Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

naomba kujua kama kilimo cha mboga za majani kwa mwanza zinalipa, as nigependa kuanza hii biashala
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Miti aina ya PINES heka kumi yana umri wa mwaka mmoja yanapatikana Iringa kijiji cha MAPANDA,kwa bei ya milioni nne na ardhi inakuwa ya kwako kabisa. WAHI fursa, nichek PM kwa maswali zaid
0 Reactions
0 Replies
1K Views
BACK TO HOME PATA T-SHIRT POUWA ZA KIJANJA UWE NA MWONEKANO WA KIAFRIKA ZAIDI. BEI-20,000Tsh per tshirt. SIZE-All sizes are available. COLOUR-Rangi zote zipo. Mawasiliano zaidi chek kwa...
3 Reactions
7 Replies
4K Views
Wapendwa mim nawasaidia watu ambao wapo bize na kazi zao na wanatamani wajiingize kwenye kilimo, nipm tufanye mawasilia. VILEVILE kipindi hiki mikoa mingi wanavuna hivyo mazao ni bei rahisi sana...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu heshima na iwe kwenu, mimi nipo mkoani Rukwa kwa sasa na huku bajaji zimeshamiri kwelikweli na nimegundua jamaa wanapata shida kapata spea parts za bajaji. Na kilichopo huku jamaa wanapata...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Wadau naomba kujuzwa juu ya utaratibu wa kununua hisa za kampuni ya jamii forum kama makampuni mengine ya mitandao ya kijamii mfn fb, twiter, skype nk, msaada tafadhali
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Pikipiki ya miguu mitatu (maarufu kama bajaji) aina ya tvs king (rangi nyekundu kama ilivyo pichani) inauzwa. Imetumika kwa mwaka 1, iko katika hali nzuri sana. Bei ni Tsh 3,200,000 mazungumzo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
KARI-improved kienyeji ni breed ambayo ni pure kienyji nani breed inayo taga mayai mengi hata kuzidi kuku wa kisasa wa mayai, na ilipatika baada ya utafiti wa miaka 10 ambapo zilichukuliwa breeds...
3 Reactions
32 Replies
11K Views
Nipo mwanza mjini ila na watu wangu pia dar es salaam kama ni muhitaj tuwasiliane kwa 0714203099
0 Reactions
3 Replies
2K Views
kwa yeyote anaejua procedure za kua wakala anisaidie nipo morogoro mazimbu. Nisaidien wadau nikamate fursa nimechoka kutafuta kazi
0 Reactions
7 Replies
7K Views
Habari. Kunahitajika nyama ya punda kwa ajili ya export .Sasa nahitaji information nitapata wapi hizo nyama za punda na utaratibu wote wa kisheria unaohitajika kuanzia kuchinja na kusafirisha...
0 Reactions
21 Replies
5K Views
Asalaam wapendwa... naomba kuuliza.. nimefungua biashara ya kuuza maji na juice kwa jumla..ila ndio nipo kwenye mchakato wa kufatilia leseni.. sasa naweza kufungua kabla cjakamilisha leseni? Maana...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Refer2Money.com Get Your Guranteed Home Job for 1500$ weekly
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nina asali mbichi natafuta soko. Bei ni 11,000 kwa kilo.
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Habari ya mwisho wa wiki wanajamvi. Napenda kupata ufahamu kuhusu UTT au Unit Trust Fund,nimepata kuwasikia jamaa wanaofanya masoko kwenye redio na kwenye Tv hasa ITV kweli nilivutiwa sana na...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Habari za Leo wanajamii forum jukwaa la ujasiliamali.....Naomba tafadhali kwa yeyote anayeweza kunipa market connection ya Wale wanunuzi wa kuku wa kienyeji (kwa jumla) kwa hapa daresalama Naomba...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
wakuu, naomba mjuzi wa kutengeneza pop corn zilizo bora na zitakazopendwa na wateja kwa ladha yake. tunayo machine ya pop corn lakini tunakosa ujuzi wa kuweka manjonjo hivo tuko tayari kujifunza...
0 Reactions
4 Replies
6K Views
kwanza napenda kuwasalimu.na poleni kwa majukumu.Nimekuja hapa jukwaan kuomba msaada wa mawazo.Mimi ni mwajiriwa wa serikali(mwl) kipato changu hakikidhi mahitaji yangu ya kila cku.napenda sn...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wadau naomba ushauri, nataka nifanye biashara ya kufuata Laptop China then nije niuze bongo, so naomba kama kuna mtu anajua jinsi ya hiZi biashara za kufuata china zinavyofanyika, anipe...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa anayehitaji line ya M PESA bei ni 180,000 tu. call 0754827198, au 0716099463
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…