Mama timmy
JF-Expert Member
- Jan 2, 2013
- 656
- 209
Habari wanajamii?
Mimi ninafuga Sungura na Njiwa kwa kuwa nawapenda sana ila nafahamu kwamba nikipata elimu ya namna ya kuwafuga kitaalamu au kwa mtu mwenye uzoefu nao naomba anielekeze namna mabanda yao yajengwe na namna ya kufanya sungura wangu watunze watoto wao ili wasife.
Mimi ninafuga Sungura na Njiwa kwa kuwa nawapenda sana ila nafahamu kwamba nikipata elimu ya namna ya kuwafuga kitaalamu au kwa mtu mwenye uzoefu nao naomba anielekeze namna mabanda yao yajengwe na namna ya kufanya sungura wangu watunze watoto wao ili wasife.