Elisha Chuma ameandaa mpango kabambe wa ushauri wa biashara kwa wafanyabiashara wadogo wa kati na wakubwa na wale wanaotaka kuanzisha biashara ili kuwawezesha kuwa wafanyabiashara wakubwa na...
10 commandments for a youth to be successful
1. Do not depend on Ur parents' wealth. Someone may come tomorrow to dupe you and you will lose everything. Learn to do things on ur own.
2. God has...
Nauza majogoo makubwa yaliyo changanywa na KUCHI... Yana kilo 4..nimeyatoa kwa wasukuma... Jogoo moja elfu 35...Nipo ubungo kona vituo viwili mbele kutoka ubungo stendi...my number is 0717578551
Hivi ni sahihi kumfungulia bihashara mpenz wako ambae bado hamjaoana?
Na kama ni sahihi unafikiri kwa mtaji wa sh. milioni moja unaeza kumfungulia bihashara gani?
Samahani kwa kulileta huku...
Wana JF nauza kiwanja chenye nyumba ya vyumba viwili kimefikia linta. Kina ukubwa wa mita za mraba mia saba. Kipo nyuma ya Marian Boys. Mita mian na ishirini toka Bagamoyo Rd. Bei mil ishirini na...
Kila idea nayojaribu kubuni inani'cost zaidi ya 500,000/= mfano biashara ya kununua kuku toka Singida na kuwauza kwenye migahawa. Naombeni mawazo yenu wadau niweze kujikwamua, nifanye nn kwa hii...
Aina ya vifaranga ni chotara(malawi)
rangi ni kanga nyeusi/brown na nyeupe
uzito ni kg3-5 wanapofikia miezi 3 na kuendelea,
wamekwisha pata chanjo zote,vitamins pamoja na antibiotics...
Njooni tujifunze kwa bakhresa!
1.ANZA MAPEMA, Acha kukawia (Show up early)
Fanya kile unachodhani unaweza kufanya, fanya mapema iwezekanavyo, acha kukawia. Usisubiri hadi muda wa kila kitu kuwa...
GARI inauzwaaaa....!
Toyota Starlety...Engine c.c 1331, year of manufacture 1997. seating capacity 4 passangers....price TSH 4,200,000/- pekee
+255713780010 pia kuna bei ya maelewano pita hapa kwa...
Heshima zenu nyingi sana wakuu
Kwanza nianze kwa kumshukuru Mungu aliyeniongoza mpaka nikajiunga JF hasahasa hili jukwaa letu tukufu maana nimejifunza mengi japo mengi yamenipita sababu wadau...
Ndugu wana jamvi Jf nimeshindwa kujizuia nikaona nitoe ya moyini.
Mosi- Nawashukuru sana tena sana Wote Wana JF mnaotumia muda wenu na pesa kutuelimisha waTz juu ya mafanikio. Be blessed a lot...
Salaam;
Naomba msaada kwa anyejua mahali yanakopatikana yale maboksi ya kufungashia keki, kama kuna mawasiliano yao au kuelekezwa walipo nitashukuru sana. Asanteni.
Wakuu marabaada ya kumaliza elimu yangu ya sekondari mwaka 2012 nilijiunga jamii forum nakuwa mnazi ma jukwaa hili, nilijiingiza katika ujasiliamali kwa kusaidia watu mbali kupata mifugo bila mimi...
wadau...
ningependa kujua nitapataje mashine ya kutengeneza pellet ya chakula cha mifugo[samaki/kuku].
kuanzia ndogo ya 50kg per hr mpaka 1ton per hr. Iwe ndani ya nchi au kokote duniani [used au...
Nauza asali kwa ujazo tofauti tofauti kuanzia 20kg 10kg 5 kg 1kg na 500mg tatizo ni soko ndio linanisumbua mwenye talifa ya soko au anao itaji naomba uni saidie