Wana jf wenzangu,mimi ni mfugaji wa nyuki na mzalishaji mkubwa asali.ninahitaji maboksi ya karatasi ngumu kwa ajili ya kuweka chupa za asali.maboksi hayo yawe na uwezo wa kubeba dazani moja ya...
Habari wakuu,
Napenda kuwajulisha kwa wajasiriamali wenye viwanda vidogovidogo au vya kati na vikubwa au wale wenye mpango wa kuanzisha viwanda vya kusindika vyakula vya binadamu mjini moshi na...
Kama nilivyo dokeza hapo kwenye heading yangu ni kwamba natafuta mtu ambaye yuko serius and committed ili tuweze kufanya naye kilimo cha biashara (agribusiness); tutaanza na kilimo cha mazao yanye...
Kina ukubwa wa mita 24 kwa 20,bei milioni 8 kipo bomba mbili dar unaweza kufika kwa kupitia mombasa au kivule kiwanja safi na kipo eneo zuri .mwenye uhitaji anipm
*Ukipata wazo la kuhitaji kuingia katika Shughuli yoyote ile ya UjasiriaMali Mkubwa Au Mdogo, Fanya Haya Yafuatayo Kabla Ya Kujitosa.
1). Fanya Utafiti Wa Biashara Husika Ili Ujue Lugha Ya...
Niliwatembelea hawa jamaa wa hii breed ya Ng'ombe na wakasema tukijiorganize wanaweza kuja kupandikiza hii breed, Hii ni Breed ambayo ni the second kwa utoaji wa maziwa, ambapo uazo wake wa pili...
Hi Friends,
The nature of my business and my life style has made me study car rental industry in Tanzania and I decided to write this article to help people make an informed decision when in need...
Plz ndugu zangu nilikuwa na wazo la kufunguwa microfinance kwa peke yangu cntoweza nilikuwa naitaji kwa yeyote aliye tayar kama vp tuungane kwa pamoja na kwa njia yoyote ya halali tutafute working...
Habari za jumapili ndugu zangu.
Nimebahatika kupata pesa kidogo kiasi cha millioni 6 hivi nataka kujaribu biashara ya Bajaji.naombeni ushauri ni ipi inafaa kati ya TVS na PIAGIO? nitashukuru kwa...
Habari za Mwaka mpya wakuu,
Mwaka mpya nazani ndo umeanza wakuu na uko speed sana.
Kuna maswala ya muhimu sana ya kuyafanyia kazi kama Watanzania na kama wajasirimali.
1. ISHU YA UJASIRIMALI...
Je wewe ni mfanyakazi au mfanyabiashara mwenye kipato cha wastani?
Je unahitaji kukuza biashara yako na kuwa ya kimataifa?
Je unahitaji kutimiza ndoto zako mbalimbali za maisha kwa uhuru wa...
wadau habar zenu ninawazo la kuanzisha kampuni ya magazet hapa dar. nimefanya utafiti nimegundua inalipa sana, so inaitajika mtaji wa kuanzia ni milion tano na kuendelea, naomba vijan watano tu...
Miti aina ya PINES heka kumi yana umri wa mwaka mmoja yanapatikana Iringa kijiji cha MAPANDA,kwa bei ya milioni nne na ardhi inakuwa ya kwako kabisa. WAHI fursa, nichek PM kwa maswali zaid
BACK TO HOME
PATA T-SHIRT POUWA ZA KIJANJA UWE NA MWONEKANO WA KIAFRIKA ZAIDI.
BEI-20,000Tsh per tshirt.
SIZE-All sizes are available.
COLOUR-Rangi zote zipo.
Mawasiliano zaidi chek kwa...