactions
20 Replies
1K Views
Kwa ushauri,elimu, kutembelewa mashambani,kufundisha vikundi vya wakulima au Mameneja mashamba na Miche ya matunda,viungo,tiba na miti, Wasiliana nasi, Shamba initiatives Enterprises (T) Ltd...
0 Reactions
0 Replies
753 Views
Hodi wenyeji! Habari zenu waungwana. Nina wazo la kuwa mjasiria mali ili niachane kabisa na mambo ya kutegemea mshahara wa mwisho wa mwezi. Tatizo ninalokumbana nalo ni ukosefu wa skills juu ya...
0 Reactions
42 Replies
13K Views
Mm mi kijana miaka 30. Nimesomea kilimo na nimkulima pia. Naomba kama kuna mtu ana mashamba hususan ukanda wa pwani kwa ajili aya kilimo na ufugaji, tufanye partnership kwenye uzalishaji wa mazao...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Jana nilishuhudia kwa mara ya kwanza Giant Bamboo, aisee zile Bamboo sio za kawaida ni kubwa mno na very heavy, nilikuwa naziona tu kwenye picha,ila jana ndio nikaziona kwa macho sio za kawaida...
7 Reactions
15 Replies
1K Views
Pwani, Bagamoyo na Morogoro wapi naweza ng’ombe wa maziwa wakuuza? Wengi naona ni janda za juu na kaskazini. Nipe location au contacts kwa anaejua please!
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Ndg mwenye uelewa wa bei za pamba kutoka mwaka 1993 hadi 2023 naomba msaada tafadhari
1 Reactions
0 Replies
301 Views
Wakuu habari za muda huu. Mimi ni mkazi wa Kahama, Shinyanga, napenda sana nifanye kilimo cha vitunguu maji hasa ktk mikoa ya Singida na Manyara Tafadhari sana kwa mkazi wa Singida na Manyara...
5 Reactions
77 Replies
10K Views
Hivi ajira mpya za TRA mwaka huu zitatoka kweli …!! maana mpaka sasa kuna baadhi ya waliopata fursa za kuajiriwa na TRA mwaka wa Jana (2023) bado hawajui ni ofisi ya wapi atapangiwa. Wenye siri...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wakuu, mimi naishi mkoani (kanda ya ziwa). Wiki ijayo ninakwenda Dar kwa ajili ya shughuli zangu binafsi. Katika huo muda nitakaokuwepo, nitakuwa na muda wa free hivyo natamani kupata...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
Naibu Waziri wa Kilimo, David Silinde (Mb), amevitaka Vyama vya Ushirika vijijini kuendeleea kuomba uwakala wa kusambaza mbolea katika maeneo ili kuweza kuwafikia wakulima kwa wakati. Amesema...
0 Reactions
0 Replies
311 Views
Wadau, kuna mfugaji wa kuku hapa Dar ananiambia kila mzunguko wa kuku 1000, anapata faida ya Tsh Laki 7. Hapo soko likiwa zuri sana. Jamani hicho kipato ukiangalia mtaji wa Banda nk. Je kuna njia...
7 Reactions
49 Replies
17K Views
Tanzania tuitakayo itajengwa na mimi,wewe na yule. Habari wanajukwaa, napenda kuchukua nafasi hii adhimu kuwasilisha wazo langu kama raia mwema na mwenye mapenzi kwa taifa langu huku nikiwa na...
0 Reactions
0 Replies
255 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…