Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Kwa wale wafanyabiashara wa tanzania ambao wanafanya manunuzi ya bidha zao kutoka africa kusini epukeni kupoteza hela wakati unapobadilisha shilingi za kitanzania kwenda dolla alafu dolla kwenda...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana JF niokoeni mwenzenu, niko Mpanda ambako chanjo za kuku hazipatikani sana. Nishaurini njia rahisi za kienyeji za kulea vifaranga kwani huo ni mtihani ambao umenishinda nami nataka kuwa na...
0 Reactions
6 Replies
15K Views
Asalaam wapendwa...niko dar maeneo ya kijitonyama..nna mtaji wa sh milion tatu...na kuna frem nalipiwa mwaka mzima sasa sijui nifungue biasha gani ambayo kila wiki nina uwezo wa kuongeza laki...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Wadau maisha yanachanga moto nyingi sana. kukabiliana nimeingia katika kilimo cha vitunguu. Nakaribia kuvuna mwezi mapema mwwezi huu. naomba msaada wenu kwa yeyote anyefahamu wapi naweza kupata...
0 Reactions
15 Replies
9K Views
Wadau, habari zenu? Nina eneo dogo mjini (nyumbani kwangu), kuna eneo lenye ukubwa wa kama 25mx10m. Nahitaji nifuge kuku wa kienyeji. Nitakuwa natumia incubator Nitakuwa nawalisha hydroponics...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
NDUGU ZANGU VIJANA WENZANGU Nimekuwa kwenye ujasiriamali kwa kipindi kirefu kidogonimepita uzoefu mwingi ikiwamo kushindwa na kuamka na kuendelea na sasa nimeonelea nishirikiane na WENZANGU...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
wana-forum mimi ni kijana wa miaka 23 ni mwanachuo.. nina malengo ya kuanzisha biashara japo sina uzoefu wa kutosha.. Nina mtaji mdogo sana wa kama milioni moja na bado sijajua ni biashara gani...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kuna kitu ambacho wananchi wanakuwa wanapotea bila kujua kumekuwa na wimbi kubwa la watu wanaohamasisha na kutoa elimu kuhusu ujasiriamali, Sio wote Watu hao wanawasaidia watu,lakini...
0 Reactions
13 Replies
5K Views
samahani watu wangu naomba kuuliza eti nikitaka kulima vitunguu kama heka moja naweza pata faida kiasi gani?? samahanini kwa usumbufu
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Heshima kwenu wakuu. kwa wale wafugaji mayai ya kuku wa kienyeji na kisasa yana uwezo wa kukaa muda gani bila huharibika?
0 Reactions
1 Replies
13K Views
Nianze kwakumshukuru Mungu ambae mara zote ameendelea kuifanya JF kama kisiwa cha habar mbalimbali.Naomba kwa yeyote mwenye ufahamu wa biashara kati ya hizi nchi mbili anifahamishe nipate...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Hello pipz..Don't miss this out ... An adorable google galaxy nexus 2 brand new in the box...16gb internal memory..1gb ram...camera front nd hind...4g internet...wide display screen. ..android...
0 Reactions
0 Replies
914 Views
Habari. Motor inauzwa iko ktk halo nzuri imerumika kwa muds was mirzi 3 tu. Being no sh 450000. Iko makongo juu ukitaka kuiona. Namba Yang ni 0758 308193. Picha ntaweka soon.
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Habari za leo wana jamvi! Jamani nawaombeni sana mlione na hili ili tuone uhalali wake. Kuna hii kitu inatwa TELEX FREE ambayo baada ya kusoma post mbalimbali za wana-mitandao nimejiridhisha...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
habari wadau nilikuwa na wazo la kulima vitunguu, naomba mnijuze kuna faida kubwa hapa?
1 Reactions
3 Replies
5K Views
wakuu naombeni mchanganuo hasa faida inayotegemewa kwa ekari nataka kuanza kulima haya mazao. Natanguliza shukrani.
1 Reactions
1 Replies
4K Views
Kuna shamba la miti ekari 9.5 lenye Hati miliki linalouzwa huku mafinga Miti imebakiwa na miaka miwili 2 tayar kwa kuvuna mbao shamba eka moja kwa kawaida ni shilling mill 14 lakini hili...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ninamtaji wa mil.5 nataka fungua biadhara ya kuuza nywele za kina dada naomba ushauri wenu nataka nifungulie dodoma
0 Reactions
1 Replies
1K Views
HALOO jumamos(12/04/2014) hii kuna semina kali sana,itakayofanyikia ubungo plaza(blue pearl) saa saba na nusu mchana.inahusu uwekezaji TANZANIA.ipo chini ya Recon Brown wa south Africa na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau nawaombeni udalali kwa mwenye uwezo,nina chombo cha baharini aina ya DAU..nauza, in box kwa maelezo zaid.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom