Habari zenu wana jamvi!
Ninakusudia kufungua duka la vifaa vya umeme, naomba msaada juu ya uendeshaji wake, kima cha chini ambacho ni kizuri kuanzia mtaji, hasara na ulipaji wake, na changamoto...
Nina mtaj wa million mbil je unafaa kuanzisha biashara n if yes ni biashara gan mim biashara nilizokuwa nawazia kil nikijaribu kuuliz ambao wanafana wananiambia mtaj million mbil kwahy imekuwa...
Reuters) - The world's largest chicken breeder has discovered that a key breed of rooster has a genetic issue that is reducing its fertility, adding to problems constraining U.S. poultry...
Niwakati wa kua Makini na Mikataba ya uwekezaji ya Kilimo- kulingana na upeo na fikra na ulimbikeni wa viongozi tuliona-tusipokua makini matokeo yatakua ni tofauti na matarajio ya wananchi...
ni...
Nahitaji kuanzisha kampuni ya usambazaji wa muziki ama Music Store Company Mojawapo ya njia ya malipo ni M-pesa nahitaji kufahamu namna ulipaji wa M-pesa ama tigo-pesa na njia kama hizo unavokuwa...
Ni tarehe 20/09/2014 ndani ya Landmark Hotel, ni semina ya aina yake kuwahi kufanyika. Nitakuwemo katika wale watakao toa mada siku hiyo. Ni fursa pekee kwa wafugaji na wanaohitaji kuanza kufuga...
Mim ni kijana mwanaume naishi dar es salaam,nahitaji kwenda kufanya biashara msumbiji,ninamtaj wa sh.
600000.naomba wafanyabiashara wenyeuzoefu wa huko wanisaidie n biashaea gan ya kufanya.na...
Nataka kufanya project ya majaribio,kwa mtaji wa 3M,kilimo cha ufuta na mahindi.Eneo ni Dodoma vijijini.
PLANI YANGU: Nataka kulima kwa umwagiliaji maana kuna bwawa kubwa,karibu yake ntatafuta...
Habari wadau, nimekuwa na idea kichwani kwangu muda sana ila nashindwa sijui nianzie wapi. Nimepata bahati ya kusafiri nje ya nchi kila mwaka mara mmoja na kaa uku miezi sita (Denmark), nikapata...
nyumba ipo kinyerezi dakika tano kutoka Mbuyuni ina sebule kubwa, na nafasi ya home office, dining room ya kutosha jiko,Store, Choo cha public, vyumba vitatu vya kulala kimoja ni Master bed room...
Hivi majuzi tumesikia jamaa yetu akituimbia kuwa biashara zimejaa mapato wakati mishahara imejaa makato.
Yeah, ni jambo zuri hata kama unafanya kazi, ukawekeza kile kidogo cha ziada ili kikue...
Nina eneo la ekari mbili himo km mbili kama uaelekea Himo' liko Barbara ya lami karibu name hotel ya Dar exp. Kama Luna mdau anataka kuwekeza kwenye biashara ya mafuta au apartments tuongee
Hello jf mabibi na mabwana natumai ni wazima wa afya baada ya wikiendi.
Ndugu mwanajamii baada ya kuomba ushauri hapa jukwaaa la ujasiriamali, nimeamua kwa ridhaa yangu kuwa mfugaji wa kuku wa...
Ndugu wana JF mimi ni mtumishi wa umma nimehamishiwa kikazi katika eneo lenye miinuko mikali sana , nimekuta wananchi wa huku wanalima mpunga wa kwenye miinuko (Hill Rice) . Changamoto kubwa...
Habari wandugu,
Naomba ushauri wenu kwa biashara ya mpunga.
Nataka kununua magunia baada ya mavuno alafu nauza baada ya jipindi cha navuno kuisha.
Ushauri wenu tafadhali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.