Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

habari zenu wana jamvi hili la ujasiriamali. kwa muda mrefu sana nimekuwa nikipita JF kama visitor tuu na sio user..ila ikafika kipindi nikaamua kabisa kuwa member. My regret ni kwamba why didn't...
14 Reactions
46 Replies
5K Views
Wazima wandugu....nilikua nataman sana kuanzisha kampuni ya usafi...sasa naombeni idea yenu hii kitu inatakiwa kufanyaje...nilikua na wazo la kuisajili...kutafuta ofisi ila sijui mchakato wowote...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ndugu wajasiriamali naomba mawazo yenu,nipokwenye mji mdogo nahitaji kuanzisha SUPERMAKET nipeni maujanja ilinifanikiwe mwenzenu.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
naomba kama kuna mtu anajua kuhusu biashara ya Alizeti na upatikanaji wa soko anielekeze nataka kujiajiri..
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kwa yoyote mwenye mahitaji ya vitunguu saumu kuanzia gunia 5 kwa mikoa ya Njombe mbeya Iringa Dar tuwasiliane....Njelekela87@gmail.com
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Courage Inasemekana kwamba hakuna Mjasirimali aliye fanikiwa duniani bila kuwa na courage, ndo kitu pekee kinacho weza kukupeleka katika Dunia nyingine kabisa, -Hatuweza fanikiwa katika biashara...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu naombeni mnisaidie mahali ntapopata soko zuri la embe dodo. ikiwezekana liwe soko la jumla ndo natumai litanilipa zaidi. embe ni za chunya.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari zenu wajasiria mali naomba kwa mfugaji wa kuku mwenye uwezo wa kusupply kuku 25-30 kila siku tuwassiliane ata kama una uwezo wa kuwa nao angalau kwa wiki anagalau mara mbili au tatu uwe uko...
3 Reactions
4 Replies
2K Views
Assalam Aleykum Wana Jf. Nategemea kama wajasiliamali mlifuatilia KONGAMANO kubwa la uwekezaji kanda ya kaskazini lilofanyika pale jijini Tanga Nadhani itakua busara kama ntaibua fursa...
0 Reactions
17 Replies
12K Views
Niwaite wanaharakati wapiganaji wenzangu! Nawasalimu kutoka Lupembe mkoani Njombe nikiwatakieni afya njema ! Muda mrefu kidogo nilipotea jukwaani ; lakini katika kurudi kwangu nimekutana na...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari zenu wanajamvi naombeni msaada wenu mnijuze nataka kuaza biashara ya kuuza vocha za jumla je niende wapi na natakiwa niwe na vigezo gani.thanx
0 Reactions
1 Replies
3K Views
shkamooni, mimi ni mfugaji wa sungura nipo dar natafuta soko kwani wamekuwa wengi/ni pm kama una hitaji
0 Reactions
10 Replies
2K Views
dear members of jf bee keeping in tanzania has been highly practised for many years, however since prime minister Mizengo Pinda came into power, hapiculture is now more emphasized,please i want to...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Mambo viipi Je, Naweza pataje pesa na gari kama hii? Used MITSUBISHI MINICAB 1997 S/N 144162 | JapaneseVehicles.com
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Wajf nahitaji kutoka kimaisha je ni biashara gan ndogo ndogo naweza kufanya yenye mtaji chini ya laki 5 nilifikiria ufugaji sema kwa ninapo ishi sina sehemu mana mjini hapa na mifugo amna space...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
kama jibu ni ndio ni PM number yako nitakupgia nitakushauri utanilipa elf 5 tu baada ya kufanikiwa.0658825141
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Natanguliza shukran za dhati kwa wanajamvi. Ni matumaini yangu wanajamvi wengi wetu mmepitia na kusoma habari za alizeti, kwa yoyote mwenye mchango wa soko la uhakika na bei ya alizeti kuanzia...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nina njozi ya kuanzisha hifadhi ya nafaka kama biashara ndogo hapa Arusha lakini sina ujuzi wa kutosha katika fani hii na sijui kama nitapata faida. Mtaji wangu ni milioni 5 tu! Nifanyaje wapendwa...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
habari zenu wakuu, natafuta soko la dagaa wachafu ambao hutumika kutengenezea chakula cha mifugo especially kuku, wateja wakubwa ni wale wenye viwanda vya kutengeneza vyakula hivyo, tatizo sijui...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Naomba msaada wa 1.gharama zote 2.process za kufuata ili uwe regstard 3.campany nzur ya kuhost hyo website 4.malipo yake kwa mwez au mwaka
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…