Habari za asubuhi.
Kwa wale waliotaka angalau kuona kwa ufupi shamba langu la greenhouse ambalo nimelima nyanya ndani ya greenhouse na nje pia yaani bila greenhouse ila kwa kutumia formula...
Habari Wakuu
Nilipitia maonesho ya nane nane mwaka huu na moja ya kilimo kilichonivutia ni kilimo cha Dengu na Conflower/Brocolli.
Mazao haya yana soko kubwa sana nje ya nchi hasa India kwa Dengu...
KILIMO BORA CHA PILIPILI HOHO
Jina la kitalaamu la PILI PILI HOHO ni Capsicum annum. Asili ya zao hili ni bara la Amerika ya Kusini. Hapa nchini zao hili hulimwa katika mikoa ya Iringa, Tanga...
Mimi ni mkulima wa nyanya na mpunga kijiji cha Mbigili, Dumila mkoani Morogoro. Wakulima wenzangu wa nyanya, tubadilishe uzoefu wa kilimo hiki kuhusu mbegu, mbolea, magonjwa, madawa na masoko...
Zao hili lilianza kuingia nchini kutoka Uganda mnamo mwaka 1954 kupitia kwa mkulima mmoja wa kijiji cha Kiilima wilaya ya Bukoba Vijijini.
UTANGULIZI
Zao la vanilla ni moja ya zao la viungo...
Wakuu, naomba kuuliza hivi nikichukua nyanya kisha nikatoa mbegu zake nikazipanda zitaweza kunipa mazao maana huku nilipo uwezekano wa kupata mbegu ni mdogo.
Msaada tafadhali wajemeni. Nina shamba mahala ambapo nataka kupanda miembe. Ushauri? Wapi nitapata miche ya miembe?
Nipo Dar.
======
Zao la embe hustawi vizuri katika maeneo ya tambarare na...
Habari wana JF.
Ninajaribu kujifunza kuhusu kilimo cha uyoga na pia ninaperuzi na masoko yake. Nataka kuwa mkulima wa uyoga lakini nataka kwanza nijue namna ya kutoa uyoga bora na kupata masoko...
Hatua za kufuata ukitaka kulima nyanya chungu
Nyanya Chungu ni zao la Kitropic linalotoa mazao yake kama matunda au kama mboga. Rangi ya matunda huwa kijani kibichi au kijani-njano, au...
Habari wanajamii?
Mimi ninafuga Sungura na Njiwa kwa kuwa nawapenda sana ila nafahamu kwamba nikipata elimu ya namna ya kuwafuga kitaalamu au kwa mtu mwenye uzoefu nao naomba anielekeze namna...
JINSI YA KUJITENGENEZA CHAKULA CHA KUKU NYUMBANI KWA AJILI YA KUONGEZA UZALISHAJI
Kutokana na kuongezeka kwa gharama za chakula cha kuku iwewawia vigumu wafugaji wa kuku kupata faida kupitia...
Heshima kwanza,
Wakuu, nina shamba eneo la Makaa Yamu, Kirua Vunjo, wilaya ya Moshi vijijini lenye ukubwa wa ekari kumi na sita 16 (limepimwa na hati miliki)
Shamba lipo kilometer nne kutoka...
Kwa maswali na majibu kwa masuala ya kilimo cha mboga, matunda, maua, viungo na dawa.
Wataalam na wakulima tukutane hapa.
==============================================
Kwa kuanza niongelee...
Wana jamvi niwasalimu kwanza, na moja kwa moja niende kwenye mada.
Asubuhi ya leo nimepokea taarifa toka kwa rafiki yangu mmoja aliyeko Dar akitaka kufahamu kwa nini mbwa jamii ya Rottwieler...
Baada ya kumaliza degree yangu ya pili na kuona kuwa ajira kama ajira haiwezi kuwa mkombozi wangu kiuchumi niliamua nifatilie mawazo mbalimbali ya ujasiriamali. Nikafikiria ujasiriamali wa...
Mambo vp ndugu zangu, ebwana ndugu yenu nmerudi tena ili tuendelee kupeana elimu kuhusu maswala mbali mbali yenye manufaa.
Leo nataka nikueleze maajabu nilioyashuhudia kwenye ufugaji wa Mbuzi wa...
MAGONJWA YA KUKU NA TIBA ZAKE
UTANGULIZI
Kuku kama wanyama wengine hushambuliwa na magonjwa mbalimbali ambayo mengine yanatibika kwa dawa na mengine hayana tiba bali kuku hupewa chanjo maalumu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.