Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Hello wanajamvi!, Natafuta kampuni ya kununua ya freight forwarding and clearing,Nahitaji kuinunua nikiwa kama dalali. Ningependa kujua taarifa kama zifuatazo:- Ina patikana wapi? Ina muda gani...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadau bei ya TVS ikoje?
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Hkwa wale wafanyabiashara, wanafunzi, wafanyakazi, waandishi wa vitabu, hadithi. Na wengine wote huduma hii inapatikana kwa bei nzuri kabisa 400 @ page tunapatikana dar es salaam piga simu muda...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nataka kujiunga na Forever Living products niwe nauza bidhaa zao za alovera kama nyia ya kuongeza kipato changu.wenye uzoefu naombeni ushauri au wale mliojiunga na mko mpaka sasa au mliojitoa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari njema kwa wafanyabiashara, wanafunzi, wafanyakazi, waandishi wa vitabu, hadithi. Na wengine wote huduma hii inapatikana kwa bei nzuri kabisa 400 @ page tunapatikana dar es salaam piga simu...
0 Reactions
1 Replies
997 Views
Habari!! jamani, mimi ni Dereva leseni D, kwa sasa naishi Kigambon Dar es salaam nilikuwa naomba kwa mwenye au anayeuza gari ndogo aina yoyote inayofaa kwa anayeuza kwa ajili ya shughuli...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Msaada dawa ya kuondoa harufu mbaya kwenye banda la mifugo kwani kila cku tunalifanyia usafi ila bado linatoa harufu hasa msimu wa mvua,hii harufu imekua ikiwa ni kero kwa majiran na nyumban kwetu...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Wakuu heshima kwenu nina kuku wa kienyeji wa kisukuma kutoka kirengezi na kongwa morogoro. ni wakubwa sana. napatikana sinza mori, ntakuletea mahali ulipo kwa dar. Pia napokea oda ya mayai ya...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Habari wana JF mimi naishi mkoani Dodoma nimejiingiza katika biashara ya ufugaji kuku wa nyama. Shida yangu natafuta vifaranga wa kuku wa nyama wa kununua kwani nimekuwa nikiagiza kwa wafanya...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Wasiliana na 0715816196
0 Reactions
2 Replies
3K Views
habari wanajamii,nakuhakikishia nauza SAMSUNG GALAXY S4 ORIGINAL bei kuanzia laki 9 nipo Masaki,NamangA-guinea avenue kwa mawasiliano ni +255762205187/+255718857143 au facebook-fortunatus tibrus...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nahitaji kufanya kilimo cha mbogamboga na ardhi ya kwetu ni mawe ila natarajia kueka udongo juu. Naombeni ushauri, itawezekana?
0 Reactions
10 Replies
14K Views
Ndugu wajasiriamali, kiufupi nlikuwa naomba ushauri wenu juu ya hii idea yangu ambayo inaweza kuwa si ngeni, coz ukipita pembezon mwa barabara hasahasa jijini Dar utakutana na vtalu vya maua na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habar za leo wakuu! Napend kuchukua nafac hii kuwaarifu wajasiriamali wenzangu waishio Dsm kwmba kuna fremu maeneo ya cnza darajani karibu tu na njia kuu ya mabasi.kwa ufupi frem hyo nilikuw...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Anayefahamu wapi zinapatikana mashine za kuchanganyia unga (kukanda) zisizotumia umeme. Uwezo na bei za mashine hizo ni muhimu
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Mimi niko dar, kwa yeyote mwenye kujua mahali nitapata vikombe hivyo ambavyo kwa mfano unaweza kutumia kunywea kahawa na kutupa baada ya matumizi. Anisaidie mawasiliano au namna ya kuvipata...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau wa jukwaa hl poleni kwa majukumu. mwenye kufahamu ni wapi au jinsi gani barcode kwa ajili ya product (e.g vyakula vya kusindika kwenye makopo e.t.c ) inaweza kupatikana naomba anisaidie...
0 Reactions
14 Replies
14K Views
Habari zenu wanajamvi! Poleni na shughuli za ujenzi wa Taifa. 6¦6 Naombeni mchango katika hiki. Tsh120000, je! Inaweza kuzalisha Tsh1500, kwa siku? Kama haiwezi tafadhali naombeni mniambie...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ningependa kufahamu kuku chotara kwa arusha wanapatikana wapi na bei yake ipo vipi.
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Wakuu habari zenu wanajf. Naomba mwenye format ya business plan ilioandikwa kwa kiswahili anisaidie tafadhali
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom